Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Hahahaha,
Kwa kiingereza muite thank you Kwasi
Kwa wanyakyusa muite ndaga Kwasi
Kwa wajita muite Wakondya kwasi
Kwa wasukuma muite wabheja kwasi
Kwa wamasai muite khashi kwasi,
Kwa kinyiramba muite songela kwasi,
Kwa kichaga muite Eeka Kwasi,
Kwa kinyiha muite Wasalipa Kwasi
Duuuuuuh, raha sana!!!!!!!
ongezea na kingoni Muite Usengwile Kwasi
 
26872494_187204338536646_4053008251795537920_n.jpg

SIMBA 4G
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.
 
Naunga mkono hoja,Hans hajuagi kufanya rotation ya kikosi angalia hata akiw yanga swala la uchovu lilikuw linaonekana kwa wachezaj weng kutokana na kutumika katika michuano mbalimbali bila kupumzishwa.Hivo kilichomtokea jana kimenidhiirisha kuwa wachezaji wake ni wachovuu.
 
Kunywa sumu .mzeee...this is simba bwana
Na wengine ukiona simba inakukereketa basi kunywa sumu
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.
Kwani Simba haikuwa mapinduzi cup?? Viroba sijui jangwani mmevificha wapi.
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.
Hii kanuni pia ina apply kwa Mbao vs Yanga...
 
Back
Top Bottom