Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Walowezi waliokuwa wakitawala Zimbabwe walitunga sheria mbaya kudhibiti wapigania uhuru. Lakini hatimaye uhuru ulipatikana. Baada ya uhuru waziri mmoja na walinzi wake walivamia shamba la mlowezi mmoja na mwenye shamba alipohoji walimuua. Wauaji Walifunguliwa mashtaka ya kuua mbele ya Jaji mweupe. Walijitetea kwa kutumia ile sheria ya kikoloni iliyolenga kuwadibiti wapigania uhuru ambapo kiongozi wa serikali alipewa kinga ya kutoshtakiwa anapofanya jambo lolote kwa nia ya kuwadhibiti wakorofi. Wakorofi waliolengwa na sheria wakati inatungwa walikuwa watu weusi. Mara wakorofi wakageuka kuwa wale waliotunga hiyo sheria! Wauaji walishinda kesi.
 
Mnamlaumu bure huyo Simbachawene si aliunga unga Elimu ya Open University hana chochote anachojua yupo kwenye jamii ya kundi la vilaza...
 

Mwanahabari mmoja nguli alipata kuwaasa wanavyuo kuwa walofanya siasa vyuoni hawatakaa wawe wanasiasa. Huu ni ubaguzi wa kijima sijapata kuona. Hii sheria bacterium mwezi kabla haijahojiwa mahakamani. Kwanini ccm inajidhalilisha kiasi hiki?
 
Huyu ni Katibu Wa wamiliki Wa baa
Baa yake inaitwa Titanic iko Vingunguti
Sijui kwa nini kibakwe walimpa ubunge
Sijui kwanini Kikwete alimpa uwaziri
Nchi hii jamani khaaaaa!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hao ndo wenye nafuu waliobaki hujawaona walivyogonga meza huyu kichwa wao akishusha huu upuuzi
 
Mawazo ya chama kimoja ni muflisi na ya hovyo kabisa. Mfumo wa chama kimoja ndio ulituletea umasikini wa kutupwa
 
Hii sijui hata ni kitu gani Tanzania yetu inapitia kwa sasa. Mytu aliyefikia level ya uwaziri halafu huwezi kuchambua hata ABC za maendeleo ina maana umeturudisha nyuma kimaendeleo miaka yote uliyokuwa kwenye level ya uwaziri ndio maana akaondolewa pale halafu sheria na miradi aliyoipigania kwa wakati huo ama leo zinabadilishwa au miradi ile inaonekana haina maana tena. kumbe alitudanganya wakati anatuambia mradi wa gesi ukikamilika shida ya umeme itakuwa historia na umeme utashuka bei. ni UBATILI MTUPU kwa yale yanayotokea leo. Kumbe tungeiacha gesi tukaenda stiglaz goji.Ukitolea mfano wa CHINA wao wana commitment ambapo hata wangekuwa na vyama mia bado wangepiga hatua. kwa nini husemi JAPAN,MALAYSIA,SOUTH AFRICA na kwingine kwingi tu. Unaposema mfumo wa vyama vingi unakuchelewesha usilete maendeleo sio kweli kabisa. kwa sababu wewe chama tawala ndio una serikali mipango yote unapanga wewe, wapinzani kama ungewaelewa wangekusaidia sana kufikia malengo yako kwa sababu sauti zao za kukosoa ni taa ya kukuongoza wewe.Nakumbuka kati ya wabunge/waziri waliopinga na kusema mfumo wa elimu bure nchi hii hauwezekani na yeye alipinga. lakini leo ndio unatekelezwa na serikali.Nafikiri ni mmoja wa walioshiriki na kuupigia debe muswada wa TAKRIMA na ulipita ukawa sheria, hivi leo sheria hiyo bado ipo?, lakini alinishangaza pia wakati fulani akichangia hoja laisema kazi ya bunge ni kutunga sheria hivyo haipo haja ya kubishana. wao wapitishe sheria halafu wakija ona haifai wataibadilisha hapo NILISIKITIKA KABISA, bunge kupitisha sheria kwa matarajio ya kuja kuibadili baadae bila kufikiria madhara yatakayosababishwa na sheria hiyo pindi ikipitishwa na ikaanza kutumika. nchi hii siyo ya majaribio ya sheria.Mimi sheria hii siielewi kabisakabisa yaani MSAJILI ANAPEWA UWEZO WA KUMFUTA UANACHAMA MWANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA!!!!!!, sasa vyama hivi vina haja ya gani ya kuwa vyama? kama hata uwezo wa kusimamia wanachama wao unakuwa nusunusu.NILICHOJIFUNZA TANGU MFUMOO HUU UANZE NCHI HII VYAMA VYA UPINZANI VIMEKUWA MSAADA MKUBWA SANA KWA SERIKALI NA WANANCHI KWA UJUMLA KATIKA KULETA MAENDELEO NA KUPATA TAARIFA MUHIMU ZA NCHI YETU. Ndio Maana akina KAFULILA leo ni RAS, Ndio maana RUGE na SING leo wako lupango. lakini pia Ndio maana leo Mh.JPM yuko hapo vinginevyo asingeingia hata kwenye kinyang'anyiro ndani ya chama kwa jinsi tulopokuwa tumefikia wakati ule. NAKUSHOKA HANGI BAGOSHA!!!
 
Habari hii inabaki kuwa udaku kama ulivyo udaku mwingine
 
Habari hii inabaki kuwa udaku kama ulivyo udaku mwingine
I wish kama angekuwa na Nerve ya kuwarekodi sauti ila pia nayo mngesema watu wameedit au mngewasingizia jamaa zenu wa Chadema kama kawaida.
 
I wish kama angekuwa na Nerve ya kuwarekodi sauti ila pia nayo mngesema watu wameedit au mngewasingizia jamaa zenu wa Chadema kama kawaida.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unajua, hearsay kila mtu anaongea lake. Acha yabaki hivyo hivyo
 
Kama ni kweli basi sasa tumekuwa taifa la Kishirikina .............!!

By the way, kuna wakati data zilikuwa zinaonyesha kuwa Tanzania inaongoza kwa kuamini ushirikina duniani ...........!!
 
Kama ni kweli basi sasa tumekuwa taifa la Kishirikina .............!!

By the way, kuna wakati data zilikuwa zinaonyesha kuwa Tanzania inaongoza kwa kuamini ushirikina duniani ...........!!
Wanaweza kuwa hawajafanya ushirikina ila wamewatisha jamaa kuamini hivyo kwa ujumbe feki na kumuingiza bundi mjengoni ili yao yaende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…