Pre GE2025 Kutofautiana kauli na mtizamo wa Katibu Mkuu na Mwenezi CCM kunaashiria nini kuelekea Uchaguzi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiekiekiekiekie, ati? Upo kwenye inner circle? Wewe jobless unajuwa hata inner circle ni nini?

Labda ina circle ya nchonyoni kwako, fuseeeeki.
 
KM ni mkubwa Kwa Mwenezi hivyo warudi vikaoni na Kutoka na mwelekeo wa pamoja.

Mbali na hapo, ni kuharibiana tu.
Aina ya siasa za KM zimepitwa na wakati. Na asilimia kubwa siasa zile zinafichaficha udhaifu mwingi kiutendaji.
Mwanasiasa ni muhimu uwe 'Dyanamic', ufanye siasa kulingana na wakati uliopo.
Siasa DAB ndio zinazohitajika kwasasa ndani ya Taifa letu.
 
Mwenezi anataka cheap popularity. Kwanini kamati ya maadili isishughulike na mtumishi wa Umma ambaye hawajabiki badala ya wanasiasa kuingilia mambo wakati mwingine wasiyo yaelewa?
 
CCM ni merikebu inayoingiza maji ndani...ni suala la muda tu.
 
CCM ni merikebu inayoingiza maji ndani...ni suala la muda tu.
Tatizo hakuna wa kuizamisha hiyo merikebu. Sio CDM wala ACT/CUF wenye ubavu huyo ndio maana hiyo merikebu inayoingiza maji inadunda miaka nenda rudi
 
Tatizo hakuna wa kuizamisha hiyo merikebu. Sio CDM wala ACT/CUF wenye ubavu huyo ndio maana hiyo merikebu inayoingiza maji inadunda miaka nenda rudi
Kawaulize kwa nini hawataki kuiondoa Tume ya uchaguzi iliyo chini ya Mwenyekieti wa CCM ambaye naye ni mgombea na kuwa Tume huru.
 
Kuhojiwa si kukaripia, lazima wajibu maswali ya wananchi!
 
Kwenye maelezo yako hakuna sehemu umethibitisha MAKONDA anawakaripia watumishi wa umma,
 
Mmoja imebidi akae pembeni, maana mafahari wawili kukaa zizi Moja isingewezekana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…