Ata mimi pia ni IT Specialist na miaka 20 na kitu sasa na click Maus.Tatizo ni hili la kudownload mahela kwa Computer ndo linanipa shakaMimi ni injinia na kazi zangu nyingi nafanya kwa "kuclick maus ya kompyuta"....Hapo unasemaje? bado una amini siwezi ingiza pesa kwa kuclick mouse ya computer?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] wanajifanya wajanja sana ila wanaliwa kiulainiiiWanaume wa jf wanashobokeaga vitu sana.kuna mmoja aliniambia anilipie training ya forex nikamwambia nimpe mtaji nikauze nyanya .akaniona fala.hajawai kupata hata mia anajilaumu sasa
Ile usumbufu mwingi aseeh... ichukue.Kaka rudisha ila avatar Kwanza........[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hyo movie ya white Masai una party two yake mkuu?Ile usumbufu mwingi aseeh... ichukue.
Besikale yes.Hyo movie ya white Masai una party two yake mkuu?
[emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100] [emoji100] ........asali yaoIle usumbufu mwingi aseeh... ichukue.
Jamii forums mnashiriki kwenye kampeni za ujambazi za huyu kijana..
Haya mabandiko ya misukule yake humu imelenga kwenye UTAPELI, SIFA NA UKWEZI ambao hauna tija yoyote humu. Jukwaa hili limegeuzwa kijiwe cha habari za udaku kuhusu huyu mwizi.
Ni wendawazimu kufuta nyuzi au kuunganisha nyuzi za watu wengine na kuacha nyuzi za sifa za kijinga zaidi ya moja humu.
Uzi huu hauna maana yoyote humu..ni ujinga tupu
Huyo mmasai wenu aliniangusha sana kwenye movieSi dhambi kuwa na mawazo hasi na mtu ila ni vizuri zaidi tena zaidi kuwa na mawazo yasiyo hasi kwa mtu.
Pamoja saana ONTARIO.
Kisa forex ya TMT?Watu wameliwa sana, watu wamekula mitaji, watu wamepata stroke na frustration ya kufa mtu..
Yaani mi ninaowajua kitaa ni kama 15, haloo wamechanganyikiwa!
Waliahidiwa nini?Wengi mnaosoma hapa hamjaelewa kabisa
View attachment 685473
Mkitaka kuelewa niulizeni niwafafanue ! Kama unataka kuelewa waulizeni wanafunzi wa TMT waliahidiwa nini kwa kila mwezi
Mimi sitakuangusha walai.Huyo mmasai wenu aliniangusha sana kwenye movie
Hapana sio mimi, na simjui wala sijawahi kumsikia huyo mtu unaye msema.Wewe ndo yule injinia mwenye jina kama la chama cha China ya zamani?
Kama hujui kitu haimaanishi hicho kitu hakipo, sasa na mwingine anaweza kukuona tapeli kwa sababu una click mausi kwa miaka ishirini je na yeye atakua sahihi??Ata mimi pia ni IT Specialist na miaka 20 na kitu sasa na click Maus.Tatizo ni hili la kudownload mahela kwa Computer ndo linanipa shaka
Halafu unadownload nyumba, madaraja nakadhalika na kuvipeleka site vinakuwa halisi?Mimi ni injinia na kazi zangu nyingi nafanya kwa "kuclick maus ya kompyuta"....Hapo unasemaje? bado una amini siwezi ingiza pesa kwa kuclick mouse ya computer?
Sio kila injinia anajenga nyumba,madaraja na kwenda site acha kukariri, sawa?Halafu unadownload nyumba, madaraja nakadhalika na kuvipeleka site vinakuwa halisi?
Haya mrudishe huyo kaka haraka kwenye avatar ndio anaefanya tunakuota usikuMimi sitakuangusha walai.
AhhahaahahahHalafu unadownload nyumba, madaraja nakadhalika na kuvipeleka site vinakuwa halisi?
Nimechoka kuotwa... nikimtoa huyu maasai namweka klaree.Haya mrudishe huyo kaka haraka kwenye avatar ndio anaefanya tunakuota usiku