Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kakosea wapi Kichere, yeye kasema umetumia feasibility study ya zamani kama ni uongo wapinge tu waseme kuwa walifanya feasibility atudy mpya.Ina maana CAG Kichere hakusoma makabrasha?
mbona mwenzake anajua hadi ni phases zinazotakiwa z mradi.
CAG aliyemtangulia aliona upembuzi na akaridhikaKwani kakosea wapi Kichere, yeye kasema umetumia feasibility study ya zamani kama ni uongo wapinge tu waseme kuwa walifanya feasibility atudy mpya.
Kwanj mkuu nikisema hii nyumba yako umeinenga kwa ramani ya mwaka 1990 na ikawa kweli kunakuwa kuna kosa?
Na vipi Assad kwenye mazungumzo yake ya leo kuna sehemu ameponda ujenzi wa hilo bwawa. Penye kusifu asifiwe penye kupondwa apondwe mwendazake. Siyo kwamba kila anayemsifu anampenda kwa yote na siyo kwamba kila anayemponda anamchukia kwa yote.
Umemsahau MagufuliWasomi wa Udsm ni vinyonga.
Unawakumbuka akina Palamagamba Bashiru, Mwigullu Ryoba Kitila nk nk
Na wadogo zao akina Waitara Silinde Zitto, Mdee, Lisu, Matiko nk nk
Yaani ni full ubabaishaji!
Huu uzi hutawaona makamanda...Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Kwani mkuu si kasema limetumia feasibility study ya mwaka huo alioutaja au kadanganya?CAG aliyemtangulia aliona upembuzi na akaridhika
Jamaa kaondoka bila kurudisha rambirambi alizoiba itabidi afukuliwe azirudisheHuu uzi hutawaona makamanda...
Kumbe bavicha mpo...Jamaa kaondoka bila kurudisha rambirambi alizoiba itabidi afukuliwe azirudishe
Unaweza kuiweka hapa kama ulivyoweka ya kusifia... Maana mpaka sasa sijaona alipoponda huo mradi. Si kila anayepinga anapinga kila kitu.kuna clip yake ya kukana kupewa taarifa za mradi huo.
Dalili zipo wazi....possibly ACT.Anataka kuingia kwenye Siasa?
Kwa yanayoendelea ni obvious kuna mkakati mahsusi wa kumchafua JPM!Anataka kuingia kwenye Siasa?
Kwa yanayoendelea ni obvious kuna mkakati mahsusi wa kumchafua JPM!
Sisi raia tupo wengi kuliko wao. Uzuri kila jambo JPM alikuwa anasema hadharani! Ukitaka kujua wafiwa msibani angalia wanaolia sana!Ila asiponyamaza atalowa taka
Kwani sasa hivi Asad amesemaje kuhusu bwawa la umeme?Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.