Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Arusha wamekata umeme kama walivyofanya jana wakati lowasa anahutubia, napata wasiwasi chaguo la ikulu ni wasira maana ndie tulieweza kumsikiliza mwanzo mwisho bila hitilafu ya umeme..
 
hivi hakuna uzi mwingine wa live,maana huyu bavicha kama anahujumu uzi wake mwenyewe.
haweki update wala picha makusudi.
huyu mwigulu nae hakujipanga mtu wa kurusha live hapa.
au hana hela nini?
 
Mwigulu mbona hafiki au gari yake imepata pancha?
 
Arusha wamekata umeme kama walivyofanya jana wakati lowasa anahutubia, napata wasiwasi chaguo la ikulu ni wasira maana ndie tulieweza kumsikiliza mwanzo mwisho bila hitilafu ya umeme..

Wewe upo arusha maeneo gani mbona umeme upo au luku imeisha kwako?
 
Familia ya madelu imejaa watoto 16 ambao hawakufika kidato cha sita! Kazi ipo
 
huyu ni sawa na jiwe la kushikia foleni...
 
Naona hii sasa imekuwa ndio fashion na utamaduni kwa wana-CCM wanaosaka uraisi.

Muda huu ninapoandika kuna magari aina ya coaster yamekodishwa ili kubeba wanafunzi wa chuo kikuu na kuwapeleka Chuo cha Mipango Dodoma kwenye tukio la Mwigulu kutangaza nia.

Nasikitika kuona hata wanafunzi wa vyuo vikuu nao hawajitambua!

Binafsi nimebaki naangali tu tukio hili nikiwa kwenye gate kubwa la kuingilia na kutoka hapa chuoni.

Wasomi walikuwa zamani hawa wa sasa hata ukimuuliza unasoma ili ufanye nini katika Taifa lako hata akikujibu atakujubu huku akiwa hana hakika nakile anachokiamini.
 
Back
Top Bottom