Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Pascal Mayalla nakupa ✊️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla nakupa ✊️
Ni kweli kabisaKuna wakati TUJITAHIDI kupunguza umuhimu kwenye maisha ya watu. Ina faida kubwa sana hii. Usipohusishwa na jambo binafsi basi usijihusishe. Huu ndio uungwana
Tuanzie apo apo sababu ya kiusalama ???Makonda Yupo salama kabisa,Kwa sababu za kiusalama lazima awe mafichoni mana amewaumbua watu hatari sana.
Tanzania tuna waandika habari na si waandishi wa habari.kuna jiwe la rubi limenadiwa uarabuni kwa dola 120m sawa na b288 lkn hakuna chombo cha habari hata kimoja kilichoandika bali ni Askofu Bandukile ndoa kaibua na kuposti facebookTunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
UongoYupo poa hata jana niliongea nae.
Kazi iendeleeTunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Wananunuliwa kunyamaza!Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Kaka media za siku izi, Asubuhi taarifa za BBC, matukio/Nipashe/Majira, then magazeti, michezo, kuanzia saa 3-7 uchambuzi wa mpira, mipasho. Saa 7-10 miziki na uchambuzi wa miziki. Sana 10-12 uchambuzi wa soka, Saa 12-3 habari na michezo. 3-5 mitishamba na nguvu za kiume. 5-12 miziki na salamu za usiku. Cycle ya vipindi vya redio siku izi. Maybe kwa kuwa ziko dhooful khali siku izi ndio maana zimejikita hukoNaunga mkono hoja
- Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu
- Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
-https://www.jamiiforums.com/threads/investigative-journalism-tanzania-ni-tatizo-kubwa.820898/[/URL]- Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango
P
Umemsahau Oscar Oscar 🤣🤣🤣🤣🤣Wanahabari wenyewe ndio kina mwijaku, kitenge, baba levo, zembwela unategemea nini?
Hututendei haki, wandika habari wapo, waandishi wa habari wapo, na wahandisi wa habari pia wapo ambao ni watunga habari.Tanzania tuna waandika habari na si waandishi wa habari.kuna jiwe la rubi limenadiwa uarabuni kwa dola 120m sawa na b288 lkn hakuna chombo cha habari hata kimoja kilichoandika bali ni Askofu Bandukile ndoa kaibua na kuposti facebook
Ana nafasi ya uma na hatumuoni kwenye majukumu yake kwa uma, tunaanzaje kutomuulizia?Mambo ya mtu binafsi tuyaache kwake mtu mwenyewe. Tuchape kazi tuendelee na mengine