Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Naona anaelezea umasikini aliokulia.

Anadai alibeba zege na mke wake alikuwa mama Ntile.
 
Kweli mke wa Mwigulu alikuwa mama lishe?
 
Hapana siyo Yesu peke yake. Labda hata Biblia husomi umekariri tu.
Hivi hilo jina la Simba wa Yuda hujui hata chanzo chake??

NB: H.I.M (Haile Selassie) naye alikuwa akiitwa simba wa Yuda. Je naye alikuwa Yesu??

Mi ninayemjua ni Yesu pekee yake. Hao wengine hawakua na mamlaka wala uweza ka wake wa Kiuungu.
 

Hahahaaa kula like kubwa
 
Huyo alishindwa kutuambia nani alichukua pesa kutoka stanbic? Ndo urais ataeza
 
yule wa jana hata kugeuza shingo alikuwa hawezi kabisa................na anapondwa kweli leo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…