Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Weka japo juu juu mkuu. Haijajulikana bado kwanini maana huko kwa mganga wameenda alhamisi sijui ijumaa sasa sielewi ni nini walikerana mpaka kuumbuana hivyo
Nikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wangu
 
Nikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hawawezi kuwa wanapita humu bwana. Mi mwenyewe avatar yangu na mwandiko wangu mtu akipita lazima anijue ila kwa kuwa situkani wala simsimangi jiwe hata siwogopi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hawawezi kuwa wanapita humu bwana. Mi mwenyewe avatar yangu na mwandiko wangu mtu akipita lazima anijue ila kwa kuwa situkani wala simsimangi jiwe hata siwogopi
Teh Jf kichaka bi mkubwa ukute wewe ndiye sh....na mwenyewe
 
Back
Top Bottom