Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
Aiseee ni Msanii Gani Huyo Tena,Khaaaaaa!!!!!!
 
Mh mtoto yupi huyo sasa aliyezaa na yule mama mweupe au yule aliyekufa
Nakumbuka Dada Wa Taifa ashawahi kugusia chanzo cha Yule Binti Kufariki,Aliweka Chini ya Carpet,alisema binti alijiua na sio malaria kama ilivyotangazwa,chanzo cha kujiua kuna mambo alikuwa anafanyiwa ambayo DADA WA TAIFA HAJAWEKA WAZI au kama aliweka Nishasahau maana kitambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…