Lowasa hana tofauti kabisa na Kikwete,JK alikuwa na timu nzuri sana(Rostam,Makamba,Sita,Salva,Lowasa,Kinana) .Lowasa team yake ndio itakayomwangusha (Tibaijuka,Karamagi,Mahanga,Mlaki,Kapuya,Msabaha,Chenge,Bashe) hawa karibia wote wana scandal za ufisadi
Hivi dar hakuna watangaza nia? Nataka niende na mimi....
Uzoefu ni mazoea ya starehe,Mwigulu kichwa kwa kweli,kweli wamekaa long time madarakani sisi shida tu wenyewe ni sherehe kila leo
Ni BIBI BOMBA.....hahahahaa
Huyo nae namsubiri aongee,kwa hawa walioongea tayari MWIGULU ANAFAA
Bora kule kuliko huku, huku mnapeana punches za maana bwana...
Kule ni mtakuja hakuna asiyekuja kule.
Nitakucheka sana.. Mi nakungoja tu kwenye kona hahaha
Kwa nini mkuu?nipe sababu za kutaka kujua jinsia yanguSamahan huwa nataman kujua jinsia yako
Samahan huwa nataman kujua jinsia yako
Duh mkuu na wewe utakuwa live kupitia wapi au humu Jf.