Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Na alikuwa na mtoto dah kudadadeki, wanawake wana balaa hawa khaaaaaah?Mimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.