Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu

Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu

Mimi ni injinia na kazi zangu nyingi nafanya kwa "kuclick maus ya kompyuta"....Hapo unasemaje? bado una amini siwezi ingiza pesa kwa kuclick mouse ya computer?
Ata mimi pia ni IT Specialist na miaka 20 na kitu sasa na click Maus.Tatizo ni hili la kudownload mahela kwa Computer ndo linanipa shaka
 
Wanaume wa jf wanashobokeaga vitu sana.kuna mmoja aliniambia anilipie training ya forex nikamwambia nimpe mtaji nikauze nyanya .akaniona fala.hajawai kupata hata mia anajilaumu sasa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] wanajifanya wajanja sana ila wanaliwa kiulainiii
 
Jamii forums mnashiriki kwenye kampeni za ujambazi za huyu kijana..

Haya mabandiko ya misukule yake humu imelenga kwenye UTAPELI, SIFA NA UKWEZI ambao hauna tija yoyote humu. Jukwaa hili limegeuzwa kijiwe cha habari za udaku kuhusu huyu mwizi.

Ni wendawazimu kufuta nyuzi au kuunganisha nyuzi za watu wengine na kuacha nyuzi za sifa za kijinga zaidi ya moja humu.

Uzi huu hauna maana yoyote humu..ni ujinga tupu

Unauwakika na maneno yako?au ndio ujasiri wa nyuma ya keyboard [emoji446] zako tu hapo. Siku zote tumewambia kua kuna mtu yyte mwenye RB ya police [emoji61] ju yake? Hakuna hata mmoja kajitokeza sasa shutma zidi yake haziwezi kuifaya JF ifanye ubaguzi.
Mwisho wa siku tukagundua kua wewe na genge lako ni washindani wa ki biznes tu hamna hoja za mashiko kabisa ju ya ONTARIO.
kwa kumalizia tujadili bandiko hili mkuu.
 
Ata mimi pia ni IT Specialist na miaka 20 na kitu sasa na click Maus.Tatizo ni hili la kudownload mahela kwa Computer ndo linanipa shaka
Kama hujui kitu haimaanishi hicho kitu hakipo, sasa na mwingine anaweza kukuona tapeli kwa sababu una click mausi kwa miaka ishirini je na yeye atakua sahihi??

Moja ya sifa za mtu wa IT ni kuwa msomaji, mtu anayejifunza na mfuatiliaji wa mambo, je wewe kama mtu wa IT na kama kweli ni mfuatiliaji kwanini usinge google hiyo forex ili utoe hayo mashaka yako??

Au wewe ni wale IT wa kibongo mmnao jua php,html,css mliyojifunza chuoni mkazani hamna kingine cha kujifunza zaidi ya ulivyosoma chuoni?
 
Mimi ni injinia na kazi zangu nyingi nafanya kwa "kuclick maus ya kompyuta"....Hapo unasemaje? bado una amini siwezi ingiza pesa kwa kuclick mouse ya computer?
Halafu unadownload nyumba, madaraja nakadhalika na kuvipeleka site vinakuwa halisi?
 
Back
Top Bottom