Kutekwa kwa mtumishi wa umma/ serikali kuna uhusianao na yaliyomo kwenye kitabu cha Kabendera?

Kutekwa kwa mtumishi wa umma/ serikali kuna uhusianao na yaliyomo kwenye kitabu cha Kabendera?

Huyo bwanamdogo nimeona comments kwenye page fulani X kwa wanaomjua /wa mtaa mmoja nae wanasema alikuwa ni mtu wa chest thumping sana na alihusika kwenye dili za madini na ni mtumishi wa TISS sasa ulitarajia atajwe wakati sheria yao iliboreshwa saa hizi hawatajwi.

Uliona sarakasi zilizopigwa kuhusu yule aliyetoa bastola Masaki , ndio hao hao sasa.
kama ni mtumishi wa tiss na alitoa siri, namwonea huruma, wampe tu nafasi ya kutubu kwanza ili anakoenda kuwe kuzuri.
 
MBONA HUJAELEWEKA NIN NANI HUYO KATEKWA TENA?

Soma tena au Nenda ka receit mithihani Kama huelewi, ila na Mwandishi amefanya assumption ya kipumbavu kwamba kila mtu ana taarifa ya huo utekaji!
 
Soma tena au Nenda ka receit mithihani Kama huelewi, ila na Mwandishi amefanya assumption ya kipumbavu kwamba kila mtu ana taarifa ya huo utekaji!
Mwandishi aliwalenga GT tu!
 
Unaogopa nini mzee eeh nini unaogopa km unajiamini si ungetaja mpaka hao watumishi waliomteka huyo mtumishi km kweli unawajua na kuwatambua, taarifa yako imekaa kidakudaku halafu unajiita GT

Haya wataje hao watumishi waliomteka mwenzao ili kumshughulikia

Huyo Kwabendera sio Mhaya ni Mganda
Andiko iliwalenga great thinkers pekee, wengine mnadandia tu
 
Andiko iliwalenga great thinkers pekee, wengine mnadandia tu
Wewe ni GT wa wapi? Kujiunga kitambo Jf haikufanyi uonekane GT, akili mpya zinaongezeka kila siku pia ungekua GT kweli ungeshusha nondo za uhakika sio hizi habari za kusadikika
 
Kabendera kaandika kitabu cha hearsay, alitakiwa alete vitu tangible, sio kuleta story zisizo na ushahidi kabisa na ambazo ni rahisi san akuzipangua.
Anza wewe kuipangua tuone. Kumbuka kitabu kile kwa sasa kinauzwa kwa nchi zilizoendelea na kustarabika. Wewe huenda baada ya kumaliza shule hizi za kata haujawahi kusoma kitabu chochote
 
Wewe ni GT wa wapi? Kujiunga kitambo Jf haikufanyi uonekane GT, akili mpya zinaongezeka kila siku pia ungekua GT kweli ungeshusha nondo za uhakika sio hizi habari za kusadikika
Jiulize ulisoma kitabu mara ya mwisho mwaka gani
 
Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.

Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.
Fafanua maana bado umeacha MAMBO gizani mkuu.
 
Jiulize ulisoma kitabu mara ya mwisho mwaka gani
Cornelius Ryan (author of The Last Battle and A Bridge Too Far), The Longest Day June 6, 1944 (name of the book)

Nimekimaliza Jana, uliza swali jingine
 
Tulishakuonya wewe mara kadhaa kwamba Shetani hana Rafiki, endelea kujipendekeza
hahahaaa aisee yaani sasahivi nakuhurumia sana maana kwa kipindi hiki hujulikani unakula au unaliwa yaani hujulikani ni wa kike au wa kiume yaani hujulikani utampenda lissu au utaendelea na sultani ABUBAKAR BIN MBOWE kama ulivyopenda kumsifia kwa bashasha enzi za mapenzi yenu motomoto
 
Tunaambiwa ni mtumishi wa umma/serikali ila si familia yake au jeshi la polisi walio tayari kutaja idara au taasisi alinakofanyia kazi. Hili linatufanya tuliojaliwa na Karama ya upambanuzi kujua ni mtumishi wa aina gani.
Pili huyu anatoka mkoa wa Kagera kama alivyo Kibendera.

Hitimisho fupi. Huenda anahusishwa na kutoa taarifa nyeti ila za uhakika kwa Kabendera na sasa anashughulikiwa na watumishi wenzake kwa kosa la kuvujisha siri.

View: https://www.instagram.com/p/DEcfX_CtTPN/?igsh=MWV5ZXpwbjU3cjQxZg==
 
Wameshindwa kuelewa kuwa kuna mtumishi wa "mfumo" ametekwa huko Buza ambaye hakuna hata taasisi iliyokiri kuwa ni mtumishi wake zaidi ya mkewe kusema na mtumishi wa "sirikali" na ambaye kabila lake ni Mhaya,hivyo wewe umeunganisha dots na kuweka jamvini ugunduzi wako.

Jamii Forum ya sasa tumekuwa kama watoto wachanga,yaani mpaka tutafuniwe sisi ni kumeza tuu!!!
Haswaaaa ni sahihi......!! Wenyewe kwa wwnyewe sasa na bado watavurugana sanaaa
 
Hivi mtu akiwa anakosoa kosoa humu JF hawezi kuwindwa na kunaswa?

Kwa sababu hali inatisha sasa, wanatekwa hata watu ambao siyo maarufu wa kisiasa.
Yaani ananaswa KULAINI. "Be aware"
 
Kama huyu katekwa huu ni uthibitisho tosha kuwa tasrifa zilizomo kwenye kitabu Cha Kabendera ni sahihi kabisa, kama sio sahihi vp uhangaike kuteka watu ?
 
Back
Top Bottom