Hii inawezekana ikawa kweli kwani hivi karibuni alionekana akiwa na waarabu kule Loliondo!Yuko Dubai anakula nchi, rumors say so, not confirmed news!
Kwavile ni mpendwa “Bata” lazima aliomba mualiko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inawezekana ikawa kweli kwani hivi karibuni alionekana akiwa na waarabu kule Loliondo!Yuko Dubai anakula nchi, rumors say so, not confirmed news!
Waandi wapo bize na simba na yanga watafukunyua kila kitu kuhusu simba na yanga yaani ila sio huko kwenye hard news..wamepaterekeza wamemwachia miladi ayo.Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Tatizo ni system, ufanye investigative journalism kwenye nchi za dunia ya tatu utakosana tu na watawala, je utabaki salama? Nani anataka kurisk maisha yake sababu ya kizazi hiki kisichostahili kupiganiwa?Naunga mkono hoja
- Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu
- Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
-https://www.jamiiforums.com/threads/investigative-journalism-tanzania-ni-tatizo-kubwa.820898/[/URL]- Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango
P
Unataka wachunguze hata maisha binafsi ya watu?Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Hizo investigative media zinaiweka wapi hiyo taarifa zikiipata? Kama hakuna investigative media hizo Rumours na speculations zinatoka wapi?Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Watu wanafanya utafiti wa kisiasa nyie endekeeleni kupiga kelele, tafuteni kitu cha maana kujiingizia kipato mwenzenu kasafiri kwaajili ya biashara zake ili aingize kipato cha kutoshaTunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
If so what does it imply? I would suggest that circumstances don't allow.Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Mkuu ws mkoa ni mtu binafsi? Hii nchi ina raia wa namna gani aiseeMambo ya mtu binafsi tuyaache kwake mtu mwenyewe. Tuchape kazi tuendelee na mengine
alikuwa anatafuta attention, sasa ameona watu hawana habari naye, wameendelea na maisha mengine.Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Anazungumzia ni mtu kwa jina lake na sio kwa cheo chake cha ukuu wa mkoaMkuu ws mkoa ni mtu binafsi? Hii nchi ina raia wa namna gani aisee
Uzi unazungumzia mtu kwa jina lake sio kwa cheo chake wala sio kwa vyote viwiliMkuu ws mkoa ni mtu binafsi? Hii nchi ina raia wa namna gani aisee
Mwenye jukumu Kama leke mkoa wa Lindi mbona humuuliziiAna nafasi ya uma na hatumuoni kwenye majukumu yake kwa uma, tunaanzaje kutomuulizia?
Makomda anayetajwa hapa ni mkuu wa mkoa wa arusha.Uzi unazungumzia mtu kwa jina lake sio kwa cheo chake wala sio kwa vyote viwili
Ukisikia kiongozi wa umma unaelewa nini?Kuna wakati TUJITAHIDI kupunguza umuhimu kwenye maisha ya watu. Ina faida kubwa sana hii. Usipohusishwa na jambo binafsi basi usijihusishe. Huu ndio uungwana
Anhaa sikuwa nimefahamu Kama hapa anaulizia mkuu wa mkoa. Ila mkuu wa mkuu wa mkoa wa mwanza nae hajasikika muda na sijaona uzi ukimuulizia humuMakomda anayetajwa hapa ni mkuu wa mkoa wa arusha.
Huyu wa Mwanza nimemuona last week tuAnhaa sikuwa nimefahamu Kama hapa anaulizia mkuu wa mkoa. Ila mkuu wa mkuu wa mkoa wa mwanza nae hajasikika muda na sijaona uzi ukimuulizia humu