Kutatua tatizo la ajali nchini kutokana na uharibifu au kufeli breki, LATRA waweke kikomo cha umri wa mabasi na malori kuruhusiwa kuwa barabarani

Lini magari yalofika kwetu ushawahi kusikia recall ndugu, fuatilia ajali kibao za mabasi na semi utakuta nyingi bado mpya
zinakuwapo, ikiwa utakuwa umenunua gari jipya kupitia ma ajenti wa Tanzania kama Toyota, Benz, nk
 
Mmmh, Mkuu umemamliza. Una ufahamu ningependa nijifunze kwako!
 
Mmmh, Mkuu umemamliza. Una ufahamu ningependa nijifunze kwako!
Karibu sana mkuu, kwenye basi za abiria ndio tumejisahau tuna zipa madaraja kulingana na seat arrangements,viburudisho na choo baada ya safety na technical features sio priority. Mchina unaponunua gari hizo safety features ni option sio standard.

Mfano basi za mwendokasi ni China product lakini zimekuja na mfumo wa hydraulic retarder ambazo ni mfumo salama kwenye brake. Hizi basi za kawaida zina eddy current electric retarder na madereva wengi kwenye hali ya mvua brake za basi huwa zinafail na kusababisha ajali.
 
Mkuu unapendekeza Tu lakini hujui uhalisia wa maisha ya watanzania walio wengi .mkuu naendesha gari ina miaka kabla sijazaliwa yaani hata mimi nimeikuta mimi na miaka 34
 
Nitaomba Moderators warekebishe kwenye title
Toka 2019 huelewi kinachoendelea kuhusu Sumatra? Huna uhalali wa kuandika mada humu maana hata kusoma, kusafiri wala kusikiliza vyombo vya habari miaka 6 hujihusishi.
 
Hivi kuna watu pale TBS wanaelewa haya mambo lakini?
 
Toka 2019 huelewi kinachoendelea kuhusu Sumatra? Huna uhalali wa kuandika mada humu maana hata kusoma, kusafiri wala kusikiliza vyombo vya habari miaka 6 hujihusishi.
Nina uhakika katika kipindi hicho nimesoma mambo mengi sana kukuzidi. Ila sijasoma habari za SUMATRA kuwa LATRA kwa kuwa niko selectie katika kusoma.

Ni sawa na wewe unamwambia Professor wa macho Muhimbili kwa nini huelewi kwamba siku hizi kuna tiba mbadala ya upele wakati imeandikwa sana magazetini. Anaweza asijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…