Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Hao wanawake wako sahihi kwa 100%.
Mimi binafsi nasema hao ndio wanawake wanaojitambua. Mwanamke yoyote mwenye kujitambua ni lazima atauliza haya maswali mapema kabisa kwenye mahusiano.
1. Una mpango gani na yeye?
2. Je utamuoa?
3. Umepanga kumuoa lini?
4. Utakwenda lini kwao kujitambulisha?
Nikimkuta bikra au yupo below 23 naweza ungana na wewe huyo anajitambua ila kitu 26+ wahuni wamemtumia vya kutosha. Tuna mwezi mmoja tu au miwili toka tufahamiane ila kushinikiza nikajitambulishe kwao na kuhamasisha ndoa kila muda hapo jiandae kupigwa.
 
Yaani anakuona wa maana hivi sasa, baada ya msela kuachana nae au mkuu ulike-eep intouch nae huyu manzi hadi ndio maana sasa anamani awe na wewe?
Siku-keep in touch kivile, ila namba yake sikuifuta. Hivyo ikawa akipost status naziona na mm status zangu za whatsapp anaziona. Kuna wakati akiwa amefulia ananitext anaomba 10k namrushia maisha yanaenda.
 
Tatizo la nguvu za kiume chanzo chake kikuu ni kipi?

Wanaume tunajiua tartibu kwa kudhani kushughulika kingono na wanawwke ndiyo urijali. Kisaikolojia kuna damage kubwa sana kwa mwanaume ambye huruka na wanawake wengi kuliko mwanamke anayeruka na wanaume wengi.

Kuchomeka na kupush agenda kunahitaji stability, stamina na energy ambazo kadiri unavyojianika kwa kasi ndo unavyosinyaa.

Namshukuru Mungu, nilijitunza na mpaka sasa utu uzima wangu nacharge kama nilivyokuwa twentieth. Rika langu wengi nawaona wanavyohaha na madawa ya kuongeza nguvu.

Wanawake ni reciprient, tatizo lipo kwa sender
We kama una lishe mbovu ni wewe
 
Tatizo la nguvu za kiume chanzo chake kikuu ni kipi?

Wanaume tunajiua tartibu kwa kudhani kushughulika kingono na wanawwke ndiyo urijali. Kisaikolojia kuna damage kubwa sana kwa mwanaume ambye huruka na wanawake wengi kuliko mwanamke anayeruka na wanaume wengi.

Kuchomeka na kupush agenda kunahitaji stability, stamina na energy ambazo kadiri unavyojianika kwa kasi ndo unavyosinyaa.

Namshukuru Mungu, nilijitunza na mpaka sasa utu uzima wangu nacharge kama nilivyokuwa twentieth. Rika langu wengi nawaona wanavyohaha na madawa ya kuongeza nguvu.

Wanawake ni reciprient, tatizo lipo kwa sender
Hii ndio nimeanza kusikia kwako, kuhusu nguvu za kiume ni kula chakula kizuri na mazoezi ya kutosha.
 
Mimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.
Ni hatari, Hapo alienda kutumika huko kishwa akatupwa ikabidi arudi kwako
 
Mimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.
Kumbe ni lisingo maza, bora ulivyoliacha tu, maana hilo ni ka kupiga miti tu, kuolewa likaolewe na aliyelizazilisha.
 
Ni kero sana,unakuta kakaa na msela miaka mitatu,chuo,tena walipanga chumba kimoja,na hajamuoa,ila mimi kudate nae miezi miwili anataka ndoa,na wala hata kwangu hajawahi kulala hata siku mbili,anakujaga na kusepa.
Hataki kurudia makosa. Kama kakaa miaka 3 na kumpa mwanaume kila kitu na hakumuoa kwanini arudie tena kufanya hivyo ilihali anataka kuolewa?
 
Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"

Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Age 33 unategemea kama anahitaji kuolewa asiulize hayo maswali? Binafsi naona kama kijana huna malengo ya ndoa fanya ngono na binti asiye na malengo ya ndoa.
 
Back
Top Bottom