binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hahaha....😅😅🙌Mi sitaki dharau ndogo ndogo sitaki kabisa an 🤓🤓🤓🤓😂😂
Mwendo ndo huo huo usikae kinyonge mkuu
For the first time nimesoma female perspective kwenye haya maswalaDunia ina vitu vingi sana vya kuoffer, sijui kwanini watu hupenda kujifungia kwenye kabox kadogo.
Dunia ina watu wengi mno, anyways mimi sio ME, siwezi fikiri kama ME. Ila ME mjitahidi kupunguza migogoro isiyokuwa ya lazima.
Upande wenu labda mnalielewa hili zaidi.For the first time nimesoma female perspective kwenye haya maswala
Jicho upande wa pili
AiseeFor the first time nimesoma female perspective kwenye haya maswala
Jicho upande wa pili
Hapana nilisimama kama mzaziIla mpaka leo kuna karoho flan hivi ka kujutia..
Mana ulikua mzembe mzembe mkuu
Hongera sana kwa kusimama kama mzazi mwaisaVitu siwezi kufanya kwenye mahusiano ni kutembea na Co-worker wa ofisini, House girl na Mwanafunzi wa Msingi au Secondary.
Kwanza wengi bado hawajakuwa, inakuwa ni kama ubakaji tu.
Juzi nilisafiri na binti mmoja anaingia kidato cha sita, kale kabinti kalionesha dalili zote kanahitaji mambo......kalipoona nimekakazia kakaomba namba ya simu.
Wakati tunakaribia kushuka stendi nikakasisitiza kasome kwa bidii, kwani Umri wa Mama Samia umeshasonga hivyo tuna mtegemea aje kuwa Rais mwingine wa kike baada yake.....
Sasa yeye House maid anyanduliwe na nani? Mbona hujali haki ya msingi na hisia kwa wenzio?Ndugu zangu nawasihi simameni kama wazazi!
Unapopoewa dhamana ya kumlinda mtoto wa mtu hakikisha unatimiza majukumu hata kama kuna udhaifu wowote!
Mimi enzi nafundisha shule ya kujitolea enzi hizo nimemaliza chuo!
Kuna kabinti kalinitamkia waziwazi Ikanahitaji penzi langu! Lakini nilikumbuka maneno ya mzazi wangu kwamba unapopatiwa majukumu simama kama mzazi hata kama kuna udhaifu!
Yule binti nilimsihi atulie asome kwanza mambo hayo yapo tu, nikamsihi awe na aman na nilipongeza kwa ujasiri wa kueleza hisia zake! Nikamwambia sasa kasome kwa bidii ngono haiui na wala haishishi (haitoshekeki)
Binti alielewa kwa vile niliongea naye kwa hekima kama mzazi alinielewa vizuri!
Sasa kizazi cha Leo imekuwa kawaida!
1. Mwenye nyumba kutembea na mfanyakazi house boy/girl
2. Imekuwa kawaida mwalimu kugeuza vimada wanafunzi
3. Huko mtwara kuna DC anatuhuma za kutembea na mwanafunzi
Haya ni mambo ya ajabu sana kwasababu!
1. Ukisimama kama mzazi hata binti wa kazi akikaa uchi utamkumbusha kuvaa
2. Ukisimama kama mzazi hata ukitegwa kimalaya unaelekeza kama mzazi
Binti wa kazi hata akikufunika shuka chumbani mkeo akiwa hayupo ukisimama kama mzazi huwezi katu katu kumgeuza mkeo!
Hata kama mkeo hakutimizii mwanaume anaejielewa huenda kuchepuka huko na wanawake ...kuliko kutembea na binti wa kazi au mwalimu kulala na wanafunzi!
Simameni kama wazazi jamani
Kama hajabakwa na ni mtu mzima hakuna kosa.
Wanawake utu uzima huanza na miaka 14
Akileta dharau kwa madam boss anakua amechoka kazi ni kumpa redundancy tu.Ukishatembea na mfanyakazi wa ndani,lazima atamletea dharau mke wako nyumbani
Mwanaume smart,gentlemen hawezi fanya upuz huo maana anajua nini kitatokea
Ova
House girl ni mwajiriwa kama waajiriwa wengine. Kuongezewa na kubadilishiwa majukumu ni wajibu wa mwajiri kwa mwajiriwa wake.Aliyemikononi mwako kimalezi huyo ni kama mwanao hakikisha unasimama kama mzazi
Hivyo kabisa! Inatakiwa umchukulie kama mtoto hata kama makalio makubwa kama behewa! Simama kama mzazi!Ukishatembea na mfanyakazi wa ndani,lazima atamletea dharau mke wako nyumbani
Mwanaume smart,gentlemen hawezi fanya upuz huo maana anajua nini kitatokea
Ova
Nini mkuu ?Aisee
Uko sawa maneno yana maana wanaume tuna luxury ya kuchagua nje ya box na kufanya ujinga without social stigima ,bila mawazo ya kuoa au ndoa , hatuna kitu kinaitwa body count au milage . So upo sahihi wanafunzi wa nini kuleta matatizo .Upande wenu labda mnalielewa hili zaidi.
Ni kweli Mkuu, maana kuna ambao wamewahi kuwadate wanawasifia eti mnato but huo mnato usije kupeleka jela ukaharibu maisha yako bureNa ukianza ni kama kilevi huachi
Suala la malezi ya mtoto wa kike/kiume kwa Dunia ya sasa inahitaji ushirikiano ili waweze kusoma na kutimiza ndoto zao.Hongera sana kwa kusimama kama mzazi mwaisa
Unavyosimama kama mzazi, unajikuta unajeruhi hisia severely.Simama kama mzazi! Siyo busara hata kidogo
Piga paipuSimama kama mzazi! Siyo busara hata kidogo