Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
You have the right to remain silent,anything you say can and will be used against you in the court of law
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]nikird tena stor hii mniite zuwena huyu jamaa hana maana kabsa
Na lijezi lako la utopolo.. utarudi tunikird tena stor hii mniite zuwena huyu jamaa hana maana kabsa
Ni kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundihata majambazi yanazidiana viwango asee, kama huna CV ya uhakika utapewa ishu ndogondogo
chaiSehemu ya 11
Nilikaa pale makuburini, na muda uliyoyoma sana nikaamua kusubiri muda uzidi kusonga maana niliona hapa ndio salama yangu.
Kausingizi kalinipitia kidogo nikaja kuamshwa na wanga waliokuja kufanya yao makaburini, wao hawajiona ila mimi nimewaona. Nikaamka kuwafata ili kujua natokaje tokaje hapa, naona wao pia wananikimbia kwa hofu sijui walihisi mfu kafufuka au vp.
Nikaendelea kujibana na vituko viliendelea nikaona busara nisisumbue tena watu nkaja kamatwa hivo nilijiongeza kusubiri adhana ilie ili niende uelekeo huo huo. Macho nayo yalikuwa mazito ila adhana niliisikia nami nilifata uelekeo huo huo mpaka Masjid pale nikajiziguzisha maeneo yale na kwakuwa mabomba yapo nilinawa. Mida ya sala ilivyoisha nikiwa na hang hang mitaa hiyo kwa kutosomeka nilisikia stori watu wanapiga. Yameuawa wote, mengine yamekatwa, yule muarabu haingiliki wale wameyakanyaga. Nikajua hapa kishanuka
Kulipambazuka na stori kubwa town ilikuwa ni hiyo ukipita vijiweni au stendi watu wanasimuliana. Hapo sina hata ndururu (sina hela) nikawaza naondokaje huu mkoa wa Kigoma.
Nikaenda stendi kuzengea zengea nikamwona konda ananichangamkia, nikamuuliza unaenda wapi jomba? Akasema Kasulu! Nikamwambia namimi naenda huko huko ila sina nauli msaada namimi ntapiga debe, akasema sawa kwanza fanya usafi ufagie ndani ya gari hilo utoe taka zote ukamwage.
Nikafanya kama nilivoambiwa, gari lilikuwa kwenye kilo abiria walivyojaa likaondoka njiani mambo yalikuwa mengi sana ila nilifika Kasulu na kuanza kufanya kazi za day worker sokoni.
Na kulala ilikuwa ni kambi popote nilikaa kama wiki mbili kisha nikaondoka na kwenda kibondo maeneo Twabagondozi ambako huko napenyewe ni vibarua vya mtaani tu.
Huko nilibahatika kupata rafiki anaitwa Ulokoze, huyu naye tulizoeana na katika kupiga soga za hapa na pale aliniambia mishe kuu kwa huku nikuteka magari au mabasi utaweza?
Nikawaza nikaona hizo mishe ni ndogo ndogo sana nikamwambia hamna za hela ndefuu? Akasema labda wewe utupe sisi uzoefu wetu ni huku Kibondo mpaka Kasulu. Nikamuuliza silaha ipo? Akasema hana ila kuna mtu anayo nikitaka inapatikana. Nikamwambia basi hamna shida tuliachana na baada ya siku 3 alinifata na kuniambia wanaenda chimbo, yaani kutesa rizki za watu. Mi nikamwambia hizo za pesa ndogo achana nazo naendelea kusoma mazingira. Wao walienda na walifanikiwa kweli kutesa rizki.
Alivyorudi nikamwambia anifanyie mpango wa silaha kuna chimbo naenda namimi kutesa rizki. Tulienda nae nikachukua silaha na kuondoka jioni nikampitia nikamwambie twende kuna hela za kutosha, tulipofika mitaa ya Kanyamhela yeye alikuwa anaendesha pikipiki mimi nyuma amenipakia nilimpiga na kitako cha bunduki kwa nguvu pikipiki iliyumba tukaanguka wote chini, nikamsogeza pembeni ya barabara na kurudi kule kule kwake nikamvamia mkewe nakuwapora hela zote ambazo zilikuwa kama milioni 1 na chenchi kidogo.
Mimi nikaamua sasa kukimbia na ile silaha niliitupa. Hapo ni usiku ukumbuke.
Je? Nini kitaendelea usikose kufuatana nami hadi mwisho.
Hiyo ni miaka ya 1990Kumbe rombo ni Kwa ovyo mkuu. Maji mpaka mtoni [emoji28][emoji28][emoji28]
Kyavaaja mmeku sumbaiOyaaaa.
HIvi kwanini aliuawa yule mzungu mwanaharakatiNi kweli, ukiweza tafuta na usome story ya wale jamaa waliomwua Wayne Lotta, yule mzungu aliyekuwa akiendesha Kampeni ya kuwalinda tembo...Mwuaji alikodishwa kutoka Bugarama, Burundi
MAJAMBAZI NI MASHETANI
Sababu ya Tembo ugomvi na Majangiri sugu, wengine wakawa wanamnuooshea kimanaHIvi kwanini aliuawa yule mzungu mwanaharakati
Harudi huyu kashaenda na majiakiludi mnitag jaman ka story kake katamu sana "get rich or die try "
Kauli ameiendeleza Jenerali Sabaya😃😃"Mkate wenge mejaa"😂
kumbe akili zenyuu sio kosa lenu ni kawaida huko bange kubeli miraa bado pombe karee😎!!