Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kama ni mtumishi wa tiss na alitoa siri, namwonea huruma, wampe tu nafasi ya kutubu kwanza ili anakoenda kuwe kuzuri.Huyo bwanamdogo nimeona comments kwenye page fulani X kwa wanaomjua /wa mtaa mmoja nae wanasema alikuwa ni mtu wa chest thumping sana na alihusika kwenye dili za madini na ni mtumishi wa TISS sasa ulitarajia atajwe wakati sheria yao iliboreshwa saa hizi hawatajwi.
Uliona sarakasi zilizopigwa kuhusu yule aliyetoa bastola Masaki , ndio hao hao sasa.
MBONA HUJAELEWEKA NIN NANI HUYO KATEKWA TENA?
Tujuze kabila lakeKabendera sio Mhaya!
Mwandishi hapatikani hongo, keishahamia majuuKwa nini wasimteke Mwandishi mwenyewe kuliko kuhangaika na matawi?
Mwandishi aliwalenga GT tu!Soma tena au Nenda ka receit mithihani Kama huelewi, ila na Mwandishi amefanya assumption ya kipumbavu kwamba kila mtu ana taarifa ya huo utekaji!
Andiko iliwalenga great thinkers pekee, wengine mnadandia tuUnaogopa nini mzee eeh nini unaogopa km unajiamini si ungetaja mpaka hao watumishi waliomteka huyo mtumishi km kweli unawajua na kuwatambua, taarifa yako imekaa kidakudaku halafu unajiita GT
Haya wataje hao watumishi waliomteka mwenzao ili kumshughulikia
Huyo Kwabendera sio Mhaya ni Mganda
Wewe ni GT wa wapi? Kujiunga kitambo Jf haikufanyi uonekane GT, akili mpya zinaongezeka kila siku pia ungekua GT kweli ungeshusha nondo za uhakika sio hizi habari za kusadikikaAndiko iliwalenga great thinkers pekee, wengine mnadandia tu
Anza wewe kuipangua tuone. Kumbuka kitabu kile kwa sasa kinauzwa kwa nchi zilizoendelea na kustarabika. Wewe huenda baada ya kumaliza shule hizi za kata haujawahi kusoma kitabu chochoteKabendera kaandika kitabu cha hearsay, alitakiwa alete vitu tangible, sio kuleta story zisizo na ushahidi kabisa na ambazo ni rahisi san akuzipangua.
Jiulize ulisoma kitabu mara ya mwisho mwaka ganiWewe ni GT wa wapi? Kujiunga kitambo Jf haikufanyi uonekane GT, akili mpya zinaongezeka kila siku pia ungekua GT kweli ungeshusha nondo za uhakika sio hizi habari za kusadikika
Fafanua maana bado umeacha MAMBO gizani mkuu.Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Cornelius Ryan (author of The Last Battle and A Bridge Too Far), The Longest Day June 6, 1944 (name of the book)Jiulize ulisoma kitabu mara ya mwisho mwaka gani
hahahaaa aisee yaani sasahivi nakuhurumia sana maana kwa kipindi hiki hujulikani unakula au unaliwa yaani hujulikani ni wa kike au wa kiume yaani hujulikani utampenda lissu au utaendelea na sultani ABUBAKAR BIN MBOWE kama ulivyopenda kumsifia kwa bashasha enzi za mapenzi yenu motomotoTulishakuonya wewe mara kadhaa kwamba Shetani hana Rafiki, endelea kujipendekeza
Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.
Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Haswaaaa ni sahihi......!! Wenyewe kwa wwnyewe sasa na bado watavurugana sanaaaWameshindwa kuelewa kuwa kuna mtumishi wa "mfumo" ametekwa huko Buza ambaye hakuna hata taasisi iliyokiri kuwa ni mtumishi wake zaidi ya mkewe kusema na mtumishi wa "sirikali" na ambaye kabila lake ni Mhaya,hivyo wewe umeunganisha dots na kuweka jamvini ugunduzi wako.
Jamii Forum ya sasa tumekuwa kama watoto wachanga,yaani mpaka tutafuniwe sisi ni kumeza tuu!!!
Hii.legacy ya kutekana ametuachia jamaa flani hivi kutoka kwa wachunga ng'ombe. After Him.. Tanzania will never be the same again
Amechochea uovu mnene huyu mwandishi na amezalisha dhahama mbaya !Kitabu hicho cha kijinga kitasababisha mauaji sana kuanzia chini hadi juu kwa kukosa hekima na busara ndogo tu aliyoionesha Mganda Kabendera
Yaani ananaswa KULAINI. "Be aware"Hivi mtu akiwa anakosoa kosoa humu JF hawezi kuwindwa na kunaswa?
Kwa sababu hali inatisha sasa, wanatekwa hata watu ambao siyo maarufu wa kisiasa.
Pale anapolia anapanajisi iiih, haya !kama ni mtumishi wa tiss na alitoa siri, namwonea huruma, wampe tu nafasi ya kutubu kwanza ili anakoenda kuwe kuzuri.