Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Nikuulize kitu, unajua maana ya neno bikra?

Na kama unajua maana yake naomba unambie umetumia akili au mantiki gani kulitumia neno bikra kwa mwanaume?

Katika makuzi yako ulishawahi sikia wapi mwanaume katolewa bikra na ametolewa kwa namna gani?

Dah we jamaa umemamazwa balaa yaani inaonekana una influence kubwa sana ya kike kwenye maisha yako. Na nina wasi wasi hapo unatype huku umevaa dera.
Kuna kitu bado hujaelewa na hujanielewa.
Kwanza hapa tunajadili mada na sio mtu binafsi. Tujikite zaidi kwenye mada, kuliko hisia juu ya mchangia mada.

Issue ya bikra, nayo hujaelewa na hujanielewa. Nimeandika neno bikra kwa mwanamke na neno 'bikra' kwa mwanaume. Mantiki ni nini? Sote tunajua bikra iko kwa mwanamke tu, lakini dhana ya kimantiki kuhusu bikra ni kule mhusika kuwa mpya kabisa (naive) kuhusu kufanya ngono. Na hiyo haijarishi ni jinsia gani, na hapo ndipo nikaandika neno 'bikra' nikimzungumzia mwanaume. Yote kwa yote, logic ni ile ile, wewe mwanaume unayeweza kumhukumu msichana kuwa ameshatumika kingono kwa sababu hujamkuta na bikra, jiulize kwanza nafsini kwako pia kama wewe pia hujawahi kufanya ngono hapo kabla.
 
Ni kero sana,unakuta kakaa na msela miaka mitatu,chuo,tena walipanga chumba kimoja,na hajamuoa,ila mimi kudate nae miezi miwili anataka ndoa,na wala hata kwangu hajawahi kulala hata siku mbili,anakujaga na kusepa.
Mkuu ushapata ajira kwanza?
Au kuna biashara unafanya?
 
Kama umesoma vizuri kule juu kwenye moja ya reply zangu utakuta nimesema sehemu kuwa mwanamke ambaye hana bikra kabla ya yote, hana haki wala mamlaka ya kumuamulia au kumharakisha mwanaume kuingia nae kwenye Ndoa.


Bikra ni sifa kuu ya kumshika mwanaume na hilo wanawake wameshajua kuwa ni kosa wamefanya kuitoa bikra katika mazingira ya kuchezewa na sio mazingira ya kindoa.

Sasa kuna watu kama wewe(Simps)wazee wa masalia a.k.a zoa zoa chochote huwa mnawadanganya hawa mabinti kuwa wanaume hatujali sana wanawake kutokuwa na bikra na hatunaga standards inapokuja swala la mahusiano tutazoa yoyote anayekuja mbele yetu jambo ambalo si kweli.


Wanaume tuna standards pia mwanamke anapokuja na hana bikra the only factor itamfanya kupata points za kuolewa ni kuprove kuwa anaweza kubehave exactly the same kama bikra au mwanamke ambaye ndio kwa mara ya kwanza anaanza mahusiano.

Yaani anatakiwa kuprove kuwa anaweza kukana past yake na kujikana yeye na kuishi kama binti ambaye ni pure hajawahi kuingiliwa kimwili na kuwa na mwanaume kabla ya huyu anayetaka amuoe.

Sasa hilo wadhani linaweza fanyika ndani ya wiki au mwezi?

Hivi unaamini unaweza jua tabia au flaws za mtu ndani mahusiano ya mwezi?

Na kwann binti anasubiria hadi ndoa ifungwe ndipo aanze kuonyesha umuhimu wake kwenye maisha ya mwanaume na huku muda unakwenda?

Kama hataki kukuoa it means hajaona mchango wako kwenye maisha yake. Kwann mwanamke asiwe serious kwa kuanza kuishi kama mke, aweke mipango na mwanaume huyo, wajenge maisha, biashara, na kuanza kujitoa moja kwa moja.

Yaani unijie kama jini hapa utake nikuoe na sijui anoa kitu gani?
Kwa hiyo kwa kuwa mwanamke hana bikra basi awe tu mateka wa kutumika kingono na asiwe na msimamo imara kuhusu ndoa? Unawaza kwa kutumia nini?

Hivi ulishawahi kuchunguza wanawake ni vipi bikira zao zilitolewa? Kuna simulizi zinaweza kukufanya ujisikie vibaya hata kuitwa mwanaume maana ni simulizi mbaya kupitiliza na zilifanywa na wanaume kikatili mnoo.

Kukusaidia tu, visa vya mabinti kutolewa bikra zao nyingi sio njema kabisa. Wapo waliobakwa, tena na wazazi wao, ndugu zao wa damu, viongozi wao wa dini, walimu wao, majirani zao nk.
 
Lakini pia haimaanishi wanawake wote wanaochelewa kuolewa mpaka kufikia 30s kuwa wametumika sana au walikua wanaringa sana...Kuna wanawake ambao ni wacha Mungu anaelewa zinaa ni dhambi unakuta watu waliokua wanamfata sio sahihi akaamua kusubiri apate mtu sahihi....Kuna wanawake wengine ni warembo sana kiasi kwamba unakuta wanaume wanaogopa kumtongoza sababu ya uzuri wake ......mwingine amesoma sana ana masters ...mwingine ameajiriwa taasis kubwa analipwa mshahara mkubwa ...Hawa wanawake wengi wanagongwa 30s bila kuolewa
Hao wanaogonga master na wenye mishahara mikubwa ni attitude zao zinawafanya wasiolewe, wengi wana viburi hawana utii. Najua utasema sijui Africa wanaume waoga ,hiyo mpaka ulaya kuna wadada wawili huwaga wanaongozaga sana mijadala hasa ya kimahusiano,mmoja anaitwa Candice na mwengine ni mzungu, wana Podcast na YouTube channel zao wamelizungumzia hili.
Screenshot_20230917_131031_Chrome.jpg

Screenshot_20230917_130948_Chrome.jpg


Hamna mwanamme anaye muogopa mwanamke bali tabia ya mwanamke,kiburi na attitude ndizo humkimbiza mwanaume.
 
Kwanza kaa ukijua kwamba mwanaume malaya bali huitwa rijali na ipo hivyo duniani kote.
Kama unafanya ngono kwa tahadhari na kuondoka sawa ila tatizo la afya ya akili ninalolisema ni hili la kusambaza mbegu. Yaani kumwaga shahawa zako hovyo kama mbwa, huu si urijali ni umalaya.
Kama hujui mwanamme hata awe kitombi vipi ,ila atakapo kuja kufanya maamuzi atahitaji mwanamke aliye tulia, mwenye tabia nzuri mwenye usichana wake au low body counts, ipo hivyo kwa wanaume wote duniani either hutaki au unataka.
Fahamu tofauti ya kuwa kitombi na kuzaa hovyo bila kujali ni nani unazaa naye. Kusambaza mbegu hovyo ni tatizo la afya ya akili. Unakuwa huna tofauti na mbwa.
Jukumu la kujitunza lipo kwa binti sababu mwenye maamuzi ya kuoa ni mwanaume na duniani kote ipo hivyo.Mwanaume ndiye huamua pindi tu atakapo jilizisha na tabia na mwenendo wa mwanamke.
Unatakiwa kujiridhisha na mwenendo na tabia ya mwanamke kabla hujaoa ila hutakiwi kujiridhisha na tabia yake kabla ya kumfanya awe mama wa mwanao. TATIZO LA AFYA YA AKILI.
Acha vitendo viongee na kulilia ndoa wakati tabia yako ni mbovu na kama akiona mwanaume hafai,hajashikiwa bunduki atumie akili na utashi wake kufanya maamuzi juu ya kuutunza usichana wake ila akiendekeza tamaa atatumika.
Mwanamke kuharibu usichana wake haalalishi wewe kuzaa naye ili kumtumia. Ukishazaa hovyo wewe ni malaya tu hata kama mwanamke ndo anabeba mimba.
Kwenye swala la kuoa Vetting ni muhimu,tena zamani swala la ndoa likuwa ni la familia nzima,kwa pamoja wanamchunguza binti mpaka tabia za ukoo ambazo kijana wao anaenda kuoa. Ndoa ni process na si kukurupuka.
Hata kuzaa usikurupuke. Thamini shahawa zako. Unadhani ukifanya naye ngono salama ukaachana naye kuna shida basi?
 
Kama unafanya ngono na kuondoka sawa ila tatizo la afya ya akili ninalolisema ni hili la kusambaza mbegu. Yaani kuzaa hovyo kama mbwa, huu si urijali.

Fahamu tofauti ya kuwa kitombi na kuzaa hovyo bila kujali ni nani unazaa naye. Kusambaza mbegu hovyo ni tatizo la afya ya akili. Unakuwa huna tofauti na mbwa.

Unatakiwa kujiridhisha na mwenendo na tabia ya mwanamke kabla hujaoa ila hutakiwi kujiridhisha na tabia yake kabla ya kumfanya awe mama wa mwanao. TATIZO LA AFYA YA AKILI.

Mwanamke kuharibu usichana wake haalalishi wewe kuzaa naye ili kumtumia. Ukishazaa naye unafanana naye tu hata kama yeye ndo anabeba mimba ila wote malaya.

Hata kuzaa usikurupuke. Thamini shahawa zako. Unadhani ukifanya naye ngono ukaachana naye kuna shida basi?
Kwani mwenye maamuzi ya kuamua azae au hasizae ni nani?

Hamna tatizo la Afya ya akili kwa kupenda chini,kama ndio hivyo basi kiumbe chenye hekima na busara kuliko kiumbe chochote duniani Mfalme Selemani, huyu unamweka kwenye kundi gani? au nae alikuwa na tatizo la afya ya akili.

Halafu kuwa kitombi hakuhusiani kabisa na tatizo la afya ya akili bali tatizo la kiumbaji wanaume tupo hivyo. Kamfuatile Dr Kweka wa Muhimbili then utayajua matatizo ya afya ya akili ila ukitombi hilo halipo.
 
Kwani mwenye maamuzi ya kuamua azae au hasizae ni nani?
Unayemwaga ni wewe, mbegu ni zako, unayetongoza huenda ni wewe, unajua kabisa mbegu zako zipo ili kuzalisha, ila hujui nani mwenye maamuzi?
Hamna tatizo la Afya ya akili kama ndio hivyo basi kiumbe che hekima na busara kuliko kiumbe chochote duniani Mfalme Selemani, huyu unamweka kwenye kundi gani? au nae alikuwa na tatizo la afya ya akili.
Alizaa hovyo? Yule alikuwa na wanawake rasmi. Sio sawa na anayeokota mwanamke hamjui hata haraka haraka waaa mwaaa, mbegu ndani.

Mkuu, Kama imani inakuruhusu, uwezo upo, ukiamua kuzaa na wanawake hata 1000 sawa. Ila uwe umeamua na uwezo unao. Siyo unamwaga hovyo bila akili halafu ujifananishe na sulemam.
Halafu kuwa kitombi hakuhusiani kabisa na tatizo la afya ya akili bali tatizo la kiumbaji wanaume tupo hivyo. Kamfuatile Dr Kweka wa Muhimbili then utayajua matatizo ya afya ya akili ila ukitombi hilo halipo.
Kama una hamu ya ngono na ukawa unafanya ngono salama na wanawake sawa, hayo ni maamuzi yako. Tatizo la afya ya akili linakuja pale unapofanya ngono na kuacha mbegu zako zitungishe mimba hovyo kama mbwa.

Wasio na tatizo la afya ya akili wanaoa hata wake 5. Wenye hili tatizo wanamwaga kila sehemu bila kujali.
 
Mbona mambo ya bikra buyaongelei umeyaruka?
Sijaona hoja ya msingi kuhusu kumhukumu mwanamke kwa kuwa umemkuta sio bikra na wakati huo huo wewe mwanaume umeshakula wanawake wengi tu kabla ya kukutana na huyo binti.

Kama binti sio bikra, sio sababu ya yeye kuwa cheap wa kutumiwa tu. Binti anayo haki kamili ya kuhoji mahusiano yake kama yana mpango wa kuzaa ndoa ama la.
 
Unayemwaga ni wewe, mbegu ni zako, unayetongoza huenda ni wewe, unajua kabisa mbegu zako zipo ili kuzalisha, ila hujui nani mwenye maamuzi?

Alizaa hovyo? Yule alikuwa na wanawake rasmi. Sio sawa na anayeokota mwanamke hamjui hata haraka haraka waaa mwaaa, mbegu ndani.

Mkuu, Kama imani inakuruhusu, uwezo upo, ukiamua kuzaa na wanawake hata 1000 sawa. Ila uwe umeamua na uwezo unao. Siyo unamwaga hovyo bila akili halafu ujifananishe na sulemam.

Kama una hamu ya ngono na ukawa unafanya ngono salama na wanawake sawa, hayo ni maamuzi yako. Tatizo la afya ya akili linakuja pale unapofanya ngono na kuacha mbegu zako zitungishe mimba hovyo kama mbwa.

Wasio na tatizo la afya ya akili wanaoa hata wake 5. Wenye hili tatizo wanamwaga kila sehemu bila kujali.
Mbegu kumwaga hata mpiga punyeto anamwaga,je nani ana ghala ya kuhifazi hizo mbegu? Sasa mwenye Ghala akiamua kufunga ,hizo mbegu zitaingia kwenye ghala?

Hamna tatizo la akili la kuzaa hovyo hovyo, halipo na halijawahi kuwa mental issues ila ni tatizo la kutowajibika ila sio la mental issues.

Kuna sehemu nimejifananisha na Suleiman au nimekupa mfano kutoka na kile ulicho kiandika,Suleiman hakuwa na tatizo la akili,ila alimkosea Mungu na akatubu.

Husiwauzie watu chai ,ukitombi haujawahi kuwa ni tatizo la akili hata mara moja,ila kiimani ni dhambi mbele ya Mungu.
 
Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"

Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Duh sema huyo mwendo ameumaliza 33yrs! Ni masikitiko kwakweli.
 
Binti anayejitambua ni lazima atahoji tu, malengo na hatma ya mahusiano unayotaka kuyajenga naye.

Ukiona, mwanamke unamtongoza, anakubali, unamtafuna kirahisi tu kwa kadri unavyohitaji, muda unakwenda na bado hahoji chochote juu ya wewe kuja kumuoa, basi tambua hapo umepigwa na utapigwa zaidi. Huyo ni mwanamke mjinga, mpumbavu au malaya wa kujiuza.
 
Mkuu sema wewe unajiamini huwaogopi na huna inferiority complex ila wapo wenye inferiority complex ni waoga
Hayupo mwanaume anaye muogopa mwanamke, kama unamjua hiyo binti kaa na marafiki zake hasa wale wa kike waliolewa,watakupa mapungufu ya mwenzao au pata nafasi ya kumjua hata mwezi tu.

Ndio maana hata huko mbele mabinti wengi wenye elimu na mishahara mikubwa, huwaga wanastrugle kuolewa sababu ya attitude zao,wanaamini ktk 50/50 na usawa wa kijinsia mpaka kwenye familia zao.

Ukiona binti mwenye elimu kaolewa na kadumu kwenye ndoa jua kwanza amakubali kujishusha na kukaa kwenye nafasi yake ktk familia. Wengi wao ukifuatilia background zao wamekuzwa kwenye misingi ya dini na ile ya kiutamaduni ya Kiafrica na wamekubali kuishi katika misingi hiyo waliyokuzwa nayo.

Ila wengi wao viburi na kukosa utii vinawaponza, kwani hizo tabia haziwavutii wanaume walio wengi.
 
Back
Top Bottom