Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014


Hata Lukuvi amejinasibu na kujitanabahisha kwa Ukirosto wake
 
Kweli watu mmekosa kazi na mnao muda wa kupoteza katika haya masaa machache kwenye siku...

Ni kweli Lukuvi alikosea na amekosa hekima kama kiongozi kutoa maneno ambayo kwa watu anaowaongoza sio ya busara..., Lakini kukosea kwa Lukuvi ni makosa ya Lukuvi na waliomteua and has nothing to do with Christianity.

Watu mnasema kwamba watu wana chuki..., hivi kweli mtu utalazimishwa watu/mtu akupende ? Wewe fanya kazi yako kwa manufaa yako na ndugu zako hayo mambo ya nani hanipendi na alinichukia hayatakusaidia kwa lolote lile.

Mwisho wa siku watu hawachukii mtu bali kile anachokifanya na outcome ya anachokifanya.., hivyo basi kama kuna watu wanafanya uhalifu na kuchoma mali za watu na ku-terrorize watu kwa kutumia mgongo wa imani fulani usitegemee watu watawapenda au kutokuwaogopa..., Cha maana ni watu wa imani hiyo kujitenga na kuwalaani hao wengine wanaowaharibia au kutoa education kwamba Imani safi haiungani na hao wanaofanya hayo. Wa kulaani sio anayeogopa / asiyependa bali yule anayechafua imani kwa vitendo vya ajabu.
 
Niliambiwa kuwa Mtu Mwenye kula Nguruwe huwa mropokaji, mpayukaji haya hana... Mag3 unakula Nguruwe? Kwanini Wasabato hawali?
 

Wewe CAR umewaona wakina Anti-Balaka peke yao bila kuwatambua wakina Seleke? Haujui kuwa hao wakristu wa huko wanakifanya kile ambacho mngetaka wakristu wa hapa kufanya? Haujui wao walianza kama vigilantes dhidi ya waislamu wa Seleke na leo wamekuwa waovu kiasi kwamba hamna wa kutofautisha? Mimi nawalaani hao wakina Anti Balaka , wewe unaweza kuwalaani wakina Seleka, Boko Haram na waovu wengine kama hao?

Hiyo chuki ya wakristu mnayoizungumzia iko wapi? Ingekuwa hivyo huyo Lukuvi angekubali kufanya kazi na waislamu lukuki waliojaa serikalini kuanzia Rais wake?

Hapa mwenzenu amefurahia mauaji ya wakristu na pale alipotokea mmoja wenu kumpinga kuwa huo si uislamu mkambeza. Niambie ni wapi hao wakristu wanaowachukia wamewaua au kuchoma misikiti yenu baada ya nyie kuwaua au kuwachomea makanisa yao. Nyini mara zote mkisikia tu kuwa kuna mtu kafanya kitendo dhidi ya uislamu kitu cha kwanza mnachofanya ni kuchoma makanisa na kuiba vilivyomo pamoja na divai!

Wenye chuki ni nyie na sio sisi.

Amandla....
 
mCCM,awe Muislam au Mkristo kwa sasa ni adui wa taifa letu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kanyigo,
Sheikh Ponda Issa Ponda ni ndugu yangu na rafiki yangu kipenzi.

Hayo mengine ulosema sioni kama kuna tija yoyote itapatikana
kwa mimi kukujibu.

Basi Mohamed Said ingekuwa vizuri kama ungeenda mombasa na nduguyako Sheikh Ponda Issa Ponda. Maana wale vijana wa Uhuru kenyata wanaitaki ilim yako kwaiyo ukifanya kongamano pale itakuwa swala la busara kweli.
 
wanashika dini kwa ujinga ujinga nd iwanaosababisha shida popote duniani. Nchi kama Uturuki (Turkey) ina waislam 99% lakini huwezi kusiki ujinga kama huu ulioandika hapo juu. ni waislam waliosaarabika. kwa taarifa yako . kwenye maofisi yote ya serikali huruhusiwi kuvaa hijab, na hata vyuoni.

sasa wewe mmanema unataka ksema kuwa unajua sana. unaonekanaumelewa matautapu alafu unajifayamuislam kweli?
 
Matawana,
Upo ushahidi vipi Kanisa linaongoza serikali.

Tatizo ni hofu ya marais wote kuukubali ukweli huu.
 
wakristu hawawapendi waislam kwa kuwa waislmu ni watu hatari sana na wanahubiri mambo ya hovyo hovyo.huwez hubiri kuuwa wengine halafu upendwe.jirudini na mumrudie allah wenu na mtende kama allah alivyowataka
 

Hebu rudia post yangu, uone kama ulichoandika kina make sense.
 
Bobuk

Ndugu yangu kasome tena Historia na Vita vya huko, hakika hata Wakristo wa palestine wanapigana na Jews hhuko na hawakubaliki Israel kwakuwa lile ni taifa la Jews tu.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mohamed Said wewe ni mmanyema wa Kigoma kwa akina abakorakamo. Mahaba uliyonayo kwa Zanzibar yanatoka wapi? Pambana Tanganyika yako Irudi.

Mkuu mtoa mada anajitambua sana na anaufahamu wa hiki kinachoendelea. Tukimsupport kudai zanzibar ni sawa na kuikomboa Tanganyika bila jasho. Kuipata Zanzibar huru ni rahisi sana kwa sasa kuliko kuidai Tanganyika huru kwa sababu Zanzibar wako hatua za mwisho kabisa za kujikomboa kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi Tanganyika. Ikikombolewa Zanzibar automatically Tanganyika huru itakuwa imepatikana kwasababu huwezi kuwa na Tanzania pasipo na Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:

Just a friendly reminder,
You may be among the enemy of Mohamed Said's religion. Run for cover!!
 
Last edited by a moderator:
WEWE bin adamu, great thinkers wanakata maswala wewe unaleta madrasa humu- ni wakati wa kuamka-kumepambazuka,yaliyopita yamepita wewe umeshachelewa hakikisha wanao wanaenda shule,iwe mwiko kuwaoza wakiwa bado wadogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…