James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Mmh hapo Prof Assad lazima atakuwa alishurutishwa kuisifia hiyo miradi.Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh hapo Prof Assad lazima atakuwa alishurutishwa kuisifia hiyo miradi.Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Kwahiyo hapo alishikiwa bunduki lakini kuomba mikataba ya ATCL, SGR n.k alikuwa huru? Ni muongo yule!Mmh hapo Prof Assad lazima atakuwa alishurutishwa kuisifia hiyo miradi.
Sidhani kama Assad alikuwa anaongea kwa ridhaa yake. Angekataa kusifia lazima angehojiwa uraia wake au kwenda kusikojulikana kama wengine.Lumumba nilijua tu mtaenda kumfukua huyo mzee maktaba mpaka mumpate, ok leo zamu yenu kushangilia.
Wasomi wa nchi hii wana tabia za kichawi na unafiki tu.Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Mbona husemi kitu gani kilitokea alivyoomba mikataba? Si walimkatalia. Lazima atakuwa alilazimishwa kusifia hìi miradi.Kwahiyo hapo alishikiwa bunduki lakini kuomba mikataba ya ATCL, SGR n.k alikuwa huru? Ni muongo yule!
Si alikuwa anaigiza tu. Hata wewe ungetishiwa maisha yako lazima ungeigiza kuongea kwa bashasha tu.Kwamba alishikiwa mtutu wakati video inaonesha akisema kwa bashasha
Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Bando mgogoro,ila hata kama kweli kusifia wazo ni jambo moja na kukubaliana na namna ya utekelezaji ni jambo lingine.5Mimi sitasema mengi ila asilimia 60 ya msio na uwezo mtasema.
Kasetiwa chizi yuleIna maana CAG Kichere hakusoma makabrasha?
mbona mwenzake anajua hadi ni phases zinazotakiwa z mradi.
Kumchafua kwa lipi?Kwa yanayoendelea ni obvious kuna mkakati mahsusi wa kumchafua JPM!
Wasomi wa Udsm ni vinyonga.
Unawakumbuka akina Palamagamba Bashiru, Mwigullu Ryoba Kitila nk nk
Na wadogo zao akina Waitara Silinde Zitto, Mdee, Lisu, Matiko nk nk
Yaani ni full ubabaishaji!
Assad alisema hakuna/hakuona upembuzi yakinifu wa mradi wa umeme, kama hivyo ndivyo how could he come to a conclusion kuwa ulikuwa mradi mzuri? Je ubora wa huu mradi uliyeyuka baada ya yeye kutumbuliwa? Assad ni mmoja kati ya hilo genge la Kikwete ambalo limeundwa kwa sababu moja tu kutaka kutetea mradi wa Bagamoyo uwe resuscitated!!Asadi hajapinga Mradi wa umeme bali anapinga ununuzi wa ndege pasipo mipango
Ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu!