Kutoka Kambini Baharini: Kuna Mtu kakimbia baada ya Mganga kusema anatakiwa Yeye kwa Kafara ili Mfalme wa Nyika Afe Jumamosi

Kutoka Kambini Baharini: Kuna Mtu kakimbia baada ya Mganga kusema anatakiwa Yeye kwa Kafara ili Mfalme wa Nyika Afe Jumamosi

Halafu sijui kwanini hii ya kufukia maiti uwanjani huwa inapendwa sana, kuna jamaa aliniambia hii kitu nikiwa mkoa fulani, kwenye mechi ya ligi nilishangaa sana, nasikia wanaenda mortuary wanachukua maiti inaenda kufukiwa uwanjani, baadaye maiti inarudishwa ilikotolewa.
Mambo mengine fix tu.
 
Back
Top Bottom