Kutoka mitandaoni ,kutana na Mmoja ya wanaume wapuuzi wa kizazi cha leo

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mnajua Wanawake wanatuhitaji sana sisi wanaume ndicho kitu walichoumbiwa.

Mwanamke inabidi ndio awe mwenye Furaha sana pale unapomwambia Ninakuoa !!.

Et waoo kasema ' ndio' , Kwa lugha nyingine Jama alikua Kwa Mahusiano ambayo bado Demu alikua na Option nyingine !!.

Hivi inakuaje Mwanaume unapiga Goti kumvisha Pete mwanamke ??

Kua Mwanaume kiasi kwamba Demu akuulize Baby utaniona lini? Baby nahitaji kua Mama watoto wako

Kua Mwanaume kiasi kwamba Ukimtangazia Ndoa Demu wako, apige simu Kwa Mama yake, Baba yake, Ndugu, rafiki jamaa, kua Mchumba wangu kanivisha Pete na Sasa ananioa.

Mwisho, acheni kuweka Maisha ya Mapenzi / Ndoa mitandaoni, mtaendelea kutombewaa.


 
huyo jamaa hayupo sawa

mimi mpaka leo sijawahi kuelewa nini maana ya kupost mahusiano yako mtandaoni....ili iweje?

kupiga magoti kwaajili ya kuoa hilo halitakuja kutokea.
 
Mtu anayeweka mambo ya ndoa yake au mahusiano yake mitandaoni, ni limbukeni
 
Hahaha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…