TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

View attachment 2441785Huyo jamaa pichani ☝🏾 wakati mashindano ya kombe la dunia yanaenda kuanza alionekana akilalamika kuzuiliwa kuingia nchini humo kisa alivaa hiyo tshirt yenye rangi za upinde wa mvua ambazo zimekasimishwa kuunga mkono mtendo ya kuvuragana kati ya binadamu wa jinsia moja.

Grant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.

View attachment 2441793
Taarifa za mwanzo zinaonyesha alipatwa na mshtuko wa moyo, lakini hili bado haijathibitishwa rasmi na wataalam wa kitabibu.

NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise.

Watu wengine wachokozi Sana. Unaingia nchi ya watu na maupinde yako wakati wamekuambia hawataki. Ngoja akajibu vizuri akiwa peke yake.
 
Mnashindwa kuwasomea kisomo wafe
Anaye hukumu ni mwenyaazi Mungu tu, ukiona kuna binadamu ana hukumu na kutoa adhabu ya kifo kwa mwenzake, ask you self twice!.
 
Mlevi mmoja alisikika akisema; wema huishi milele,wabaya hufa mapema! Siungi mkono hoja MH Speaker [emoji848][emoji20]
 
Labda walimfanyia kisomo
Labda kisomo kama hiki
JamiiForums1977886362_682x450.jpg
 
Kakutana na kunuti huyo.
Chezea waarabu weyee!!!
Aende akapakuliwe huko kuzimu.
 

Kombe la Dunia 2022: Mwanahabari mkongwe wa michezo wa Marekani Grant Wahl afariki dunia nchini Qatar​

View attachment 2442721

Mwanahabari maarufu wa kandanda kutoka Marekani amefariki dunia alipokuwa akiripoti kuhusu michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar.

Grant Wahl, 48, alianguka ghafla alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi Ijumaa usiku.

Ripoti za awali zinaonyesha alipatwa na "Mshtuko" lakini hii bado haijathibitishwa rasmi.

Mwezi uliopita Bw Wahl alizuiliwa kwa muda mfupi na mamlaka ya Qatar kwa kujaribu kuingia uwanjani akiwa amevalia shati la upinde wa mvua, kuunga mkono haki za wapenzi wa jinsia moja LGBT.

Katika taarifa, Shirikisho la Soka la Marekani lilisema "Limesikitswa sana" na habari hizo. "Mashabiki wa soka na uandishi wa habari wa ubora wa juu zaidi walijua kwamba tunaweza kutegemea Grant kila wakati kutoa hadithi za utambuzi na za kuburudisha kuhusu mchezo wetu, na wahusika wake wakuu," ilisema taarifa hiyo.

Grant alikua akituma ujumbe katika ukurasa wake wa Twitter kuhusu mechi ya Uholanzi na Argentina, kabla taarifa ya kifo chake kutangazwa
Bora kafa maana hana lakusaidia dunia [emoji706]
 
ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.

mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.

Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Huna hata unalolijua wee, mxxieeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Homosexual guys are like cancer should be eradicated from the eath surface by any means available. This should be every one duty then after is up to God whether will forgive them or not
Jibu swali acha kukurupukaaa, hauna hoja? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipatani na wafia dini, mara zote hawana hoja wamekaririshwa na kuwa brainwashed.
Hawana akili ya kuchanganua mambo kiuhalisia.
Mie ndo huwa nawapiga maswali hadi huwa wanaishia kutukanaaaa, na mie nawazidishia dosage ya matusi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wafia dini ni jangaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom