Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Hivi Chifu na ile inshu ya Jamaa kuchungulia shimo alilotokea pia ni mojawapo ya masharti aliyopewa na wajenzi huru?
 
Designer aliyomshonea hiyo nguo diamond inabidi alipwe Mara mbili yake na mimi nitangalia uwezekano wakumpata anishonee kwenye harusi yangu Mungu akipenda
You must be joking. Mi nadhani angepewa tuzo ya fundi mbovu
 
Mbona umeandika hoja dhaifu sana...

Kwahiyo zile enzi za WemaSepetu alikuwa anafanya kwaajili ya nani?
 
Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
Mala zote nikiona mada ya mtu anamuongelea mtu mwingine na maisha yake hua najiuliza sana kwamba huyu hana cha kufanya au ndo vijana mnao kula nyumbani,?

Maana naanzaje kurusha vipicha vya watu eti wameshikana na kutengeneza mada isiyo fundisha chochote kwenye jamii isipokua kufatilia maisha ya mwingine yasiyo kuhusu

Afrika tutakufa masikini sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman khaaaah sitaki kucheka, mie hapa mbavu cna uwiiiiih.
Kuna watu wamepigwa na kitu kizito kichwani,woiiiiiiih
 
Mbona huyo huyo Dai kasema yeye na Zuchu sio couple ni mtu na msanii wake,tena baba na mtoto wake[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeishia la ngapi ? Jifunze maudhui ya hili jukwaa alaf uende jukwaa la ujasiriamali
 
Acha wivu kijana tafuta hela, kwani kina Jayz hawajaoa?
 
Makasiriko.com
 
Dogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
Zari zee zima kisa uafrikast wa kihindi, na Mali anazomiliki, na hata mbuyu ulianza Kama mchicha, acha mmatumbi apate raha. Na ustar uzid kupaa.
 
Zari zee zima kisa uafrikast wa kihindi, na Mali anazomiliki, na hata mbuyu ulianza Kama mchicha, acha mmatumbi apate raha. Na ustar uzid kupaa.
Zari mzee ila yuko vizuri,haka kamacho kumchuzi mpaka kafike umri wa zari katakuwa ovyo
 
Binti anatumika tu masikini....anaona kapata kumbe kapatikana...
 
Kwanza shos unaona hata domo mwenyewe anawaza mapenzi nayee? Sio bidada ndo ana shobo dundo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani hataaa Domo haoneshi mapenzi kabisa basi tu shobo .... mbona atajuta ni suala la muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…