Hvyoo kabisa....mbona humgusi Cheyo na Mrema?Kwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.
My take
Chadema na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Umeandika kwa uchungu sana aisee,god bless your soul,lets hope that the downfall of the green demon comes faster than expectedCCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
Hii wa kudumu inawauma sana, kama sera zao zinasema hivyo, mnataka serabzao zifanane na ccm, hayo ni mambo yao ya ndani hayawezi kamwe fanana na mambo ya hao wengine, ni kama wewe umkaze mkeo ni utaratibu wa nyumba yako umejiwekea ambao nyumba nyingine hawawezi jua,Hivi mtu anapataje uongozi mkuu wa kudumu wa Chama?
Hahahaa......... Hujamuona Lipumba hapo!Kwa hiyo kwa kiherehere chako umeona chadema tuu..
Hakuna vyama vingine?
Uwe na adabu huku kuna Chemba!Kila upatapo nafasi ya kumtaja Mbowe lazima umtaje, unatutia wasiwasi tudhani kuwa ulipokuwa Bavicha ulitamani akupite na akakuacha hivyo ndio chanzo cha chuki zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo hospital upime UPTHapa Mbowe asipojipiga vidole sijuwi.....Chadrama bora ife tu tunataka upinzani wa ukweli si huu wa kina Lissu, Mbowe na zuzu Zitto.
Amani inayojengwa kwenye misingi ya ulaghai, haitadumu.Chadema ni janga! Watu wako wanafanya ahughuli za maendeleo wao wamataka wakaandamane humo humo kuzuia watu. Ifutwe kabisa hii chadema uchwara. Na hii sheria mpya ya vyama vya siasa kama chama ni uchwara kama chademq naona kikifa slow death!
Kwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.
CHADEMA na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Tunataka upinzani ambao hautampa pressure Jiwe ,tunataka upinzani ambao daima utakuwa ukisifia jiwe tunarudi Zaire ya Mobutu kuanzisha vyama vya upinzani ili ionekane nchi yake ina vyama vya upinzani kumbe hewa. Hawa waliopo ni wapinzani wa kweli sasa tunataka wa kinafiki kwenye jumuia za kimataifa tuonekane tuna vyama kumbe vyote ni CCM BHapa Mbowe asipojipiga vidole sijuwi.....Chadrama bora ife tu tunataka upinzani wa ukweli si huu wa kina Lissu, Mbowe na zuzu Zitto.
Tumeshazoea maneno yenu. Makamanda bwa karatasiUnaweza kuwa mwisho wa wewe kuishi kwa utulivu.
Kamanda sahau.kabisa hiloNaona huyu wa kwetu naye inaelekea atafanyiwa kama Maduro wa Venezuela.............
Wapinzani wa kweli wako wapi?Tunataka upinzani ambao hautampa pressure Jiwe ,tunataka upinzani ambao daima utakuwa ukisifia jiwe tunarudi Zaire ya Mobutu kuanzisha vyama vya upinzani ili ionekane nchi yake ina vyama vya upinzani kumbe hewa. Hawa waliopo ni wapinzani wa kweli sasa tunataka wa kinafiki kwenye jumuia za kimataifa tuonekane tuna vyama kumbe vyote ni CCM B
Hii ni njia rahisi ya kuua upinzani lakini madhara yake yatakuwa makubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app