Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Hayo ni mawazo mgando - Simbachawene ninayemfahamu iwapo amesema hayo ni kutukana Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete kwa kuwa mara zote tumejinasibu kwamba nchi imepata maendeleo - atueleze masuala ya udhaifu wa kiuongozi yaliyosababisha tusiendelee.

Kama anaipenda Uchina
(i). Je anajiweka nafasi ipi baada ya kutumbuliwa kwa kutowajibika kwenye wizara ya madini (Kwamba akiwa Waziri madini yalitoroshwa sababu ya CDM, NCCR, ACT, CUF nk??)

(ii) Kwamba wakati tunasaini mikataba ya madini nje ya nchi enzi za akina Dkt. Karamagi - vyama vya siasa ndivyo vilipendekeza hivyo??

(iii). Bunge lililotunga na kupitisha sheria ya kukubali vyama vingi vya siasa lilikuwa na wapinzani wangapi na liliongozwa na Serikali ya Chama gani cha siasa??

Uhuru wa kimokrasia na kisiasa ni maendeleo pia
 
Nikiandika na kusema humu Jiwe kabaki tu sasa hivi kujaza vyoo vya magogoni hamna anachofanya na hatufai kabisa kuwa rais.

Yani sisi raia tumebaki kuvizibua hivyo vyoo
chadema inajaza vyoo ufipa hawana lolote.
 
Kwendraaaaa uko hata Neno ulijui walahi
Na utakufa kama Abeli walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
Point yangu haikuwa kwenye kujua ama kutokujua neno mkuu maana sio mimi nilie liandika, namaanisha ninachosema mimi kwamba, kati ya kitu kitakacho leta mvurugano mkubwa zaid kweny nchi ni pale serikali itakapo taka kuzika kwa nguvu upinzani. Kama una kichwa cha kuelewa utaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya vyama vingi ni kututofautisha lugha kama ilivyokuwa kwenye ujenzi wa mnara wa Babeli.Natamani sana mfumo wa chama kimoja kwasababu ndio mfumo imara na madhubuti.
 
Nimesikiliza angalau kipande cha mchango wa Ndugu George Simbachawene kuhusu muswada wa sheria ya vyama vya siasa,nilichokigundua sasa ipo hoja inapazwa kwa kasi kuwa.....

1.Kufa kwa viwanda nchini Tanzania ni sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama vingi nchini.

2.Kufa kwa Mashamba makubwa yaliyotoa ajora za kutosha ni kwa sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama Vingi nchini.

3.Uwekezaji ambao haukuwa na tija kwa taifa letu kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu Vyama vingi.

4.Tatizo la ajira nchini ambalo linakuwa siku baada ya siku limesababishwa na mfumo wa Vyama vingi nchini.

5.Kashfa kubwa za Rushwa kama EPA,Escrow,Richmond,Meremeta,Dowans n.k zilisababishwa na nchi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi.

6.Kufa kwa Shirika la Reli,Shirika la Ndege/Anga kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuanzisha mfumo wa Vyama vingi.

Ndiyo maana George Simbachawene anasema nchi kama China ina chama kimoja tu na uchumi wake sasa ni imara.

Simbachawene anatamani Tanzania tubaki na chama kimoja ili tujenge taifa lenye nguvu duniani.Sijui kwa nini George hajatumia mifano ya mataifa ambayo yameendelea na yana mfumo wa vyama Vingi?

George Simbachawene ambaye kama sikosei aliondoshwa kwenye Wizara ya Madini na Mh Rais kutokana na kutuhumiwa na Kamati ya Mh Rais ile ya Makanikia,anasema huko nyuma nchi ilikuwa kwenye presha muda wote na akataja harakati kama..

1.Movement for Change
2.Oparesheni Sangara n.k

Kwa mtazamo wa Ndugu Simbachawene,harakati hizi zilichangia kuchelewesha maendeleo nchini.

Nakumbuka harakati hizi zlikuwa zinapiga kelele dhidi ya hiki anacholia nacho Mh Rais Magufuli kila kukicha,wizi,Rushwa,kujilimbikizia mali,Uwekezaji wa hasara.

Je Simbachawene anataka kusema Vyama vya upinzani vingekaa kimya wakati Buzwagi wanawasainisha mawaziri wetu mikataba mibovu hotelini?

Je Simbachawene anasema Vyama vya Upinzani vingekaa kimya wakati baadhi ya Mawaziri,wafanyabiasha na watumishi wa Umma wanagawana pesa za Escrow kwenye sandarusi?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya Siasa vikae kimya wakati wakazinwa Nyamongo wanateseka na maji yenye sumu kutoka mgodi wa North Mara,wanapigwa Risasi na wawekezaji?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji kwenye migodi walipojigeuza miungu watu(wasiguswe),walipokuwa wanawahakisha wenyeji kinyama tena usiku wa manane bila fidia?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji hawa walipokuwa wanachimba madini bila kulipa kodi?huku suala la mapato wakilifanya kuwa ni Siri kati yao na Serikali

Je Simbachawene alitaka vyama ya upinzani vikae kimya wakati Twiga wanahamishwa kwenda nje kwa ndege?wanyama wanauwa na wawindaji haramu?

Je Simbachawene alitaka watu wakae kimya huku kuna watumishi wa Umma walikuwa wanakula mishahara hewa?

Je Simbachawene alitaka wapinzani wakae kimya wakati baadhi ya Viongozi wetu wakuu walipoamua kujiuzia mpaka migodi ya madini?

Yaani haya yote,adhabu yake ni kuwazuia wanasiasa wasiseme chochote mpaka wakati wa uchaguzi na wakikaidi Msajili anawafuta katika wigo wa Siasa?

Kwa nini tusitunge Sheria ambazo zitakuja kuwafanya Watanzania wazidi kuwa wamoja zaidi bila kujali tofauti zao za kisiasa,kidini,kikabila na hata kimtazamo?

Kwa nini baadhi yetu kila siku tunawaza kutunga Sheria ambazo zinalenga kubinya haki za wengine?

Kwa nini tufikirie kutunga Sheria ambazo zinatengeneza hofu badala ya Ujasiri?

Mambo haya yanatafakarisha sana sana.
Simbachawene ni mbunge mbumbumbu kilaza juha mkubwa atakuwa hana vyeti kama Bashite kwa upumbavu ule nina uhakika atakuwa anavuta Bangi.
 
Kazi ya vyama vingi ni kututofautisha lugha kama ilivyokuwa kwenye ujenzi wa mnara wa Babeli.Natamani sana mfumo wa chama kimoja kwasababu ndio mfumo imara na madhubuti.

Mfumo wa chama kimoja uwepo kwenye Nchi inayojielewa chama chenye viongozi wenye weledi watapata maendeleo, lakini mfumo wa chama kimoja chini ya chama cha ccm kisichojielewa na viongozi wake ni wapiga dili wamekula mpaka trilion 1.5 kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini huko porini vijijini ni vigumu CCM ilete maendeleo kwani 97% ya wana CCM ni kizazi cha wezi
 
Ukitaka kupata uhalisia wa umasikini uliokithiri basi tembelea majimbo ya Dodoma likiwemo la huyu kondakta wa zamani wa mabasi yaliyoitwa Urafiki(sina hakika kama bado yapo)Cha ajabu badala ya wabunge hawa akiwemo yeye na wenzake kina Ndugai,Lusinde,Nkamia na wengine kutumia muda wao kuelimisha wananchi kuhusu mbinu mbalimbali za kuondokana na umasikini uliokithiri,wao utawasikia ndo wachangiaji wakuu kwenye masuala wanayoyaita yenye maslahi mapana kwa taifa!Huyu anasema vyaqma vya upinzani vifutwe,Lusinde ukimsiliza naye ni kutukana tu,Nkamia anahangaika na hoja ya kumwongezea muda Rais akijua ikipita na yeye ubunge wake ataendelea nao yaani ukitafakari unabaki kusikitika tu.Wakati mwingine huwa nawaza pengine Mungu afanye kama alivyofanya wakati wa Nuhu wote tufe wabakie watoto ambao hata hawajui fikra za sasa labda wao wakikua watafikiri tofauti!Ngachoka
Mkuu mimi nimekaaa sana viijiji vya huko kna vilaza usipimie....huko kwa lusinde nilikaaga kijiji kimoja kinaitwa mlowa barabarani enzi hzo barabara bado kujengwa ile ya iringa kupitia dodoma
Watu hko wao ni kula mlenda na ugali
Maji yenyewe ya kisima utafikiri makamasi
Mazingira magumu lakini bado watu walikuwa wanashabikia ccm nakumbuka wakati huo mb wao alikuwa malecela
Haya Ukienda mkurabi mambo yale yale
Nakumbuka niliendaga mlowa kwa project ya kulima ufuta na nikapataga maeneo fulani yako ndani ya mlowa wanapaita madimo....kiukweli mm ndy mtu wa kwanza kulima kule nilifataga ngombe mkurabi wale wa kulimia mashamba nkawaleta mpaka mlowa....mijitu pale wakawa wa nani cheka ah mtoto wa dar sikuwezi hko basi nkasafisha pori nkaanda shamba kiukweli
Sikufanikiwa kilimo cha ufuta pale madimo kutokana na Hali ya hewa mvua kugoma etc
Watu wa sehemu hzo akili zao kama lusinde tu.....ila tu kuna jamaa mmja alihamiaga pale anaitwa Alan alikuwa mfanyabiashara alinisifu sana ....Alan sahv ni Diwani pale mlowa na kuna siku siku alinambia kijana lile pori ulijaribu lima ufuta sahv watu wote ndy wanalima hko.......
Kwa kifupi watu wa sehemu za hko CCM watazidi kuwaburuta tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nimekaaa sana viijiji vya huko kna vilaza usipimie....huko kwa lusinde nilikaaga kijiji kimoja kinaitwa mlowa barabarani enzi hzo barabara bado kujengwa ile ya iringa kupitia dodoma
Watu hko wao ni kula mlenda na ugali
Maji yenyewe ya kisima utafikiri makamasi
Mazingira magumu lakini bado watu walikuwa wanashabikia ccm nakumbuka wakati huo mb wao alikuwa malecela
Haya Ukienda mkurabi mambo yale yale
Nakumbuka niliendaga mlowa kwa project ya kulima ufuta na nikapataga maeneo fulani yako ndani ya mlowa wanapaita madimo....kiukweli mm ndy mtu wa kwanza kulima kule nilifataga ngombe mkurabi wale wa kulimia mashamba nkawaleta mpaka mlowa....mijitu pale wakawa wa nani cheka ah mtoto wa dar sikuwezi hko basi nkasafisha pori nkaanda shamba kiukweli
Sikufanikiwa kilimo cha ufuta pale madimo kutokana na Hali ya hewa mvua kugoma etc
Watu wa sehemu hzo akili zao kama lusinde tu.....ila tu kuna jamaa mmja alihamiaga pale anaitwa Alan alikuwa mfanyabiashara alinisifu sana ....Alan sahv ni Diwani pale mlowa na kuna siku siku alinambia kijana lile pori ulijaribu lima ufuta sahv watu wote ndy wanalima hko.......
Kwa kifupi watu wa sehemu za hko CCM watazidi kuwaburuta tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtaji wa CCM ni wale watu wajinga mbumbumbu vilaza hata vigazeti vya kifala fala vya cyprian Musiba husomwa na watu wa aina hiyo hiyo
 
Mgogo( samahani lakini) Dodoma haijawahi kutoa mbunge asiye mchumia tumbo.

Wengi ni watu wa ajabu wana Tabia za ajabu sana, mfano cheki Tabia mbovu za Spika Ndungai
 
Nimesikiliza angalau kipande cha mchango wa Ndugu George Simbachawene kuhusu muswada wa sheria ya vyama vya siasa,nilichokigundua sasa ipo hoja inapazwa kwa kasi kuwa.....

1.Kufa kwa viwanda nchini Tanzania ni sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama vingi nchini.

2.Kufa kwa Mashamba makubwa yaliyotoa ajora za kutosha ni kwa sababu ya uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu mfumo wa Vyama Vingi nchini.

3.Uwekezaji ambao haukuwa na tija kwa taifa letu kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuruhusu Vyama vingi.

4.Tatizo la ajira nchini ambalo linakuwa siku baada ya siku limesababishwa na mfumo wa Vyama vingi nchini.

5.Kashfa kubwa za Rushwa kama EPA,Escrow,Richmond,Meremeta,Dowans n.k zilisababishwa na nchi kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi.

6.Kufa kwa Shirika la Reli,Shirika la Ndege/Anga kulisababishwa na uamuzi wa mwaka 1992 wa kuanzisha mfumo wa Vyama vingi.

Ndiyo maana George Simbachawene anasema nchi kama China ina chama kimoja tu na uchumi wake sasa ni imara.

Simbachawene anatamani Tanzania tubaki na chama kimoja ili tujenge taifa lenye nguvu duniani.Sijui kwa nini George hajatumia mifano ya mataifa ambayo yameendelea na yana mfumo wa vyama Vingi?

George Simbachawene ambaye kama sikosei aliondoshwa kwenye Wizara ya Madini na Mh Rais kutokana na kutuhumiwa na Kamati ya Mh Rais ile ya Makanikia,anasema huko nyuma nchi ilikuwa kwenye presha muda wote na akataja harakati kama..

1.Movement for Change
2.Oparesheni Sangara n.k

Kwa mtazamo wa Ndugu Simbachawene,harakati hizi zilichangia kuchelewesha maendeleo nchini.

Nakumbuka harakati hizi zlikuwa zinapiga kelele dhidi ya hiki anacholia nacho Mh Rais Magufuli kila kukicha,wizi,Rushwa,kujilimbikizia mali,Uwekezaji wa hasara.

Je Simbachawene anataka kusema Vyama vya upinzani vingekaa kimya wakati Buzwagi wanawasainisha mawaziri wetu mikataba mibovu hotelini?

Je Simbachawene anasema Vyama vya Upinzani vingekaa kimya wakati baadhi ya Mawaziri,wafanyabiasha na watumishi wa Umma wanagawana pesa za Escrow kwenye sandarusi?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya Siasa vikae kimya wakati wakazinwa Nyamongo wanateseka na maji yenye sumu kutoka mgodi wa North Mara,wanapigwa Risasi na wawekezaji?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji kwenye migodi walipojigeuza miungu watu(wasiguswe),walipokuwa wanawahakisha wenyeji kinyama tena usiku wa manane bila fidia?

Je Simbachawene alitaka Vyama vya upinzani vikae kimya wakati wawekezaji hawa walipokuwa wanachimba madini bila kulipa kodi?huku suala la mapato wakilifanya kuwa ni Siri kati yao na Serikali

Je Simbachawene alitaka vyama ya upinzani vikae kimya wakati Twiga wanahamishwa kwenda nje kwa ndege?wanyama wanauwa na wawindaji haramu?

Je Simbachawene alitaka watu wakae kimya huku kuna watumishi wa Umma walikuwa wanakula mishahara hewa?

Je Simbachawene alitaka wapinzani wakae kimya wakati baadhi ya Viongozi wetu wakuu walipoamua kujiuzia mpaka migodi ya madini?

Yaani haya yote,adhabu yake ni kuwazuia wanasiasa wasiseme chochote mpaka wakati wa uchaguzi na wakikaidi Msajili anawafuta katika wigo wa Siasa?

Kwa nini tusitunge Sheria ambazo zitakuja kuwafanya Watanzania wazidi kuwa wamoja zaidi bila kujali tofauti zao za kisiasa,kidini,kikabila na hata kimtazamo?

Kwa nini baadhi yetu kila siku tunawaza kutunga Sheria ambazo zinalenga kubinya haki za wengine?

Kwa nini tufikirie kutunga Sheria ambazo zinatengeneza hofu badala ya Ujasiri?

Mambo haya yanatafakarisha sana sana.
Mh.Simbachawene pole sana mkuu pamoja na Tanzania kuwa na Vyama vingi lakini Tanzania inaongozwa na CCM toka tupate uhuru, Simbachawene hebu fafanua vyama vingi vimechelewesha maendeleo gani? Juhudi zote hizi anazofanya mh.Rais ni kuwaogopa Wapinzani na wala sio matakwa ya CCM.Maendeleo ya nchi hii yamedhohofishwa na CCM na viongozi wake mpaka leo kwenye Majukwaa Katibu Mkuu wa CCM mr.Bashiru anakili kuwa CCM kuna majizi hata Mh.Rais tukuulize Mafisadi wote walio mahakamani na chama gani kama sio CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point yangu haikuwa kwenye kujua ama kutokujua neno mkuu maana sio mimi nilie liandika, namaanisha ninachosema mimi kwamba, kati ya kitu kitakacho leta mvurugano mkubwa zaid kweny nchi ni pale serikali itakapo taka kuzika kwa nguvu upinzani. Kama una kichwa cha kuelewa utaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Kibaya zaidi wanataka kuwazika kwa Risasi huku mzikaji mkuu Daud Arbaty Bashite akijinufaisha humo humo kwa pesa nyingi alizipewa kwa ajili ya kudhoofisha chadema na kuua upinzani kwa ujumla
 
Mfumo wa chama kimoja uwepo kwenye Nchi inayojielewa chama chenye viongozi wenye weledi watapata maendeleo, lakini mfumo wa chama kimoja chini ya chama cha ccm kisichojielewa na viongozi wake ni wapiga dili wamekula mpaka trilion 1.5 kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini huko porini vijijini ni vigumu CCM ilete maendeleo kwani 97% ya wana CCM ni kizazi cha wezi
Nyumba ikipata na hitilafu unaifanyaje mkuu?


MAGUFULI4LIFE
 
Back
Top Bottom