Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Hakuna athari yoyote unapata Mimi Nina mwaka wa pili na miezi kadhaa na Nina furaha sana kuliko mwanzo wakati naduvuana hovyo hovyo

Kwanza inaongeza kujiamini na kujithamini na kuwa na standards zako, yaani sahivi kila mwanamke namuona wa kawaida na mwanamke yeyote lazima afike viwango vyangu ndo niwe nawe kikubwa katika hilo awe na akili na mentality inayokaribiana au kufanana na Mimi nikikosa wa hivyo bora nife nimedinda kuliko kuchafua dushe yangu kwa wanawake wasio na ak

Nifah umelike hapa unataka kutunyima nini..??
 
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️

miongoni mwa madhara ni pamoja na, unaweza kuanguka dhambini kwa fedheha ya kubaka kizembe sana aise 🐒

unaweza baka kuku ukapata aibu maisha yako yote hutoamini 🐒
 
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️
Mtapungukiwa nguvu za kiume
 
Duh🙄🙄🙄kumbe hili nalo ni athari moja wapo
sasa unakuta uko timamu kiafya kila idara imekamilika vichocheo vya mwili viko moto na huna mchuchu, huna miadi na yeyote na huko chini tayari kumeshapata moto network iko 7G kakuku kanakatiza hapo kanafukuzwa na jogoo 🐒

acha kabisaa,
hiyo ni hatari sana , usikae idle ukiwa kwenye hali kama hiyo 🐒
 
Back
Top Bottom