Kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja

Kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja

Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.

Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.

Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Mkuu nakufata PM. tafadhari!
 
Milion tatu inawezekana mkuu
Fungua biashara 5 hiyo ya supu sawa chukua laki itupe huko, chukua laki itupe kutwmbeza mayai ajiri vijana 5 kwenye mtaji wa mayai yai trei ni 6000 ukichemsha yai unauza 500x30 ni 15000 hapo utakuwa na faida ya 9000 na dogo mmoja mpe trei2 amalize so atakuingizia 18000 kwa siku mlipe tu 4000 na chakula humohumoyaan 2000 kila trei utabakia na 14000 nimekwambia ajiri madogo 5 so 14000x5=70000x30=2100000 hiii biashara nna uzoefu nayo.

Juice tafuta wadada warembo kila mtu awe na kideli cha kupoza mpe lita 5 kwa kuanzia glasi ya juice ni 1000 inamaaana kwa siku haukosi kuuza lita kumi wapange mitaa tofauti hapa hata kila mtu akikuingizia 5000 utapata 25000 kama faida
Nunua miwa ikate kate funga kwenye pakt wape madogo watembeze haukosi elf 5 kwa kila dogo mara 5 una elf 25 kila siku

Tengeneza vitumbua kila alfajiri wape madogo watembeze napo mpangie kila dogo alete faida ya 5000 baads ya kutoa matumizi napo haukosi elf20 kama faida
Utakuwa umeajiri vijana zaidi ya 30 na utawasaidia maisha pia
 
Yani jamaa utoto mwingi sana
Mkuu unayumba,hivi mtu kutokuwa hewani kwa masaa 12 kwa emergency fulani ndio utoto?
Group lipo na litaendelea kuwepo miaka na miaka so kama uko serious sioni haja ya kuanza kulaumiana na kuitana watoto bado unayo nafasi ya kuagiza bidhaa leo,kesho na kuendelea.
Au wewe bidhaa uliyotaka kuagiza ilikuwa ni kwa natumizi ya jana tu?Leo uhitaji tena?
 
Back
Top Bottom