Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wabongo mnafeli wapi eti?No kisomo wamemshugulikia huyu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo mnafeli wapi eti?No kisomo wamemshugulikia huyu!
Kisha kandamizwa kipapaiView attachment 2441785Huyo jamaa pichani ☝🏾 wakati mashindano ya kombe la dunia yanaenda kuanza alionekana akilalamika kuzuiliwa kuingia nchini humo kisa alivaa hiyo tshirt yenye rangi za upinde wa mvua ambazo zimekasimishwa kuunga mkono mtendo ya kuvuragana kati ya binadamu wa jinsia moja.
Grant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.
View attachment 2441793
Taarifa za mwanzo zinaonyesha alipatwa na mshtuko wa moyo, lakini hili bado haijathibitishwa rasmi na wataalam wa kitabibu.
NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise.
Kwa nini binti mzuri?Wabongo mnafeli wapi eti?
Nikweli kama Germany,Qatar,saudia arabia,Hata timu zilizojinasibisha na ushoga zishaaga kitambo..
Mnashindwa kuwasomea kisomo wafeKwa nini binti mzuri?
Wanajiita mamende..mtu yoyote anayefanya sex kinyume na maumbile ni shoga.Hawa wa kibongo mbona mnashindwa kuwaondoa? Maneno yenu na vitendo vyenu ni zero kabisa. Ndio maana huwa naona kama nyie ndo wadau/wateja wakubwa wa hao watu.
Inawezekana kafa kwasababu hajapigwa paip muda mrefu huko si ushoga hautakiwi
Mzee Makamba alisema wema hawafi.ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Nonsense!! Mungu wa kweli anawapenda sana waovu na huwapa miaka mingi ya kuishi akiamini kuwa watatubu.ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Akufwe akufwe akufwe kabisaaaa.View attachment 2441785Huyo jamaa pichani ☝🏾 wakati mashindano ya kombe la dunia yanaenda kuanza alionekana akilalamika kuzuiliwa kuingia nchini humo kisa alivaa hiyo tshirt yenye rangi za upinde wa mvua ambazo zimekasimishwa kuunga mkono mtendo ya kuvuragana kati ya binadamu wa jinsia moja.
Grant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.
View attachment 2441793
Taarifa za mwanzo zinaonyesha alipatwa na mshtuko wa moyo, lakini hili bado haijathibitishwa rasmi na wataalam wa kitabibu.
NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise.
Timu ya kwanza kuaga ni Qatar hao hao wanao-host WC. Weka akiba ya maneno.Hata timu zilizojinasibisha na ushoga zishaaga kitambo..
Mungu wa kweli haamini Mzee. Ni mjuvi wa yote.Nonsense!! Mungu wa kweli anawapenda sana waovu na huwapa miaka mingi ya kuishi akiamini kuwa watatubu.
Na kama wewe ni mkristo kumbuka nukuu ya yesu aliposema hakuja dunia kwaajili ya kuwatafuta wema kama wewe Bali kuwakomboa waovu kama Mimi na huyo jamaa aliyefariki.
Acha kujihesabia haki kwa kuona kosa moja tu la mwenzako!!!
ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Taja hapa watu wema ambao wanafanya ya kumpendeza Mungu na hawafi
Huyo ngoma ndo imemuondoa ikiambatana na kansa yamkundu. Hamna hujuma yoyote kwenye kifo chakeView attachment 2441785Huyo jamaa pichani ☝🏾 wakati mashindano ya kombe la dunia yanaenda kuanza alionekana akilalamika kuzuiliwa kuingia nchini humo kisa alivaa hiyo tshirt yenye rangi za upinde wa mvua ambazo zimekasimishwa kuunga mkono mtendo ya kuvuragana kati ya binadamu wa jinsia moja.
Grant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.
View attachment 2441793
Taarifa za mwanzo zinaonyesha alipatwa na mshtuko wa moyo, lakini hili bado haijathibitishwa rasmi na wataalam wa kitabibu.
NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise.
Akili zilipokuwa zikigawiwa alikuwa hajazaliwaAkili ni bora kuwa nazo kuliko kuwa na mali mwana wane [emoji143]
Kafa kiaibu lakini mkuu.Sitetei matendo maouvu lakini naomba kuuliza,Kwa hiyo nyinyi wenye matendo mazuri hamtokufa? Mbona binadamu tumekuwa na kiburi kiasi cha kuhukumu wengine kisa umauti umewakuta? Vipi wale watoto wadogo wanaokufa wakiwa hata hawajafikisha miaka mitano nao ni Mungu huwa anawashughulikia kwa kuwapa umauti?
NakaziaWati wabaya hawaishi......
Makamba
Wanajikutaga ni binadamu daraja la kwanzaHawa wafia dini ni janga