Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachungaji,Masheikh na viongozi mbalimbali wa kiimani tunaowaamini wanapotangulia mbele za haki wao pia huwa ni kushughulikiwa na Mungu ?ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Mbele za Mungu kuna wakati kifo kinatumika kama adhabu kwa binaadamu wenye matendo maovu na yenye kumchukiza, mfano huo unaupata kwa kilicho watokea sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa matendo yao ya kuchukiza.Sijakataa.
Kwani kufa ni adhabu kwa wanaotenda mabaya? Kwamba wasiotenda mabaya hawafi? Nilitaka kufahamu hilo
Ina maana watu wote wagonjwa inakuwa ni kwasababu walifanya matendo ambayo hayakumpendeza Mungu? [emoji848]ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Kwahiyo kuna wakati kifo ni adhabu na wakati mwingine ni zawadi?Mbele za Mungu kuna wakati kifo kinatumika kama adhabu kwa binaadamu wenye matendo maovu na yenye kumchukiza, mfano huo unaupata kwa kilicho watokea sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa matendo yao ya kuchukiza.
mpumbavu wewe, masheikh na mapadri hawafi siyo ? acha ujingaSodoma na gomora waliangamizwa/walikufa kutokana na matendo yao ya kishetani.
ukifanya matendo maovu ya kumchukiza aliye kuumba jua mungu atakushughulikia kwa namna yake either kifo, maradhi au ajali.
mtetezi wao aliye kuwa anajigamba kwa mbwembwe huko Qatari kaanguka uwanjani kafa.Bongo hao [emoji304] mnao kibao na kuna watu wanasupport mpaka kwenye matamasha yao wanawaalika
Ova
Mbona kwetu wanaishi tu Tena miaka mingiWati wabaya hawaishi......
Makamba
mtetezi wa mashoga huko Qatar kafa jana huko uwanjani umepata habari? subiri watakufa tu usiwe na haraka.Mbona kwetu wanaishi tu Tena miaka mingi
kabisaa, hawa ndio wanasabibisha mvua zisinyenshe. joto kali!! sababu ya hawa mashetani.Mashoga wanatakiwa wafe wote
Sitetei matendo maouvu lakini naomba kuuliza,Kwa hiyo nyinyi wenye matendo mazuri hamtokufa? Mbona binadamu tumekuwa na kiburi kiasi cha kuhukumu wengine kisa umauti umewakuta? Vipi wale watoto wadogo wanaokufa wakiwa hata hawajafikisha miaka mitano nao ni Mungu huwa anawashughulikia kwa kuwapa umauti?ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Labda walimfanyia kisomoGrant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.
Nimemshangaa sana kwa comment yake,na pia atuambie je watoto wadogo wanaokufa nao ni hasira ya Mungu kwa matendo yao mabaya?Unataka kusema wenye matendo mema huko kwenu hawafi?