Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Wanawake wa siku hizi hawajui kumvutia mwanaume wa matendo yake,wengi wanaamini uzuri ndio kila kitu.

Wengi wanapenda hela na kusahau utu, wengi hawana nidhamu ya hela wanayopewa,wengi hawajui kuitunza hata hela wanayopewa na wengi wana bond zisizo vunjika na maex wao ambao hawa kuwapa thamani.

Mvutie mwanaume kwa matendo yako,ubinadamu na utu na kwa kuwa atleast na hofu ya Mungu na siku zote ukitaka kujua tabia ya mwanamke yoyote unayetaka kumuoa, husimbane sana mpe uhuru utakuonyesha tabia zake zote tena ndani ya kipindi kifupi.
Dah umeongea vema sana mtu wangu, we ni pastor au?
 
Yaani vijana wa kiume wa kizazi hiki wengi ni ovyo mnoo. Yaani kijana anataka kumchezea msichana weee, kumpotezea muda weeee, halafu mwisho ndio kijana ajitafakari kama anafaa kumuoa huyo binti ama la!

Hiyo ni akili au matope?
 
Hili tatizo linasumbua sana ,hawa mademu wanarubuniwa na mafeminist ambao wao wana watoto tiali na walishavunja ndoa zao na wanajiweza kiuchumi

Acha tuwatie adabu watakuja kushituka menopause inasoma[emoji23]
Hivi unajua hii vita ya kimahusiano inawaandama sana wanawake weusi tu. Maana hata nikitazama mataifa mengine kama US,huku africa, ni kama mwanamke mweusi wa kiafrika anatabia za kufanana na wengineo popote pale na ndio ambao wanaongoza kwa kupotoshwa na kupotezwa na feminists.

Wanawake wa kizungu, kichina, kilatino, kihindi, kijapani, kikorea, kifilipino, na wengineo ukitazama katika soko la mahusiano wanachukuliwa tofauti sana kwa asilimia kubwa ingawa wakorofi wapo ila sio kwa eneo kubwa.

But wanawake wa kiafrika wanaonekana kama ni changamoto na ndio wanaongoza kwa kuwa single motherz kwa sasa hapa duniani.

Na takwimu zinaonyesha on average inapokuja swala la ngono yaani kutumika bila malengo mwanamke wa kiafrika anapewa 1st priority ila inapokuja swala la ndoa na kujenga familia mwanamke mweusi/wa kiafrika ni least desirable yaani wanaume wanamashaka nao sana inapokuja swala la kumuamini kuwa mwanamke wa kiafrika ana represent female figure na mother figure wengi wanaonekana ni wameandaliwa kwaajiri ya kuliwa na kutemwa.

Data zipo kama hauamini hiki ninachokisema hapa. Shida sijui ni nini aisee me najiskia vibaya sana muda mwingine why wanawake wa kiafrika wanatudhalilisha na kutuaibisha hivi aisee.
 
Wakati huo wewe unataka umkute binti bado bikra, je na wewe mwanaume ulikuwa bado 'bikra' ?

Sasa umeshagundua binti sio bikra, umri wake umekwenda na yuko focus kutaka umuoe, kwanini umlaumu kwa huo msimamo wake?
Mwanaume ndio anatangaza ndoa sio kushinikizwa kutangaza ndoa. Ukiwa na favorable characters ndoa inakuja. Unfortunately hao wenye pigo hizo ndio viongozi wa feminists ujuaji kibao halafu ndio akuingize kwa ndoa, hakuna rangi utaacha kuona.
 
Sasa mleta mada wewe ulitakaje?
Ulitaka asikuulize kama una mpango wa kumuoa wakati yeye anataka kuolewa? Usiulizwe Utamuoa lini?
Yaani wewe unataka muwe na mahusiano ya kihuni na kiholela, ili iweje?
Kuna umri wa kuuliza hilo swali. Sio umetoka kutumika huko halafu unataka umforce mtu akuoe, wewe umeshawahi kulazimishwa kununua bidhaa ambayo hata haujui unakwenda ifanyia nini baada ya kuilipia?
 
Ukikutana na mwanamke wa kuoa wala hujiulizi maswali mengi maana kila kitu kinaonekana mapema sana, wala hahitaji kuuliza "utakuja lini kwetu", kila kitu kiko wazo from within.

Ukikutana na mtu asiyeeleweka hata moyo unakuwa mzito, unakuwa mzito kufanya maamuzi, akisema habari za kuoana unahisi jazba na unaanza kumkinai(kinahi).

The decision to marry comes from within!!
 
Hao wanawake wako sahihi kwa 100%.
Mimi binafsi nasema hao ndio wanawake wanaojitambua. Mwanamke yoyote mwenye kujitambua ni lazima atauliza haya maswali mapema kabisa kwenye mahusiano.
1. Una mpango gani na yeye?
2. Je utamuoa?
3. Umepanga kumuoa lini?
4. Utakwenda lini kwao kujitambulisha?
Usahihi wa mwanamke ni kujitunza na kumtii mwanaume wake basi. Hayo mengine ni ya kwako. Wewe umekwenda kuliwa huko tumekutana uanze nipush kukuoa na sijajua una tabia gani za mazoea na sijui unajimudu vipi kitabia.
 
Ikiwa wewe ni mwanaume na uko kwenye mahusiano na mwanamke, halafu unachukia kuulizwa hayo maswali (utamuoa? Lini? Kwanini huji kutambulisha?) , basi tambua kwa asilimia 100% wewe ni mvulana uliyetoka kubalehe, ndio unajifunza uhuni wa kimapenzi na bado hujapevuka kuwa mume.
Wewe haujielewi na usilazimishe kueleweka wakati hoja zako hazina mantiki. Wewe unaongelea as if mazingira tunayozungumzia ni mwanamke ulimkuta na bikra yake then ukakaa nae miaka 5 ndipo akuulize hayo maswali.

Hapa tunaongelea nimekutana na binti kwenye basi la mkoa, au dukani, au njiani, nikaomba namba ndio tumeanza kudate, hatuna hata miezi mitatu, tunaonana kwa yeye kuja for sleep over, au tunatoka out haishi na mimi.

Hajui napendelea nini, hajui nina ishi na mfumo gani wa maisha anakuja anaanza kunambia tu unanioa lini?

Hivi wewe kwa utimamu wa kawaida kuna vitu ambavyo sote hapo tunakuwa tunajua vinatokea, hana bikra , sijui alikuwa na nani na waliachana kwa sababu ipi, sijui ana matabia gani ya hovyo, hiyo ndoa gharama kuanzia posa hadi Honey moon ni mimi ndie nitawajibika, halafu baada ya hiyo ndoa mimi ndie nitakuwa provider wake wa kila kitu, plus ataniletea watoto ambao wataniongezea majukumu.


Sasa wewe unakuja hapa na hoja nyepesi as if its simple like that. Wewe acha kichaa wewe yaani unaongea as if mwanamke ndie anapoteza au kuweka maisha yake rehani wakati uhalisia ni mimi mwanaume najifungamanisha a mkataba mgumu kutoka.


Yaani mtoto wa kiume akijiwekea standards kuwa hataki kuoa mwanamke ambaye hayuko sawa kiakili, hana bikra, hana history ya kuliwa na mwanaume yoyote na umri haujaenda, huyu mtoto wa kiume anaonekana ni katili, ana roho mbaya, ana uonevu, ukatili wa kijinsia na anamshusha mwanamke ila mwanamke anapojiwekea standards kuwa anataka mwanaume mwenye pesa, kazi, sehemu nzuri ya kuishi, mrefu, mwili wa mazoezi, asiwe na watoto, atoke familia ya kishua, then huyu mwanamke anaonekana yupo sahihi, si ndio?

Acha ufala na kutetea Wanawake kwenye sehemu ambayo hawana haki wala stahiki ya kutetewa bana.
 
Mwanaume ndio anatangaza ndoa sio kushinikizwa kutangaza ndoa. Ukiwa na favorable characters ndoa inakuja. Unfortunately hao wenye pigo hizo ndio viongozi wa feminists ujuaji kibao halafu ndio akuingize kwa ndoa, hakuna rangi utaacha kuona.
Nani kasema mwanaume ndio anatangaza ndoa?
Kuanzia kwenye dini, sheria na jamii ndoa ni patano la watu wawili waliopendana na kupatana kutaka kuishi pamoja. Mmoja hawezi na hapaswi kumlamisha mwingine.

Kila mahusiano lazima yawe na malengo (objectives) na hitimisho (conclusion). Sasa binti anayejitambua (haijarishi umri wake na tabia zake) atataka kuhoji malengo ya huo uhusiano na hitimisho lake ni nini mapema sana. Sasa wewe mwanaume ukiwa ndio wale akili ndogo na fupi za kutoka kubalehe na ndio unajifunza uhuni wa kingono ni lazima utamchukia na kumuona huyo binti sio, kumbe shida ni upeo wako mdogo wa kimakuzi.
 
Waza tu wewe mleta mada ni mzazi (baba) halafu binti yako akwambie yuko kwenye mahusiano wa kimapenzi na kijana asiyejulikana, hajui kama ataolewa naye, kijana hajui ni lini ataoa na hana mpango wowote wa kuoa wala kujitambulisha lakini anakula mzigo kwa kwenda mbele.

Sasa utamuunga mkono binti yako aendelee na huyo mvulana au utamzingua binti aachane na huyo kijana?
Kama binti yangu ni bikra sawa nina haki ya kuhoji kijana anampeleka binti yangu direction gani kwa kutaka kuishi nae kiholela wakati hajahalalisha mahusiano yao.

Ila kama binti yangu sio bikra i would feel sorry for the young Man for taking my embarrassment and shame to honor my daughter.
 
Wewe haujielewi na usilazimishe kueleweka wakati hoja zako hazina mantiki. Wewe unaongelea as if mazingira tunayozungumzia ni mwanamke ulimkuta na bikra yake then ukakaa nae miaka 5 ndipo akuulize hayo maswali.

Hapa tunaongelea nimekutana na binti kwenye basi la mkoa, au dukani, au njiani, nikaomba namba ndio tumeanza kudate, hatuna hata miezi mitatu, tunaonana kwa yeye kuja for sleep over, au tunatoka out haishi na mimi.

Hajui napendelea nini, hajui nina ishi na mfumo gani wa maisha anakuja anaanza kunambia tu unanioa lini?

Hivi wewe kwa utimamu wa kawaida kuna vitu ambavyo sote hapo tunakuwa tunajua vinatokea, hana bikra , sijui alikuwa na nani na waliachana kwa sababu ipi, sijui ana matabia gani ya hovyo, hiyo ndoa gharama kuanzia posa hadi Honey moon ni mimi ndie nitawajibika, halafu baada ya hiyo ndoa mimi ndie nitakuwa provider wake wa kila kitu, plus ataniletea watoto ambao wataniongezea majukumu.


Sasa wewe unakuja hapa na hoja nyepesi as if its simple like that. Wewe acha kichaa wewe yaani unaongea as if mwanamke ndie anapoteza au kuweka maisha yake rehani wakati uhalisia ni mimi mwanaume najifungamanisha a mkataba mgumu kutoka.


Yaani mtoto wa kiume akijiwekea standards kuwa hataki kuoa mwanamke ambaye hayuko sawa kiakili, hana bikra, hana history ya kuliwa na mwanaume yoyote na umri haujaenda, huyu mtoto wa kiume anaonekana ni katili, ana roho mbaya, ana uonevu, ukatili wa kijinsia na anamshusha mwanamke ila mwanamke anapojiwekea standards kuwa anataka mwanaume mwenye pesa, kazi, sehemu nzuri ya kuishi, mrefu, mwili wa mazoezi, asiwe na watoto, atoke familia ya kishua, then huyu mwanamke anaonekana yupo sahihi, si ndio?

Acha ufala na kutetea Wanawake kwenye sehemu ambayo hawana haki wala stahiki ya kutetewa bana.
Mimi nilishakujibu tangu kitambo.
Ni sahihi na haki kabisa kwa binti aliyejipanga na kutamani kuolewa sasa kuhoji mapema kabisa malengo ya uhusiano unaotaka kuujenga naye. Asipofanya hivyo huyo binti atakuwa ni mjinga kabisa.

Wewe unataka aje ghetoni kwako, alale na wewe, atoke out na wewe, lakini hutaki kusikia ahoji ni lini utamuoa au lini utakuja kujitambulisha kwao. Sasa ulitaka ahoji nini?
 
Awe na kiu ya ndoa, umri umeenda halafu ni singo maza ndio kabisa anazidi kuchanganyikiwa

Soko lao ni gumu sana hawa wa aina hii

Wanatombesha sana kwa wanaume tofauti tofauti. Ni kama anabet anajisemea moyoni nikipata jinga jinga la kunioa nitashukuru mkeka utakuwa umetik
Acheni haya mambo, viatu vyao hatuwezi kuvivaa wakuu.
Tuwahurumie dada zetu.

Hapa wanapita kusoma na kuumia sana
 
Yaani unajenga uhusiano na binti anayetaka kuolewa, halafu anakuuliza kama una mpango wa kumuoa, wewe unashangaa nini? Wewe unachukia nini?

Kama lengo lako ni kula mzigo tu, kwanini usiende kuchukua malaya wanaojiuza ambao mtaongea lugha moja nao?
Wewe hii mada haujaielewa hata kidogo, hebu soma kwanza koments kisha utaelewa direction ya mada. Umevamia gari la msiba ukijua la abiria.
 
Back
Top Bottom