Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
ni kweli mzee
Sisi hatujui, ila tukiweka yote kando, aliyemshauri Mwenyekiti amtoe Makonda kwenye uenezi hamtakii mema Mwenyekiti.
Wakati mwingine watu wanaweza kukushauri ili wakupoteze, Makonda na madhaifu yake yote, uenezi na propaganda anaiweza.