Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Lowasa hana tofauti kabisa na Kikwete,JK alikuwa na timu nzuri sana(Rostam,Makamba,Sita,Salva,Lowasa,Kinana) .Lowasa team yake ndio itakayomwangusha (Tibaijuka,Karamagi,Mahanga,Mlaki,Kapuya,Msabaha,Chenge,Bashe) hawa karibia wote wana scandal za ufisadi

Mkuu Kwa hii timu ni unafiki Wa siasa tutakuta watangazania nao wanajiunga na hii timu
 
Ukitaka kushughulikia rushwa yakupasa usiwe mla rushwa? je yeye Nchemba ni msafi? Wakati swala dogo tu la Escrow account alishindwa kutoa majibu mujarabu kwa watanzania.
 
Safi sana, huyo jamaa aliyeuliza hilo swali la kushuka thamani hongera zake.
 
Kwa Nondo hizi Padri slaa kamwe hagusi ikulu...labda akaombe kugombea Urais wa ma Padri wastaafu Tanzania....
 
kapigwa bonge la swali kama waziri wa fedha na fedha inazidi kuporomoka ,
 
Back
Top Bottom