Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Nikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wanguWeka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante CCM kutujuza mambo Haya
Atakua anajambisha uzi anyenyekewe!Weka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyo
Atakua anajambisha uzi anyenyekewe!Weka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyo
Jidanganye tuHalafu hizo mambo za waganga wa kienyeji ni nbakadabra....hakuna kitu
Nilipoona hii video nilijua movie ,bongo movieHivi mganga anaruhusu kurekodiwa akifanya vituko vyake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hawawezi kuwa wanapita humu bwana. Mi mwenyewe avatar yangu na mwandiko wangu mtu akipita lazima anijue ila kwa kuwa situkani wala simsimangi jiwe hata siwogopiNikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wangu
No anawajua kweli inavyoonekana.Atakua anajambisha uzi anyenyekewe!
Teh Jf kichaka bi mkubwa ukute wewe ndiye sh....na mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hawawezi kuwa wanapita humu bwana. Mi mwenyewe avatar yangu na mwandiko wangu mtu akipita lazima anijue ila kwa kuwa situkani wala simsimangi jiwe hata siwogopi
Aisee inanipeleka niamini hivyo, hasa kipindi hiki watu wako bize kutafuta kikiNilipoona hii video nilijua movie ,bongo movie
Halafu umejiunga Jf 2011 ,tumia kichwa kufikiri sio kubebea nyweleAtakua anajambisha uzi anyenyekewe!
Lol. Sijawahi kuwa na rafiki hata akasema tu anataka kwenda kwa mganga acha kumsindikiza. Sio mimi bwana embu mwaga story [emoji23][emoji23]Teh Jf kichaka bi mkubwa ukute wewe ndiye sh....na mwenyewe
weee, embu mniambie nami naangaliaje , nijuze niandikeje nami nijionee[emoji23]
Wanahustle vingi [emoji23][emoji23]Hawa wajasiriamali wa insta wana mengi tuu wamebeba vifuani yasio pendeza waonage tuuu wanakula bata ooohh hustling hustling kumbe [emoji17] [emoji17] [emoji17]
aya hekaheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] video si imewekwa jamani
Insta sijaona habari zote hizi napata whatsapp