TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

Hawa wa kibongo mbona mnashindwa kuwaondoa? Maneno yenu na vitendo vyenu ni zero kabisa. Ndio maana huwa naona kama nyie ndo wadau/wateja wakubwa wa hao watu.
Ukiona mtu anapiga mayowe sana kwa jambo flan ujue yeye ndiyo muhusika zaidi.
 
KAMA NI KWELI ASANTE SANA MUNGU WA MBINGUNI.


UO UPUMBAVU WAO NAUCHUKIA HATARI.

YANI NINA ALEGY NA DHAMBI
Kwa hiyo wewe kwenye familia yako watu huwa hawafi,hamjawi kufiwa na je wanaokufa ni hawa wenye matendo maovu tu?
 
ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.

mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.

Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Kwaiyo ninyi hamtakufa
 
Sodoma na gomora waliangamizwa/walikufa kutokana na matendo yao ya kishetani.
ukifanya matendo maovu ya kumchukiza aliye kuumba jua mungu atakushughulikia kwa namna yake either kifo, maradhi au ajali.
usipo fanya matendo mabaya hufi.
 
Sipatani na wafia dini, mara zote hawana hoja wamekaririshwa na kuwa brainwashed.
Hawana akili ya kuchanganua mambo kiuhalisia.
wewe unaweza kuchanganua mambogani? kiazi wewe.
 
mtetezi wao aliye kuwa anajigamba kwa mbwembwe huko Qatari kaanguka uwanjani kafa.
mbwembwe zote kwisha.
hilo ni funzo kwa wanachama wake wote duniani na wenye matendo kama hayo kuwa kazi ya sodoma na gomora haifai. ni chukizo mbele za mungu na adhabu yake ni umauti kama walivyo angamizwa watu wa sodoma na gomora.

Kumbuka jambo moja kuwa; Mungu huwa hachezewi, acha acha.

ni suala la muda tu, hao wabongo wanao fanya ushetani huo balaa lao litawafika.
Mtu kavutishwa sumu umekazana kumsingizia Mungu
 
Back
Top Bottom