Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

mwanzoni tu naanza kusikia uvivu kuendelea kukaa hapaa kumsikiliza huyu mtu
Kunachoniboa hapa ni hii CV inayotajwa sidhan kama inaweza kumsaidia
Maana kutaja kuwa.ulikuwa head prefect wa secondary kuwa mchumi boraa sidhani kama inahusiana na matatizoo tulionayoo
Kweli kwenye cv kachemka ngoja tumsikiee akija kuongea ya kuongea
 
Naangalia ITV hapa kuna taarabu je hawarushi live??
 
Wezi wanatangaza nia. Tuangalie nani ataleta hoja zenye mashiko.

unakumbuka jana nilikuambiaje?
hakuna mtu yyte ambaye atatangaza nia bila kutumia pesa.
Haijawa kutokea dunian eti rais wa nchi akachaguliwa kwamba ni mtu maskin, hana uwezo wa kifedha yuko usweken huko eti anatangaza nia ili agombee urais.
ivi umewah kujiuliza iyo tu gharama ya fomu ya mil 3 ni ndogo? sasa wanapata wapi?
mbona kuna watanzania wanakosa sh 5000 ya kuchukua fomu ya mtt wa kujiunga shule huyu atamuadu kutoa mil 3 kugombea urais?

hata hao upinzania njia ni hii hii, ishu je nani ndiye anayetufaa kwa sera na uwajibikaji?
 
Kwa watu kweli kabeba wa kutosha kiukweli wametosha
 
unakumbuka jana nilikuambiaje?
hakuna mtu yyte ambaye atatangaza nia bila kutumia pesa.
Haijawa kutokea dunian eti rais wa nchi akachaguliwa kwamba ni mtu maskin, hana uwezo wa kifedha yuko usweken huko eti anatangaza nia ili agombee urais.
ivi umewah kujiuliza iyo tu gharama ya fomu ya mil 3 ni ndogo? sasa wanapata wapi?
mbona kuna watanzania wanakosa sh 5000 ya kuchukua fomu ya mtt wa kujiunga shule huyu atamuadu kutoa mil 3 kugombea urais?

hata hao upinzania njia ni hii hii, ishu je nani ndiye anayetufaa kwa sera na uwajibikaji?

Kuna gharama zingine zimevuka kiwango huwezi ukatoa pesa ukodi watu au ukasombe watu waje wakushangilie tumia gharama za kawaida tu.
 
Back
Top Bottom