Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
- Thread starter
-
- #41
๐๐Asantesasa unakuta uko timamu kiafya kila idara imekamilika vichocheo vya mwili viko moto na huna mchuchu, huna miadi na yeyote na huko chini tayari kumeshapata moto network iko 7G kakuku kanakatiza hapo kanafukuzwa na jogoo ๐
acha kabisaa,
hiyo ni hatari sana , usikae idle ukiwa kwenye hali kama hiyo ๐
๐๐๐๐๐Mambo mengine n kujiendekeza tu yani ubake kuku badala ya kumchinja uhonge upate utelezi? Wanaobaka wanyama sio wazima kiakili
Kula nyero tunza kibunda yakoSasa uku ntakua naenda kupotoka ๐
Nilipiga chini kubanjuana na ke maana ukiwaendekeza unapata hasara ya akili kuliko pesa,sasa naishi ktk furaha kubwa Sana Yani mungu ukupe uvumilivu huohuoTwede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani โ๏ธ
Wanaji@dronedrake ๐Kutokufanya mapenzi kunaongeza nyege ni hatari sana mwanaume kuishi na nyege nyingi. Unless useme hufanyi na mwanamke ila una njia zako unazojua mwenyewe za kuondoa nyege ukiwa huonekani.
Ndio uhalisia hata mimi nna miaka sijui utelezi upoje, kila nikitaka kudondoka dhambini nikakumbuka nitazidi kumtesa Yesu msalabani kwa dhambi zangu naabort misheni.Ila wakaka wa humu ni wanafiki jmn uzi ukija wakuzichapa kila mtu anasema anachakata leo naona kila mtu ana miaka hajafanya๐๐๐.
Inawezekana sana mkuu, inategemea na mapito yako.Kuna member hapo juu kasema amekaa zaidi ya mwaka bill kufanya Mapenzi ๐ค
Sijui amewezaje walahi...!
๐๐๐๐Kwer kabisa sasa mfano ulikua na mke mkaachana inawezekana kukaa pasipo kufanya mapenzi tn kwa mda mrefu ?Nilipiga chini kubanjuana na ke maana ukiwaendekeza unapata hasara ya akili kuliko pesa,sasa naishi ktk furaha kubwa Sana Yani mungu ukupe uvumilivu huohuo
Shida ipo ila huwezi iona๐Karibia mwaka sasa, na sioni shida yeyote
Kama ni RIJALI ni kufanya sex tu au kuji_ dronedrake ndio suluhisho pekee.Zina muhaho kinyama lkn nawezaje kuzdhidhibiti apo๐๐๐
๐๐๐Naitaji kupata huu ujasiri maana nimejaribu miezi mitatu tu nimeshindwa mara umeskia mgongo unauma kuchoka kindezi ndezi na apo mazoezi nafanyaKuna member hapo juu kasema amekaa zaidi ya mwaka bill kufanya Mapenzi ๐ค
Sijui amewezaje walahi...!
Watu hawakawiagi kusema mtu kavuliwa ubingwabado niko ligi kuu, kwanini mzee ?
Red black weeeeeeh๐Kama ni RIJALI ni kufanya sex tu au kuji_ dronedrake ndio suluhisho pekee.
๐๐๐๐๐hizo uzi za kuzichakata kila siku sinyie ndio mnaziandika ila leo mmekua malaika.Ndio uhalisia hata mimi nna miaka sijui utelezi upoje, kila nikitaka kudondoka dhambini nikakumbuka nitazidi kumtesa Yesu msalabani kwa dhambi zangu naabort misheni.
Unafunga ukiwa ushamaliza kazi yako tayari, umesevu muda, kibunda na afya. Naam pongezi sana.napenda part ya foreplay, wakianza kunjunjana nafunga
Dogo tutajie mbinu zako za ushindi๐คฃ๐คฃKaribia mwaka sasa, na sioni shida yeyote
hapana aisee, demu wangu ni Nyeto, nakamiaga mechi hukoWatu hawakawiagi kusema mtu kavuliwa ubingwa