Youtube zimejaza tetesi za kuombea Views tu.

Na Chawa nao wa ccm wameuchuna hawana habari na Kada mwenzao.

Hawa jamaa hawapendani.
 

Watanzania mna shida ya akili sana si mshaambiwa yuko likizo mnataka nin sasa,na makonda naona kaamua kutembea na hii kiki
 
Endelea kupaza sauti ya HAKI.

Mungu anasikia.
 
wewe mama yako akiwa leba unaweza kutangaza au kumpiga picha na kurusha?
 
Kuna wakati TUJITAHIDI kupunguza umuhimu kwenye maisha ya watu. Ina faida kubwa sana hii. Usipohusishwa na jambo binafsi basi usijihusishe. Huu ndio uungwana
Huyu si mtu wa kawaida. Ni kiongozi, ambaye analipwa mshahara kwa Kodi zetu.
Ndiyo maana tuna haki ya kuuliza alipo.
 
Nina wasi wasi, mchezo unachezwa ili kumpoteza lisu ionekane kwa kuwa konda boy kapotea na lissu apotezwe kubalance

Watu wa kitengo hawana akili nowdays reasoning yao ni ndogo sana
 
Kuna shida mahala,siku hizi watu badala ya kujadili issues muhimu tunaanza kujadili mtu.
 
Huyo mtafuta kiki za kindezi mbona yupo hai na mipango mingi ya upigaji inaendelea?
 
Huyo mtafuta kiki za kindezi mbona yupo hai na mipango mingi ya upigaji inaendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…