Nikimkuta bikra au yupo below 23 naweza ungana na wewe huyo anajitambua ila kitu 26+ wahuni wamemtumia vya kutosha. Tuna mwezi mmoja tu au miwili toka tufahamiane ila kushinikiza nikajitambulishe kwao na kuhamasisha ndoa kila muda hapo jiandae kupigwa.Hao wanawake wako sahihi kwa 100%.
Mimi binafsi nasema hao ndio wanawake wanaojitambua. Mwanamke yoyote mwenye kujitambua ni lazima atauliza haya maswali mapema kabisa kwenye mahusiano.
1. Una mpango gani na yeye?
2. Je utamuoa?
3. Umepanga kumuoa lini?
4. Utakwenda lini kwao kujitambulisha?
Siku-keep in touch kivile, ila namba yake sikuifuta. Hivyo ikawa akipost status naziona na mm status zangu za whatsapp anaziona. Kuna wakati akiwa amefulia ananitext anaomba 10k namrushia maisha yanaenda.Yaani anakuona wa maana hivi sasa, baada ya msela kuachana nae au mkuu ulike-eep intouch nae huyu manzi hadi ndio maana sasa anamani awe na wewe?
Mbona umepanic sana?acha kulilia ndoa we dadaYaani unajenga uhusiano na binti anayetaka kuolewa, halafu anakuuliza kama una mpango wa kumuoa, wewe unashangaa nini? Wewe unachukia nini?
Kama lengo lako ni kula mzigo tu, kwanini usiende kuchukua malaya wanaojiuza ambao mtaongea lugha moja nao?
We kama una lishe mbovu ni weweTatizo la nguvu za kiume chanzo chake kikuu ni kipi?
Wanaume tunajiua tartibu kwa kudhani kushughulika kingono na wanawwke ndiyo urijali. Kisaikolojia kuna damage kubwa sana kwa mwanaume ambye huruka na wanawake wengi kuliko mwanamke anayeruka na wanaume wengi.
Kuchomeka na kupush agenda kunahitaji stability, stamina na energy ambazo kadiri unavyojianika kwa kasi ndo unavyosinyaa.
Namshukuru Mungu, nilijitunza na mpaka sasa utu uzima wangu nacharge kama nilivyokuwa twentieth. Rika langu wengi nawaona wanavyohaha na madawa ya kuongeza nguvu.
Wanawake ni reciprient, tatizo lipo kwa sender
🤣 Mmh?!Pasua kichwa hao, wanakuwaga kama vichaa hivi
🤣Sawa na wabunge wa ccm wanavoteseka 2025 na wananchi wao.
Usiombe ukutane nao🤣 Mmh?!
Tatizo unaulizwa mara kwa maraYaani unajenga uhusiano na binti anayetaka kuolewa, halafu anakuuliza kama una mpango wa kumuoa, wewe unashangaa nini? Wewe unachukia nini?
Kama lengo lako ni kula mzigo tu, kwanini usiende kuchukua malaya wanaojiuza ambao mtaongea lugha moja nao?
Uzi huu ni mwiba kwao.Uzi mzima una comment moja tu ya mwanamke, To yeye. Kweli hiki ni kikao cha wanaume🤣
Hii ndio nimeanza kusikia kwako, kuhusu nguvu za kiume ni kula chakula kizuri na mazoezi ya kutosha.Tatizo la nguvu za kiume chanzo chake kikuu ni kipi?
Wanaume tunajiua tartibu kwa kudhani kushughulika kingono na wanawwke ndiyo urijali. Kisaikolojia kuna damage kubwa sana kwa mwanaume ambye huruka na wanawake wengi kuliko mwanamke anayeruka na wanaume wengi.
Kuchomeka na kupush agenda kunahitaji stability, stamina na energy ambazo kadiri unavyojianika kwa kasi ndo unavyosinyaa.
Namshukuru Mungu, nilijitunza na mpaka sasa utu uzima wangu nacharge kama nilivyokuwa twentieth. Rika langu wengi nawaona wanavyohaha na madawa ya kuongeza nguvu.
Wanawake ni reciprient, tatizo lipo kwa sender
Ni hatari, Hapo alienda kutumika huko kishwa akatupwa ikabidi arudi kwakoMimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.
Kumbe ni lisingo maza, bora ulivyoliacha tu, maana hilo ni ka kupiga miti tu, kuolewa likaolewe na aliyelizazilisha.Mimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.
Hataki kurudia makosa. Kama kakaa miaka 3 na kumpa mwanaume kila kitu na hakumuoa kwanini arudie tena kufanya hivyo ilihali anataka kuolewa?Ni kero sana,unakuta kakaa na msela miaka mitatu,chuo,tena walipanga chumba kimoja,na hajamuoa,ila mimi kudate nae miezi miwili anataka ndoa,na wala hata kwangu hajawahi kulala hata siku mbili,anakujaga na kusepa.
Yah nibmwanaume akitaka ndoa haijalish mmekutana mud gani hat kama mna miez miwili anaweza kukuoa tu muda wa kuwa kwenye mahusiano sio kigezo Cha kutokuoaSahihi kabisa, ndoa iliyopatikana kwa mwanamke kufosi ni matatizo kila siku
Age 33 unategemea kama anahitaji kuolewa asiulize hayo maswali? Binafsi naona kama kijana huna malengo ya ndoa fanya ngono na binti asiye na malengo ya ndoa.Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"
Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki