Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Kuna vitu unachanganya hapa.
Suala la kujitunza linawahusu watu wote, mwanamke na mwanaume. Hivyo sio issue ya upande mmoja tu wa mwanamke.


Issue inayojadiliwa hapa ni kuhusu wanawake wanaohoji na kushinikiza mahusiano yao yabadilike kuelewa kuwa ndoa.

Kama umekutana na msichana, ukampenda na kuanzisha mahusiano, na katika mahusiano yenu ukagundua binti anawaza ndoa tu na wewe haujawa tayari kwa hilo kwa sasa, basi achana na huo uhusiano mara moja kwa kuwa malengo ya uhusiano wenu hayaoani na hupaswi kumlaumu kwa msimamo huo.


Ni sawa tu na wale wanaume waliojenga mahusiano (ya kutaka kuoa) na wanawake ambao wanawaza kutafuna pesa zao na sio kuelekea kuolewa, mwanaume ukigundua hilo ni vyema ukaachana na huyo mwanamke mara moja kwa sababu malengo yenu hayaoani.
Mwanaume anajitunzaje hadi unalinganisha kujitunza kwa mwanaume kuwe sawa na kujitunza kwa mwanamke? [emoji848]
 
Tumekataza kuoa watu kwasababu tumewaonea huruma.
Sijatamka uoe kwa huruma, lakini kuongelea wanawake kila siku kwa madhaifu yao hatuwatendei haki ni wadogo na dada zetu.
Siamini ukimkuta mtu anamsemea mbovu dada yako mliyezaliwa tumbo moja kama utafurahia
 
Boss,
Mitazamo hutegemeana na historia,
Nimeoa miaka ya nyuma, nina watoto na wa kike pia, nililelewa na mama aliyekuwa mke wa baba yangu.

Binafsi Mwanamke simtazami kama adui ila naheshimu mtazamo wako sababu inategemeana na uliyoyaona au uliyopitia.

Ni kweli, Binadamu anaweza kufanya unyama na akakupa sababu ya msingi. Mwanamke ni binadamu.

Ni sawa, kama siwezi kumpa anachotaka, na yeye hawezi nipa ninachotaka sasa wa nini kwangu? Matatizo huanza pale ushindani wa kukomoana unapoingia.
Sijasema tunakomoana ila tunaishi kutokana na machaguo tuliyofanya nyuma boss.
 
Ukiheshimu ubinadamu wake hutapoteza muda naye, utamuacha apambane na hali yake.

Binafsi sioni sababu ya kumtumia mwanamke ambaye ameshasema anataka ndoa na wewe hutaki kumuoa. Hata kama ana 40yrs. Huyo ni kumuacha atafute wa kumuoa, akipata sawa akikosa atajua mwenyewe.
Ni wapi nimesema namzuia. Ni yeye ndie anajizuia. Kumzuia inabidi labda nimteke.
 
mwanamke anapokuja na hana bikra the only factor itamfanya kupata points za kuolewa ni kuprove kuwa anaweza kubehave exactly the same kama bikra au mwanamke ambaye ndio kwa mara ya kwanza anaanza mahusiano.

Yaani anatakiwa kuprove kuwa anaweza kukana past yake na kujikana yeye na kuishi kama binti ambaye ni pure hajawahi kuingiliwa kimwili na kuwa na mwanaume kabla ya huyu anayetaka amuoe.

Sasa hilo wadhani linaweza fanyika ndani ya wiki au mwezi?

Yaani unijie kama jini hapa utake nikuoe na sijui anoa kitu gani?
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] N A K A Z I A
 
Sasa mwanaume ulifuata nini kwa huyo binti unayedhani tabia yake sio njema, umri wake umekwenda na amejipanga kuolewa?
Kwani ulilazimishwa kuanzisha naye uhusiano?

Kwa kifupi sana, haijarishi binti ana tabia gani mbaya, amechezewa kiasi gani na umri wake umekwenda, bado yuko sahihi kwa 100% kutamani kuolewa, kujali hatima yake ya kuolewa na kuolewa na mtu anayeeleweka.
Nafata kumnyandua nipunguze upwiru.
 
Mkuu, single child yoyote ana baba yake. Hakuna maadili yanayoporomoka upande mmoja.
Umalaya unafanywa na kijana na binti.

Wanaume wa sasa tumekuwa kama madume ya mbwa, kumwaga shahawa kwa zamu na kuondoka.

Hatuna chaguzi za mwanamke sahihi wa kumwingilia na kumwachia mbegu ila sasa Mwanamke ananyooshewa kidole sababu mimba kabeba yeye japokuwa wote walifanya umalaya kama mbwa tu.
Ukifanya uchaguzi utagundua mwanamke ndie anachagua ni mwanaume gani azae nae. Hakunaga mwanaume anaeamua nani ambebee ujauzito.

Mwanamke anaweza kataa beba ujauzito wa mwanaume tajiri au mwenye uwezo mzuri wa kutunza familia kwa kumeza vidonge vya kumzuia kushika ujauzito hata miaka 5 ila akamuachia bodaboda ampe ujauzito na wakazaa bila shida kisha akaja bambikia ujauzito yule aliyekataa kushika ujauzito wake.

Unatakiwa uelewe wanawake hawapendi accountability ya matendo yao popote pale duniani na ndio maana mifumo ya kuwadhibiti na kuwazuia kujiamulia wanachotaka ilikuwapo siku za kihistoria.

Leo jamii imewapa uhuru wa maamuzi ona madhara yake kila kitu kinafeli.

Sasa ninyi wanaume mnaokuja watetea as if ni watoto wadogo ndio mnawafelisha mabinti wanaojitunza kwa kuona haina haja ya kujitunza kama ambao wamepuyanga na maisha jamii inawatetea.

Wacha sisi wanaume tusiotaka ujinga tushuke nao hadi kwenye misingi. Acheni kutetea upuuzi.
 
Mbona hao wakula pesa zako na wewe kula mzigo wapo tele mtaani wanauza na wanajua wanachokifanya.

Sasa wewe umekwenda kuvuta pisi, kumbe pisi imejipanga kuolewa tu, inahoji ndoa vipi, ghafla unaanza kushangaa na kulalamika.
Hao hao unaosema wanaokula pesa za wanaume huyu wanaenda kwa mwanaume mwingine na kulalamika mbona hataki kumuoa.

Sasa sijui unaongelea wanawake kutoka sayari gani.

Leo ukikutana na binti hayupo ndoani nakupa guarantee hana mwanaume m'moja.

Kama yupo huyo binti njoo uchukue laki hapa sasa hivi.
 
Kuna vitu unachanganya hapa.
Suala la kujitunza linawahusu watu wote, mwanamke na mwanaume. Hivyo sio issue ya upande mmoja tu wa mwanamke.


Issue inayojadiliwa hapa ni kuhusu wanawake wanaohoji na kushinikiza mahusiano yao yabadilike kuelewa kuwa ndoa.

Kama umekutana na msichana, ukampenda na kuanzisha mahusiano, na katika mahusiano yenu ukagundua binti anawaza ndoa tu na wewe haujawa tayari kwa hilo kwa sasa, basi achana na huo uhusiano mara moja kwa kuwa malengo ya uhusiano wenu hayaoani na hupaswi kumlaumu kwa msimamo huo.


Ni sawa tu na wale wanaume waliojenga mahusiano (ya kutaka kuoa) na wanawake ambao wanawaza kutafuna pesa zao na sio kuelekea kuolewa, mwanaume ukigundua hilo ni vyema ukaachana na huyo mwanamke mara moja kwa sababu malengo yenu hayaoani.
"Kuna vitu unachanganya hapa.
Suala la kujitunza linawahusu watu wote, mwanamke na mwanaume. Hivyo sio issue ya upande mmoja tu wa mwanamke."

Nakuonea huruma kam jinsia yako ni ya kike.

Hii ni universal duniani,mwanamke mwenye high body counts anachance ndogo ya kupata ndoa.Ulaya kwenye mademu walio tumika na wanawake wenye elimu wana chance ndogo sana kuolewa na ndio maana US ndoa zimepungua kwa asilimia zaidi ya 50%,sababu mabinti wengi wanatumika sana,hawana nidhamu, 50/50.Sasa hivi kuna lundo la wanaume wa kizungu (Wanaitwa Passport Bros) wanakuja kuoa mabinti wa Kiafrica au Kiasia na wengi wa hao wazungu wakiulizwa wanakwambia wanataka mwanamke mwenye tabia nzuri na mwenye utii kwa mume.

Mwanaume hata awe malaya vipi,ila anapotaka kutulia na mke mmoja atataka binti bikra au mwenye low body counts na mwenye utii na tabia njema.

Mwanamke ndiye anayetakiwa kujitunza sababu mwenye maamuzi ya kuoa ni mwanaume, sasa husiletee sheria za 50/50 haki sawa, kwani mwanamke hachumbii.Duniani kote mwanaume ndiye anaye chumbia.

Hata ndoa za zamani za wazee wetu, kijana wa kiume anapo balehe hutafutiwa binti mwana mwali (bikra) au mwenye tabia nzuri na tena wazee wazamani walienda mbali zaidi,mpaka kuangali tabia za ukoo wao.

Vetting ni muhimu kwa binti utakaye muoa,either kwa kijana mwenyewe kujizihirisha kwa mwenendo wake wa kitabia au umkute na usichana wake.

Ndoa ni process na si kukurupuka sababu binti kasema na ndoa ni moja ya maamuzi magumu sana kwa mwanaume hasa kwa dunia ya sasa na ndio maana Vetting ni muhimu sana.
 
Sio kweli unachosema ni kitu kingine kabisa. Unajua wanaume wanalala na wanawake kwa sababu tofauti.

Kuna ambaye anapenda kulala na mwanamke mpya ndipo anapata msisimko. Kuna ambaye anatabia ambazo wanawake hawawezi kudumu na yeye ameshajua hilo so kila mwanamke anayelala nae anajua hataweza kuishi nae anatafuta mpya.

Kuna ambao wanalala na Wanawake tofauti sababu wana sexual drive kubwa yaani moto ambao mwanamke wa kawaida hataweza kuumudu hata iweje so ni lazima awe na kazi za kando.

Kuna ambao wanataka kufurahia kufanya mapenzi (sio mahusiano)jambo ambalo haliwezekani kufanikiwa na mwanamke m'moja kutokana na ile kanuni ya maozea, kwamba mwanamke ukishamzoea hata yeye atapunguza excitement anapokuwa na wewe na hapo ndipo shida huanza.

Sasa wewe utakuwa unaongelea scenario ya mtu ambaye alikuwa anafanya ngono bila msukumo kutoka ndani, aidha alikuwa anataka jamii imuone kidume, au wanaume wenzake wamuone ana idadi kubwa ya mademu. Na wengi wa hawa huwa wanatumia sana dawa za kuboost. Ila nikwambie tu, mwanaume the more anafanya mapenzi na wanawake katika mazingira ya kufurahia huwa anazidi kupata stamina na ujuzi sababu anakuwa akijifunza jiografia ya wanawake na kuwaelewa namna na maeneo gani ambayo ni very common katika kumfanya afurahia na kutoa mrejesho mzuri wakati wa gemu.
Mkuu
Hakuna hoja hapo. Umeandika utetezi wa kinadharia.

Ninapoongea ama kuandika jambo siokotezi hearsay bali ninakuwa nimeshahakiki facts ninazoziandika.

Jitunze acha kumwaga mwaga mimbegu hovyo, kuwa mtu wa kiasi hakika utabaki na nguvu zako.

Mengine ni hekaya za shetani kutetea ngono hovyo
 
Mkuu, single child yoyote ana baba yake. Hakuna maadili yanayoporomoka upande mmoja.
Umalaya unafanywa na kijana na binti.

Wanaume wa sasa tumekuwa kama madume ya mbwa, kumwaga shahawa kwa zamu na kuondoka.

Hatuna chaguzi za mwanamke sahihi wa kumwingilia na kumwachia mbegu ila sasa Mwanamke ananyooshewa kidole sababu mimba kabeba yeye japokuwa wote walifanya umalaya kama mbwa tu.
Why unamlaumu mwanaume, wakati bunadamu wote Mungu katupa AKILI na UTASHI.

Issue ni binti kujitambua na kutumia akili na utashi wake,vinginevyo akiendekeza tamaa na kama akiwa ana tabia mbovu ataendelea kutumika na kuachwa.

Kuna binti kibao tu makuzi yake tu ukiyao unajua huyu atakuja kuwa mke mwema na chance ya kuolewa unaiona zaidi ya 99%.Ila kuna mwengine ukikaa nae hata mwezi tuu unajua hamna kitu.

Mabinti wa siku hizi kinacho waponza ni tamaa,hawajui kutumia akili na utashi wao, wanaendekeza maswala ya trending,ambazo haziwasaidii chochote.
 
Mimi nilishakujibu tangu kitambo.
Ni sahihi na haki kabisa kwa binti aliyejipanga na kutamani kuolewa sasa kuhoji mapema kabisa malengo ya uhusiano unaotaka kuujenga naye. Asipofanya hivyo huyo binti atakuwa ni mjinga kabisa.

Wewe unataka aje ghetoni kwako, alale na wewe, atoke out na wewe, lakini hutaki kusikia ahoji ni lini utamuoa au lini utakuja kujitambulisha kwao. Sasa ulitaka ahoji nini?
Mbona mambo ya bikra buyaongelei umeyaruka?
 
Ukifanya uchaguzi utagundua mwanamke ndie anachagua ni mwanaume gani azae nae. Hakunaga mwanaume anaeamua nani ambebee ujauzito.
Mwanamke ambaye sipo tayari abebe mimba yangu, mbegu zangu hazitomgusa, na zikimgusa atameza P2 hata kwa panga.
Mwanamke anaweza kataa beba ujauzito wa mwanaume tajiri au mwenye uwezo mzuri wa kutunza familia kwa kumeza vidonge vya kumzuia kushika ujauzito hata miaka 5 ila akamuachia bodaboda ampe ujauzito na wakazaa bila shida kisha akaja bambikia ujauzito yule aliyekataa kushika ujauzito wake.
Inawezekana ila ukifanya ngono kwa miaka 5 na mwanamke ambaye unataka abebe mimba na habebi sababu anameza dawa utajua ndani ya muda mfupi sana. Miezi mitatu tu.
Unatakiwa uelewe wanawake hawapendi accountability ya matendo yao popote pale duniani na ndio maana mifumo ya kuwadhibiti na kuwazuia kujiamulia wanachotaka ilikuwapo siku za kihistoria.
Mkuu, Mwanamke anamtegemea mwanaume katika mambo yake na tabia zao hutegemeana na wanaume. Ipo hivyo nyakati zote. Tabia za mwanamke ni matokeo ya tabia ya wanaume wanaomzunguka. Wanawake wa China ni tofauti na wa Afrika ni tofauti na wa India ni tofauti na wa ulaya n.k Sasa tazama wanaume zao utaelewa kwanini wanawake wapo hivyo.
Leo jamii imewapa uhuru wa maamuzi ona madhara yake kila kitu kinafeli.
Jamii ya wanaume ndo iliyoacha hilo gap na wao kama kawaida yao wanaenda kulingana na wanaume walivyo.
Sasa ninyi wanaume mnaokuja watetea as if ni watoto wadogo ndio mnawafelisha mabinti wanaojitunza kwa kuona haina haja ya kujitunza kama ambao wamepuyanga na maisha jamii inawatetea.
Hakuna utetezi wowote. Ninachokuambia ni kuwa hakuna jamii ya wanawake malaya wanaofanya umalaya bila wanaume. Sijui labda hawa wa jinsia moja.
Wacha sisi wanaume tusiotaka ujinga tushuke nao hadi kwenye misingi. Acheni kutetea upuuzi.
Unatakiwa uelewe kuwa, ukiona jamii inayokuzunguka ina wanawake wapuuzi watazame wanaume wake, utagundua ni wapuuzi zaidi.
 
Why unamlaumu mwanaume, wakati bunadamu wote Mungu katupa AKILI na UTASHI.
Kwanini unasema nimelaumu mwanaume. Iwapo kijana unamwaga shahawa zako hovyo bila kujali nani unataka kuzaa naye, na mwanamke anamwagiwa shawaha hovyo wote ni malaya tu.
Issue ni binti kujitambua na kutumia akili na utashi wake,vinginevyo akiendekeza tamaa na kama akiwa ana tabia mbovu ataendelea kutumika na kuachwa.
Hakuna kutumika na kuachwa. Kuna malaya anayemwaga shahawa hovyo na malaya anayemwagiwa shahawa. Tunajificha kwenye kichaka cha mwanamke ila malaya ni malaya tu awe wa kike au wa kiume. Kijana kwanini usijue wapi pa kumwaga na wapi pa kutumia kinga?
Kuna binti kibao tu makuzi yake tu ukiyao unajua huyu atakuja kuwa mke mwema na chance ya kuolewa unaiona zaidi ya 99%.Ila kuna mwengine ukikaa nae hata mwezi tuu unajua hamna kitu.
Unaona hamna kitu ila unafanya nae ngono na kumpa mbegu zako akuzalie, Hahaha.
Ushaona huyu ni kichaa, ila unaketi naye kitako jalalani unabishana naye siasa.
Mabinti wa siku hizi kinacho waponza ni tamaa,hawajui kutumia akili na utashi wao, wanaendekeza maswala ya trending,ambazo haziwasaidii chochote.
Sawa, sasa vijana hawana akili ya kujua nani wa kuzaa naye na nani si wa kuzaa naye? Wao ni kumwaga tu? Binafsi bado naona kuna tatizo la afya ya akili kwa vijana wengi sana.
 
Kwanini unasema nimelaumu mwanaume. Iwapo kijana unamwaga shahawa zako hovyo bila kujali nani unataka kuzaa naye, na mwanamke anamwagiwa shawaha hovyo wote ni malaya tu.

Hakuna kutumika na kuachwa. Kuna malaya anayemwaga shahawa hovyo na malaya anayemwagiwa shahawa. Tunajificha kwenye kichaka cha mwanamke ila malaya ni malaya tu awe wa kike au wa kiume. Kijana kwanini usijue wapi pa kumwaga na wapi pa kutumia kinga?

Unaona hamna kitu ila unafanya nae ngono na kumpa mbegu zako akuzalie, Hahaha.
Ushaona huyu ni kichaa, ila unaketi naye kitako jalalani unabishana naye siasa.

Sawa, sasa vijana hawana akili ya kujua nani wa kuzaa naye na nani si wa kuzaa naye? Wao ni kumwaga tu? Binafsi bado naona kuna tatizo la afya ya akili kwa vijana wengi sana.
"Kwanini unasema nimelaumu mwanaume. Iwapo kijana unamwaga shahawa zako hovyo bila kujali nani unataka kuzaa naye, na mwanamke anamwagiwa shawaha hovyo wote ni malaya tu"

Kwanza kaa ukijua kwamba mwanaume malaya bali huitwa rijali na ipo hivyo duniani kote. Kama hujui mwanamme hata awe kitombi vipi ,ila atakapo kuja kufanya maamuzi atahitaji mwanamke aliye tulia, mwenye tabia nzuri mwenye usichana wake au low body counts, ipo hivyo kwa wanaume wote duniani either hutaki au unataka.

Jukumu la kujitunza lipo kwa binti sababu mwenye maamuzi ya kuoa ni mwanaume na duniani kote ipo hivyo.Mwanaume ndiye huamua pindi tu atakapo jilizisha na tabia na mwenendo wa mwanamke.

Acha vitendo viongee na kulilia ndoa wakati tabia yako ni mbovu na kama akiona mwanaume hafai,hajashikiwa bunduki atumie akili na utashi wake kufanya maamuzi juu ya kuutunza usichana wake ila akiendekeza tamaa atatumika.

Kwenye swala la kuoa Vetting ni muhimu,tena zamani swala la ndoa likuwa ni la familia nzima,kwa pamoja wanamchunguza binti mpaka tabia za ukoo ambazo kijana wao anaenda kuoa. Ndoa ni process na si kukurupuka.
 
Fala wewe unahitaji mwanamke mwenye mtoto ili ikusaidie nini, kisha unakuja kugongewa baadae unalalamika wanawake sijui nini nini.

Wenzako wanatafuta mitaji na elimu ya kujikomboa kimaisha wewe unatafuta mwanamke mwenye mtoto, yaani unatafuta mke wa mwenzako na bao lake ili wewe ukalee, hebu jipige kifuani sema mimi ni Butu na sistahili kuitwa kidume.

Ndio maana wanawake wanawadharau wanaume sababu ya wajinga wengi kama wewe. Nilikuwa najiuliza kwann mabinti wanapata ujasiri wa kutumia miaka yao ya ubichi yaani 16 hadi 25 kujirusha na kucheza na miili yao wakilala na kila mwanaume mradi afike dau na mbaya zaidi wanaona haitoshi wanazaa kabisa bila ya ndoa. Kisha baadae wanakuwa na matumaini ya kuolewa, wanatoa wapi hizi akili?

Kumbe ni mafala kama wewe ndio wanawapa hizo assurance kuwa watachezea Maisha yao na kujichakaza ila hawatakosa mtu wa kuwaoa maana ninyi mazoba mpo na mtawaoa tena na watoto wao mtachukua.
Siyo kila single mom alichezea maisha, wengine walichezewa
 
Back
Top Bottom