Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Ccm inafanya haya kumlinda Magu mwisho wa siku hata yeye hataweza kuilinda ccm ambayo ataitumia kubadili katiba asitoke madarakani najua itakapofikia hapo ccm watagundua janja ya huyo jiwe.. atakae paza sauti atafutiwa uanachama kwa sheria ile ile waliyoipitisha magu ataendelea kutawala huku sisi tukiharibu nchi yetu
 
Nakumbuka miaka ile Rais anaambiwa patachimbika. Sasa huyu wa sasa hata kumjaribu haiwezekani maana hajaribiwi.. Wapinzani wameufyata wote. Wamebaki wanabwekea mitandaoni Na bado mkizidi chokochoko zenu mtaletewa legalized crime.. Ndio mtakapojua kuheshimu mamlaka..
 
Na, Mwl, Osunga Pasaka Jr.
ZITTO KABWE ULITAKA HITLER AFANYEJE??
Nimepitia mitandao ya kijamii nikaona tweet ya huyu kijana akidai haya yalifanywa na Hitler?

Hivi kweli unamjua Hitler?

Mara baada ya vita vya kwanza vya dunia 1914-1918, Hitler pamoja na rafiki yake Austria walishindwa vibaya, hali iliyosababishwa na usaliti wa rafiki yao wa karibu Italy aliyeamua kuondoka kwenye vita kwa zawadi nono aliyoahidiwa.
Baada ya vita hivyo kilifuatia kikao cha amani pale Versaille, mji uliojirani na Paris Ufaransa.
Katika kikao hicho kilichokuwa cha upande mmoja (Tripple entete) kilichoshutumu ujeruman kama waanzilishi wa vita kiliweza kuja na maazimio yafuatayo:

a) Ujerumani kulipa uharibifu uliojitokeza zaidi ya dollar milioni 6.5
b) kurejesha Alsace na Lorraine kwa Ufaransa( kumbuka wakati wa Franco Prussian war)
c) Kutojihusisha na utengenezaji wa silaha za aina yoyote.
d) Kutokuwa mwanachama wa league of national (Ingawa alikubaliwa baadae).
Nk.

Baada ya vita hivyo Ujerumani ilikuwa chini ya Kaizer ambaye aliisababisha kuingia tena kwenye mtikisiko wa kiuchumi wa mwaka 1929-1933.
Hali hii ikasababisha mwanaume Hitler kuibuka na kusema Ujerumani imeshindwa vita vya dunia kwa sababu ya unafiki wa Wayahudi( kumbuka Wewe Zitto Ujeruman ndo nchi iliyokuwa ikitumia he badala ya she kama nyingine za dunia)
Aliibuka kuitangazia dunia kuwa Ujerumani bado ni strong state ( sense of nationalism) na kwa kuwa kulikuwa na vibaraka wa kiingereza na mataifa mengine ya mlengo wa kibepari aliamua kupitisha sheria hiyo kwa maslahi mapana ya nchi?

Nakuuliza ingekuwa Wewe ungeendelea kuwaacha akina Kaizer waharibu nchi?

Kipindi watu wako bungeni mnatembea Ulaya kuhubiri ushoga, na kulitukana taifa, Ingekuwa Hitler angewaacha????
Acha kusahau mapema Hitler unayemzungumzia ameipata Ujerumani iliyo imara baada ya kutengenezwa na mtu aliyeitwa Chancellor Ottoman Bismarck, ambaye aliamua kufuta kabisa bunge kwa sababu walikuwepo akina Zitto waliopinga Muungano wa Ujerumani nae alisema
"The great question of the day cannot reached by majority resolution but by blood and iron" akalifuta bunge na akafanikiwa 1870's kutengeneza Ujerumani ya Leo.

Zitto tafadhali brother usipende kutumia mifano ya nje ukifikiri Watanzania wrote hatusomi,
Nenda kajipange Upya, Spika ndugai leteni sheria ya kufuta wazururaji walioko huko ulaya muwafute kabisa........
Tunataka maendeleo siyo uzindaki.
Mwl.Osunga Jr.
0756231744
ikiwa miaka 59 mumeshidwa kuleta hata endeleo moja mutaweza kuleta maendeleo leo nenda huwachi mzee porojo zako. tena tu ukawadanganye ccm wenzako
 
That was anticipated. They can do anything they damn wish. No problem ikifika wakati wao kufarakana, hizi sheria zitatumika kuwanyoosha.
 
Acha UJUHA kama una ufinyu wa akili kaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Na acha UZWAZWA wa kuandika kwa herufi kubwa.

KWA BAHATI MBAYA HUMU HAKUNA SHERIA ZA MATUMIZI YA HERUFI! NINA MASHAKA NA AKILI ULIYONAYO! KWA BAHATI NJEMA HATA NAWE PIA KUMBE NI JUHA KWA SABABU UMEFANYA KILEKILE AMBACHO UNAYEMWITA JUHA AMEFANYA!
 
Mbunge wa Arusha Mjini ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Kijamii wa Twitter ambapo alikuwa akiongelea Bundi aliyeonekana jana kwenye ukimbi wa Bunge wakati wa kikao cha Bunge

Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Job Nduga, Spika wa Bunge aliwatoa hofu wabunge na wageni kuwa, katika mazingira ya kawaida ndege aina ya Bundi kwa wenyeji wa Kabila la Wagogo akitokea mchana hana tatizo isipokuwa Bundi wa usiku.

Hata hivyo, hakuna aliyejua huyo bundi ameingiaje ndani ya ukumbi wa Bunge hasa kutokana na usalama na usafi ndani ya ukumbi huo.

IMG-20190130-WA0001.jpg
 
Mbunge wa Arusha Mjini ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Kijamii wa Twitter ambapo alikuwa akiongelea Bundi aliyeonekana jana kwenye ukimbi wa Bunge wakati wa kikao cha Bunge

Kutokana na kuwepo kwa hali hiyo Job Nduga, Spika wa Bunge aliwatoa hofu wabunge na wageni kuwa, katika mazingira ya kawaida ndege aina ya Bundi kwa wenyeji wa Kabila la Wagogo akitokea mchana hana tatizo isipokuwa Bundi wa usiku.

Hata hivyo, hakuna aliyejua huyo bundi ameingiaje ndani ya ukumbi wa Bunge hasa kutokana na usalama na usafi ndani ya ukumbi huo.

View attachment 1008776
Na kiukweli sasa hivi mnajadili bundi. Mna akili sana nyie ufipa.
 
Kama mswaada umepita sasa ni wakati vyama vya upinzani kwa CCM kujiunga ili vishinde uchaguzi alafu CCM ione ilichokipitisha kama itashindikana basi itabidi wapinzani wa CCM waendane na hali halisi kama sisi raia.
 
Back
Top Bottom