Kutoka kuwakoromea Mawaziri hadi mpokea Mwenge wa Uhuru; kutoka kutumia magari lukuki hadi kwenye gari moja

Kutoka kuwakoromea Mawaziri hadi mpokea Mwenge wa Uhuru; kutoka kutumia magari lukuki hadi kwenye gari moja

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida then bench
 
Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida then bench
Mm mtu wa mbeya akiandika thtead kuhusu mtu wa dar huwa najua ataandika vumbi. Humjui makonda wewe.. atakusanya zile pikipiki zote za arusha zimfate nyuma. Ana matajiri wengi sana Arusha kuliko dar. Huko ndio hata zile defender za mwamvuli zilipotengenezwa tena bure kwa serikali ila washika dau wakatoa hela. Huko ndiko hata Alipata landcruiser lake la kwanza. Inshort wale watu anaozunguka nao kule paris akienda au russia wapo huko. Makonda ana wafanyabiashara ndio wanaompa jeuri hakai na wangese.
Simpendi ila nasema makonda yupo nyumbani kwake sasa.
Na pia utajiri utaongezeka maana atadaka appartment nyingi sana huko. Kama sio viwanja vya mjini.
Cha mwisho. Makonda bado hajazeeka. Mtoto mdogo na anakula parefu sana. Hata mtata yysuph makamba hajafikia hili jamaa.
Makonda simpendi ila namuomba akafanye kazi yake na status ya ubabe ismtoke moyoni mwake. Aje kupoa hata 15 years to come. Huko ndio afanye watu wanachitaka.
Shida hawezi tu kuwa raisi. Ila ana muda mrefu kutesa mioyo yetu. Namuombea ila simpendi.
 
Hii Nchi, inaumizwa Kwa kua na Rais wajinga, wapumbavu namna ya Mtoa Uzi Huu.


Hivi Kwa Kazi nzuri anayoonyesha Paul Makonda, Ukiondoa mapungufu yake ambaye hata wewe unayo.

Unapata wapi Gut za kumcheka na kumponda Mh Paul Makonda?.

Ziara zake alizofanya, Kuonyesha Wananchi wanataka nn, kuonyesha mashimo yote ya upigaji ,uvivu, Uzembe ,ufisadi, kutokuwajibika, Uonevu , kuchelewesha Kwa miradi , n.k , Kwa Uwezo wake, Changamoto zilizokua mikononi mwake, akafanikiwa kuzitatua hapo hapo, nyingine akazipeleka panapotakiwa.


Utamwambia nn, Mama ambaye alikua akizungushwa, akiliwa Pesa zake ,akionewa kisa wahuni fulan tu wa Ardhi?.

Vipi kuhusu waloonewa na Polis ?.

Vipi wale ambao ilionekana mahakama waziwazi kabisa, imewanyima haki zao?.

Vipi wale waloonewa na Watumishi wa Halmashauri ?.


Paul Makonda Kwa muda wake mfupi, alifanya CHAMA kikaaminika ghafla, Paul Makonda Kwa muda wake, alifanya Watumishi wa Halmashauri nyingi Nchini kuanza kubadilika na kuchukua hatua , Kila Halmashauri ilipopata Taarifa za ujio wa Makonda, wakifanya kazi usiku na mchana bila kulala .

Na Matokeo yakaonekana.



Watanzania, kama tutaendelea na akili za kipumbavu namna hiii, hautakaa kupiga hatua yoyote.

Nchi Sasa umerudi mikononi mwa Matajiri Akina GSM, Familia za JK ,Makamba ..hivi kweli watu Hawa wachache , ndio ambao wanatoa Dira ya Taifa lenye watu million 60?? Na bado mnacheka kindezi kindezi??.


Tulikua na HAYATI JPM, alojitoa Maisha yake , mud wake mfupi aloishi, ukatosha kutuonyesha ni kitu gan tulikosa.

Akafariki, Wajinga wakacheka, Sasa kinachoendelea Leo, kimewafanya mmkumbuke.


Fikra za ukombozi, kwakua hazifi, Leo tunao Akina PAUL MAKONDA... badala ya kuwaunga mkono, nasisi tunaburuzwa na wpaumbavu wachache, wazandiki na mafisadi kiasi Cha kua wasaliti Kwa watu wa aina ya Makonda.



Leo hii, Jerry Silaa, anapambana kuhakikisha Migogoro ya Ardhi inaishia..ila naye tayari nmeanza kumtengenezea Zengwe la kufa mtu.


Mnataka nini?.
 
Hii Nchi, inaumizwa Kwa kua na Rais wajinga, wapumbavu namna ya Mtoa Uzi Huu.


Hivi Kwa Kazi nzuri anayoonyesha Paul Makonda, Ukiondoa mapungufu yake ambaye hata wewe unayo.

Unapata wapi Gut za kumcheka na kumponda Mh Paul Makonda?.

Ziara zake alizofanya, Kuonyesha Wananchi wanataka nn, kuonyesha mashimo yote ya upigaji ,uvivu, Uzembe ,ufisadi, kutokuwajibika, Uonevu , kuchelewesha Kwa miradi , n.k , Kwa Uwezo wake, Changamoto zilizokua mikononi mwake, akafanikiwa kuzitatua hapo hapo, nyingine akazipeleka panapotakiwa.


Utamwambia nn, Mama ambaye alikua akizungushwa, akiliwa Pesa zake ,akionewa kisa wahuni fulan tu wa Ardhi?.

Vipi kuhusu waloonewa na Polis ?.

Vipi wale ambao ilionekana mahakama waziwazi kabisa, imewanyima haki zao?.

Vipi wale waloonewa na Watumishi wa Halmashauri ?.


Paul Makonda Kwa muda wake mfupi, alifanya CHAMA kikaaminika ghafla, Paul Makonda Kwa muda wake, alifanya Watumishi wa Halmashauri nyingi Nchini kuanza kubadilika na kuchukua hatua , Kila Halmashauri ilipopata Taarifa za ujio wa Makonda, wakifanya kazi usiku na mchana bila kulala .

Na Matokeo yakaonekana.



Watanzania, kama tutaendelea na akili za kipumbavu namna hiii, hautakaa kupiga hatua yoyote.

Nchi Sasa umerudi mikononi mwa Matajiri Akina GSM, Familia za JK ,Makamba ..hivi kweli watu Hawa wachache , ndio ambao wanatoa Dira ya Taifa lenye watu million 60?? Na bado mnacheka kindezi kindezi??.


Tulikua na HAYATI JPM, alojitoa Maisha yake , mud wake mfupi aloishi, ukatosha kutuonyesha ni kitu gan tulikosa.

Akafariki, Wajinga wakacheka, Sasa kinachoendelea Leo, kimewafanya mmkumbuke.


Fikra za ukombozi, kwakua hazifi, Leo tunao Akina PAUL MAKONDA... badala ya kuwaunga mkono, nasisi tunaburuzwa na wpaumbavu wachache, wazandiki na mafisadi kiasi Cha kua wasaliti Kwa watu wa aina ya Makonda.



Leo hii, Jerry Silaa, anapambana kuhakikisha Migogoro ya Ardhi inaishia..ila naye tayari nmeanza kumtengenezea Zengwe la kufa mtu.


Mnataka nini?.
Jinga moja wewe
 
Hii Nchi, inaumizwa Kwa kua na Rais wajinga, wapumbavu namna ya Mtoa Uzi Huu.


Hivi Kwa Kazi nzuri anayoonyesha Paul Makonda, Ukiondoa mapungufu yake ambaye hata wewe unayo.

Unapata wapi Gut za kumcheka na kumponda Mh Paul Makonda?.

Ziara zake alizofanya, Kuonyesha Wananchi wanataka nn, kuonyesha mashimo yote ya upigaji ,uvivu, Uzembe ,ufisadi, kutokuwajibika, Uonevu , kuchelewesha Kwa miradi , n.k , Kwa Uwezo wake, Changamoto zilizokua mikononi mwake, akafanikiwa kuzitatua hapo hapo, nyingine akazipeleka panapotakiwa.


Utamwambia nn, Mama ambaye alikua akizungushwa, akiliwa Pesa zake ,akionewa kisa wahuni fulan tu wa Ardhi?.

Vipi kuhusu waloonewa na Polis ?.

Vipi wale ambao ilionekana mahakama waziwazi kabisa, imewanyima haki zao?.

Vipi wale waloonewa na Watumishi wa Halmashauri ?.


Paul Makonda Kwa muda wake mfupi, alifanya CHAMA kikaaminika ghafla, Paul Makonda Kwa muda wake, alifanya Watumishi wa Halmashauri nyingi Nchini kuanza kubadilika na kuchukua hatua , Kila Halmashauri ilipopata Taarifa za ujio wa Makonda, wakifanya kazi usiku na mchana bila kulala .

Na Matokeo yakaonekana.



Watanzania, kama tutaendelea na akili za kipumbavu namna hiii, hautakaa kupiga hatua yoyote.

Nchi Sasa umerudi mikononi mwa Matajiri Akina GSM, Familia za JK ,Makamba ..hivi kweli watu Hawa wachache , ndio ambao wanatoa Dira ya Taifa lenye watu million 60?? Na bado mnacheka kindezi kindezi??.


Tulikua na HAYATI JPM, alojitoa Maisha yake , mud wake mfupi aloishi, ukatosha kutuonyesha ni kitu gan tulikosa.

Akafariki, Wajinga wakacheka, Sasa kinachoendelea Leo, kimewafanya mmkumbuke.


Fikra za ukombozi, kwakua hazifi, Leo tunao Akina PAUL MAKONDA... badala ya kuwaunga mkono, nasisi tunaburuzwa na wpaumbavu wachache, wazandiki na mafisadi kiasi Cha kua wasaliti Kwa watu wa aina ya Makonda.



Leo hii, Jerry Silaa, anapambana kuhakikisha Migogoro ya Ardhi inaishia..ila naye tayari nmeanza kumtengenezea Zengwe la kufa mtu.


Mnataka nini?.
Ungana nasi kupambania Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.

Huyo kijana Hana Uzalendo wowote zaidi ya comedy.

Nilikwambia kijana Si wa kumfananisha na Magu.

Nyumba imeshafitinika, haitasimama.
 
Hii Nchi, inaumizwa Kwa kua na Rais wajinga, wapumbavu namna ya Mtoa Uzi Huu.


Hivi Kwa Kazi nzuri anayoonyesha Paul Makonda, Ukiondoa mapungufu yake ambaye hata wewe unayo.

Unapata wapi Gut za kumcheka na kumponda Mh Paul Makonda?.

Ziara zake alizofanya, Kuonyesha Wananchi wanataka nn, kuonyesha mashimo yote ya upigaji ,uvivu, Uzembe ,ufisadi, kutokuwajibika, Uonevu , kuchelewesha Kwa miradi , n.k , Kwa Uwezo wake, Changamoto zilizokua mikononi mwake, akafanikiwa kuzitatua hapo hapo, nyingine akazipeleka panapotakiwa.


Utamwambia nn, Mama ambaye alikua akizungushwa, akiliwa Pesa zake ,akionewa kisa wahuni fulan tu wa Ardhi?.

Vipi kuhusu waloonewa na Polis ?.

Vipi wale ambao ilionekana mahakama waziwazi kabisa, imewanyima haki zao?.

Vipi wale waloonewa na Watumishi wa Halmashauri ?.


Paul Makonda Kwa muda wake mfupi, alifanya CHAMA kikaaminika ghafla, Paul Makonda Kwa muda wake, alifanya Watumishi wa Halmashauri nyingi Nchini kuanza kubadilika na kuchukua hatua , Kila Halmashauri ilipopata Taarifa za ujio wa Makonda, wakifanya kazi usiku na mchana bila kulala .

Na Matokeo yakaonekana.



Watanzania, kama tutaendelea na akili za kipumbavu namna hiii, hautakaa kupiga hatua yoyote.

Nchi Sasa umerudi mikononi mwa Matajiri Akina GSM, Familia za JK ,Makamba ..hivi kweli watu Hawa wachache , ndio ambao wanatoa Dira ya Taifa lenye watu million 60?? Na bado mnacheka kindezi kindezi??.


Tulikua na HAYATI JPM, alojitoa Maisha yake , mud wake mfupi aloishi, ukatosha kutuonyesha ni kitu gan tulikosa.

Akafariki, Wajinga wakacheka, Sasa kinachoendelea Leo, kimewafanya mmkumbuke.


Fikra za ukombozi, kwakua hazifi, Leo tunao Akina PAUL MAKONDA... badala ya kuwaunga mkono, nasisi tunaburuzwa na wpaumbavu wachache, wazandiki na mafisadi kiasi Cha kua wasaliti Kwa watu wa aina ya Makonda.



Leo hii, Jerry Silaa, anapambana kuhakikisha Migogoro ya Ardhi inaishia..ila naye tayari nmeanza kumtengenezea Zengwe la kufa mtu.


Mnataka nini?.
Kazi nzuri ipi au kazi nzuri huzijui
 
Maisha ni mzunguko, unapokuwa mkubwa heshimu watu kwani bila watu uwezi kuwa mtu mkubwa.

Unapoaminiwa rizika na kidogo unachopata na kumwachia aliyekuamini akupe kikubwa zaidi

Tambua ipo siri kubwa ya kukutanisha na MWENYEKITI wa CCM Arusha Mzee Sabaya ambaye mikono yake inanuka ukatili.

Waliokupeleka huko wanafahamu kwamba ikizingua watakinukisha na wewe automatically utakosa wakisimama naye. Hakuna msimamo tena ndani ya chama kuna misimamo.

Arusha to Singida then bench
Screenshot_2024-01-26-17-18-28-1-1.png
 
Ameajiriwa kama katibu wa itikadi mwaka ulopita lakini hajavuka hata miezi 6 katenguliwa japo hatujajua dhumuni la CCM/TISS/Mama labda kumuandalia nafasi kubwa zaidi au ni kama punishment kwa kauli zake za kila siku za kutotaka watu wasimuongelee mabaya Hayati.
 

Sisi hatujui, ila tukiweka yote kando, aliyemshauri Mwenyekiti amtoe Makonda kwenye uenezi hamtakii mema Mwenyekiti.

Wakati mwingine watu wanaweza kukushauri ili wakupoteze, Makonda na madhaifu yake yote, uenezi na propaganda anaiweza.
 
TISS wanahusika vipi hapo?ndio maana nchi imekua pango la drugs cartels,money laundering,human trafficking na mbaya zaidi hizi porous borders zimekua choo cha wote,tiss walinde nchi sio kuwa right wing ya political party
 
Back
Top Bottom