Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

Usemacho Ni kweli kbsa mkuu, mi Kuna demu nimedate naye kwa muda wa wiki 2 tu Ila anataka nimuoe wakati hata sijamjua vizuri.
 
Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"

Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Umri wake ndo unaompa wenge, ila naye kachelewa Sana jamani
 
Umenena Kweli kbsa mkuu
 
Kuna wadada Wana over 30 na hawana hizi habari wala pressure ya ndoa huyo ni tabia yake tu sio umri
 
Kama uliniona!! Kuna binti mmoja wa kihaya alikuwa ananinyima mbususu sana kwa visingizio vya kutomujibiwa maswali yake, kama lini utakuja kwetu?, lini utaniunganisha na ndugu zako tufahamiane!? Kalikuwa kananiboa na maswali yake hadi kero!?
 
Kama uliniona!! Kuna binti mmoja wa kihaya alikuwa ananinyima mbususu sana kwa visingizio vya kutomujibiwa maswali yake, kama lini utakuja kwetu?, lini utaniunganisha na ndugu zako tufahamiane!? Kalikuwa kananiboa na maswali yake hadi kero!?
Ni balaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…