Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Hiyo mboga ni tamu sana, usipoosha vizuri lazima ukutane na vijikonokono vyeusiiii
 
Wajibu upi unaambiwa unakata majani na viboko juu
 
Leta vitu baba,natamani kujua kwa Sasa maisha yako na ya wadogo zako kule rombo yanaendeleaje
 
Moshi kulikuwa na vibaka wakiitwa kokomoti enzi za 90s
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…