Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Jemeni hao watangaza nia wengine ni lini wanatangaza tujue ratiba zao na chanel zipi zitaonyesha ili tusipitwe na hizi muvi za kifisadi za hawa mafisadi wa ccm.?
 
Huyu atuambie kwanza kule soweto aliyelipua yale mabomu ni nani?
 
Kweli jamaa mzalendo, wenzie waliwaleta kina Diamond, Ney na wengine yeye kaleta ngoma ya asili.

Ngoja tuone yatakayojiri

Hivi huwezi ukaweka mkutano bila kutafuta wasanii wa kutumbuiza?
Huo ni uoga nenda kajieleze kavu kavu.
 
Msafara wa magari unaanza kuingia sasa huu ni usanii kama ule wa arusha jana
 
Hawa Jamaa wametoa hela wapi ya kurusha matangazo live kwenye channels kibao?

Hilo ni swali gumu lakini ukisisitiza utajibiwa hela inatoka kwa friends of Mwingulu 😂😂😂😂. Watanganyika amkeni!
 
Kuwa kiranja au kaka mkuu ulivyokuwa shule sio kigezo cha sisi kukuchagua kuwa Rais.
 
Naona hii sasa imekuwa ndio fashion na utamaduni kwa wana-CCM wanaosaka uraisi.

Muda huu ninapoandika kuna magari aina ya coaster yamekodishwa ili kubeba wanafunzi wa chuo kikuu na kuwapeleka Chuo cha Mipango Dodoma kwenye tukio la Mwigulu kutangaza nia.

Nasikitika kuona hata wanafunzi wa vyuo vikuu nao hawajitambua!

Binafsi nimebaki naangali tu tukio hili nikiwa kwenye gate kubwa la kuingilia na kutoka hapa chuoni.

Yale maandiko yanatimia ... Wanaweza kuona lakn wasipate kuelewa na wanaweza kusikia na wasipate kujua
 
Sasa mpaka 3:22 mgeni rasmi hajafika hizi dalili tosha hafai kabisa
 
Wanae!eza story walizohadithiwa na baba yake mwigulu hawasemi utumishi na siasa na nini aliachivu
 
Ulitegemea baba yake aseme mwanae alifeli na wakaiba vyeti
 
Wanae!eza story walizohadithiwa na baba yake mwigulu hawasemi utumishi na siasa na nini aliachivu

Ni usanii tu wanafanya historia yake kutembea kilomita sijui 100 hatuhusu kabisa
 
Back
Top Bottom