Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Bobuk,

Bado TANZANIA yetu haina DINI wala KABILA kama alivyo Mungu wetu sote. Baadhi yetu wameji-legitimize kwa DINI zao. Ni taabu kuwaondoa watu hawa kwenye dini hizo. Utambulisho na uhalali wao ni hizo dini zao. Mbaya zaidi wameandika hivo. Wanao wafuasi pia. Watu hawa ukiwauliza kwa nini makanisa yachomwe, kwa Mapadre wauwawe, wajeruhiwe, watakwambia wanataka kuwa martyr wa DINI zao!

Hata Lukuvi amejinasibu na kujitanabahisha kwa Ukirosto wake
 
Kweli watu mmekosa kazi na mnao muda wa kupoteza katika haya masaa machache kwenye siku...

Ni kweli Lukuvi alikosea na amekosa hekima kama kiongozi kutoa maneno ambayo kwa watu anaowaongoza sio ya busara..., Lakini kukosea kwa Lukuvi ni makosa ya Lukuvi na waliomteua and has nothing to do with Christianity.

Watu mnasema kwamba watu wana chuki..., hivi kweli mtu utalazimishwa watu/mtu akupende ? Wewe fanya kazi yako kwa manufaa yako na ndugu zako hayo mambo ya nani hanipendi na alinichukia hayatakusaidia kwa lolote lile.

Mwisho wa siku watu hawachukii mtu bali kile anachokifanya na outcome ya anachokifanya.., hivyo basi kama kuna watu wanafanya uhalifu na kuchoma mali za watu na ku-terrorize watu kwa kutumia mgongo wa imani fulani usitegemee watu watawapenda au kutokuwaogopa..., Cha maana ni watu wa imani hiyo kujitenga na kuwalaani hao wengine wanaowaharibia au kutoa education kwamba Imani safi haiungani na hao wanaofanya hayo. Wa kulaani sio anayeogopa / asiyependa bali yule anayechafua imani kwa vitendo vya ajabu.
 
jackline, nimepita tu baada ya kuliona jina langu limetajwa na sitasumbuka kusoma zaidi yaliyomo ndani ya thread hii for that would be stooping and I choose never to stoop. Mohamed Said? Ndio nani huyo tena? Hilo jina nililifuta kabisa katika orodha ya...ooops, I had promised myself not to ever stoop...! Samahani jackline, nakitoa, huo muda wa kupoteza sina! Kwa sasa tunajadili namna ya kujenga msingi imara wa taifa...Katiba inayoitambua Tanganyika.
Niliambiwa kuwa Mtu Mwenye kula Nguruwe huwa mropokaji, mpayukaji haya hana... Mag3 unakula Nguruwe? Kwanini Wasabato hawali?
 
Unajidanganya ndugu yangu.Ungetumia muda mrefu kumkemea mdini Lukuvi ningekuelewa.Na ungekua mkweli basi ungewaambia wasomaji kile eanachokifanya Wakristu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati(C.A.R)Wale si wanatumia mtutu kulinda dini yao.Sielewi Wakristu wa Tanzania wamelishwa sumu gani kuwachkia hivi Waislam.Kwa kweli ni lazima hapa kuna jambo zito.Kulinda kile unachokiamini si suala la kua Muislam bali kila anayeamini kua imani yake inachezewa kwa namna isiyovumilika basi jambo la mwisho kulifanya ni kulinda na kutetea kile anachokiamini.

Wewe CAR umewaona wakina Anti-Balaka peke yao bila kuwatambua wakina Seleke? Haujui kuwa hao wakristu wa huko wanakifanya kile ambacho mngetaka wakristu wa hapa kufanya? Haujui wao walianza kama vigilantes dhidi ya waislamu wa Seleke na leo wamekuwa waovu kiasi kwamba hamna wa kutofautisha? Mimi nawalaani hao wakina Anti Balaka , wewe unaweza kuwalaani wakina Seleka, Boko Haram na waovu wengine kama hao?

Hiyo chuki ya wakristu mnayoizungumzia iko wapi? Ingekuwa hivyo huyo Lukuvi angekubali kufanya kazi na waislamu lukuki waliojaa serikalini kuanzia Rais wake?

Hapa mwenzenu amefurahia mauaji ya wakristu na pale alipotokea mmoja wenu kumpinga kuwa huo si uislamu mkambeza. Niambie ni wapi hao wakristu wanaowachukia wamewaua au kuchoma misikiti yenu baada ya nyie kuwaua au kuwachomea makanisa yao. Nyini mara zote mkisikia tu kuwa kuna mtu kafanya kitendo dhidi ya uislamu kitu cha kwanza mnachofanya ni kuchoma makanisa na kuiba vilivyomo pamoja na divai!

Wenye chuki ni nyie na sio sisi.

Amandla....
 
mCCM,awe Muislam au Mkristo kwa sasa ni adui wa taifa letu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kanyigo,
Sheikh Ponda Issa Ponda ni ndugu yangu na rafiki yangu kipenzi.

Hayo mengine ulosema sioni kama kuna tija yoyote itapatikana
kwa mimi kukujibu.

Basi Mohamed Said ingekuwa vizuri kama ungeenda mombasa na nduguyako Sheikh Ponda Issa Ponda. Maana wale vijana wa Uhuru kenyata wanaitaki ilim yako kwaiyo ukifanya kongamano pale itakuwa swala la busara kweli.
 
wanashika dini kwa ujinga ujinga nd iwanaosababisha shida popote duniani. Nchi kama Uturuki (Turkey) ina waislam 99% lakini huwezi kusiki ujinga kama huu ulioandika hapo juu. ni waislam waliosaarabika. kwa taarifa yako . kwenye maofisi yote ya serikali huruhusiwi kuvaa hijab, na hata vyuoni.

sasa wewe mmanema unataka ksema kuwa unajua sana. unaonekanaumelewa matautapu alafu unajifayamuislam kweli?
 
Matawana,
Upo ushahidi vipi Kanisa linaongoza serikali.

Tatizo ni hofu ya marais wote kuukubali ukweli huu.
 
wakristu hawawapendi waislam kwa kuwa waislmu ni watu hatari sana na wanahubiri mambo ya hovyo hovyo.huwez hubiri kuuwa wengine halafu upendwe.jirudini na mumrudie allah wenu na mtende kama allah alivyowataka
 
Mchakato unaendelea. Wakatoliki wenzake wanazihangaikia hizo heri. Zikikosekana au hata zikipatikana zikapingwa na mtu kama wewe Faiza, Mwalimu hatatangazwa kuwa mwenyeheri na wewe na wa aina yako mtafurahi kabisa ingawa mnayo DINI yenu na mambo yenu.

Hebu rudia post yangu, uone kama ulichoandika kina make sense.
 
ndiyo hizo no wonder hii dini iko in conflicts with all religion/believes of this world. Islam v. Christian (Nigeria) Islam v Jews (Israel/Palestine), Islam v Hindu (India) Islam v. Budha (Thailand), Islam v Animist (Sudan) you mention them. Lakini uki substitute Islam with other religion you will never get that scenario.
Bobuk

Ndugu yangu kasome tena Historia na Vita vya huko, hakika hata Wakristo wa palestine wanapigana na Jews hhuko na hawakubaliki Israel kwakuwa lile ni taifa la Jews tu.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mohamed Said wewe ni mmanyema wa Kigoma kwa akina abakorakamo. Mahaba uliyonayo kwa Zanzibar yanatoka wapi? Pambana Tanganyika yako Irudi.

Mkuu mtoa mada anajitambua sana na anaufahamu wa hiki kinachoendelea. Tukimsupport kudai zanzibar ni sawa na kuikomboa Tanganyika bila jasho. Kuipata Zanzibar huru ni rahisi sana kwa sasa kuliko kuidai Tanganyika huru kwa sababu Zanzibar wako hatua za mwisho kabisa za kujikomboa kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi Tanganyika. Ikikombolewa Zanzibar automatically Tanganyika huru itakuwa imepatikana kwasababu huwezi kuwa na Tanzania pasipo na Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Wewe vipi laumu Maalim Mohamed Said yeye kusemea mambo ya Zanzibar kwa sababu yeye penda Tanganyika. Wewe kama taka Tanganyika rudi basi pigania free sovereign Zanzibar. Impossible Tanganyika to annex Zanzibar and call it Tanganyika. You learn history from him sio that been cooked at Pengo's Altart and Chuo ya Kivukoni.
gombesugu bhai

Just a friendly reminder,
You may be among the enemy of Mohamed Said's religion. Run for cover!!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la kuwa na stress za maisha ndo kama hivi, unaongea kitu hata hueleweki alimradi tu nawe ionekane walau umecomment.
Kwa kukusaidia ili uondokane na huu msongo wa mawazo ambao umekuwa ukikusumbua kwa siku nyingi bila kupata tiba. Chukua haya ninayokwambia na utapona kabisa mpaka siku yako ya mwisho hapa duniani. Tiba hii ingia katika mwanga na toka haraka sana huko gizani. Ingia katika nuur ya Uisilamu utaishi maisha yenye amani tele.

Pole sana ninaelewa ni wengi sana wenye matatizo kama yako lakini kwa kukufahamisha zaidi wale wazungu ambao unawaamini sana sasa hivi wameitambua hii tiba ninayokuelezea hapa na kwa hakika mamia kwa mamia wanaingia katika diyn ya Haq ili kuondokana na stress zilizokuwa zikiwasumbua kwa muda mrefu sana. Hujachelewa amka sasa uingie katika Nuur. Usikubali kabisa kuendelea kuwa mfuasi wa wanaowaambia wafuasi wao kuwa dini yao hawawazi kuielewa mpaka wapate roho mtakatifu.

Huwezi samehewa dhambi kupitia kwa mtu kama hao viongozi wako wanavyokuelekezeni. Aidha kwa tafakur zaidi jaribu kutumia muda mchache kwa kutumia akili ambazo umejaaliwa na Muumba kuhoji ni vipi mungu akauliwa?, ni vipi mungu akadhalilishwa? ni vipi mungu alieumba mwanadamu halafu tena azaliwe na huyo mwanadamu aliyemuumba.

Karibu katika Mwanga....
WEWE bin adamu, great thinkers wanakata maswala wewe unaleta madrasa humu- ni wakati wa kuamka-kumepambazuka,yaliyopita yamepita wewe umeshachelewa hakikisha wanao wanaenda shule,iwe mwiko kuwaoza wakiwa bado wadogo
 
Back
Top Bottom