Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?


Nifah umelike hapa unataka kutunyima nini..??
 

miongoni mwa madhara ni pamoja na, unaweza kuanguka dhambini kwa fedheha ya kubaka kizembe sana aise ๐Ÿ’

unaweza baka kuku ukapata aibu maisha yako yote hutoamini ๐Ÿ’
 
Mtapungukiwa nguvu za kiume
 
Duh๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„kumbe hili nalo ni athari moja wapo
sasa unakuta uko timamu kiafya kila idara imekamilika vichocheo vya mwili viko moto na huna mchuchu, huna miadi na yeyote na huko chini tayari kumeshapata moto network iko 7G kakuku kanakatiza hapo kanafukuzwa na jogoo ๐Ÿ’

acha kabisaa,
hiyo ni hatari sana , usikae idle ukiwa kwenye hali kama hiyo ๐Ÿ’
 
miongoni mwa madhara ni pamoja na, unaweza kuanguka dhambini kwa fedheha ya kubaka kizembe sana aise ๐Ÿ’

unaweza baka kuku ukapata aibu maisha yako yote hutoamini ๐Ÿ’
Mambo mengine n kujiendekeza tu yani ubake kuku badala ya kumchinja uhonge upate utelezi? Wanaobaka wanyama sio wazima kiakili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ